CHADEMA wadai hawatajibizana kwa namna yoyote ile na Katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
877
4,106
Leo Makonda ameita vyombo vya habari, ameeleza mengi kuhusu kauli ya Mbogwe kuhusu kujiondoa kwenye maridhiano. Amedai Mbowe ni mnufaika wa maridhiano na kwamba kama siyo maridhiano angekuwa yupo gerezani .

Kwa upande wake chadema imeeleza kutojibizana na kauli yoyote ya Makonda kwani kufanya hivyo nikumpa uhalali wa kusimama kwenye majukwaa ya kisiasa huku kila mtu akifahamu mambo mabaya aliyowatendea . Wamedai kumsaidia Makonda ni njia nzuri yakutuma ujumbe kwa CCM kwamba nchi haiwezi kuendelea kukumbatia waalifu katika mfumo wa kutafuta haki.

Wameeleza pia kwamba tangu aingie ofisini mambo yote yanayohusu maridhiano yamefifia na katibu mkuu wake alimkataa na kuamua kujiuzulu.

Je, chadema watafanikiwa kwa kususa kushirikiana na kupambana kisiasa na Makonda? Endapo wakiamua kutekeleza kususa huku Makonda atapambana na nani? Au atakuwa anakosoa na kijijibu?
 
Bashiteee.
tapatalk_1488873578481.jpeg
 
Leo Makonda ameita vyombo vya habari, ameeleza mengi kuhusu kauli ya Mbogwe kuhusu kujiondoa kwenye maridhiano. Amedai Mbowe ni mnufaika wa maridhiano na kwamba kama siyo maridhiano angekuwa yupo gerezani .

Kwa upande wake chadema imeeleza kutojibizana na kauli yoyote ya Makonda kwani kufanya hivyo nikumpa uhalali wa kusimama kwenye majukwaa ya kisiasa huku kila mtu akifahamu mambo mabaya aliyowatendea . Wamedai kumsaidia Makonda ni njia nzuri yakutuma ujumbe kwa CCM kwamba nchi haiwezi kuendelea kukumbatia waalifu katika mfumo wa kutafuta haki.

Wameeleza pia kwamba tangu aingie ofisini mambo yote yanayohusu maridhiano yamefifia na katibu mkuu wake alimkataa na kuamua kujiuzulu.

Je, chadema watafanikiwa kwa kususa kushirikiana na kupambana kisiasa na Makonda? Endapo wakiamua kutekeleza kususa huku Makonda atapambana na nani? Au atakuwa anakosoa na kijijibu?
Hata Mimi ningeshangaa sana cdm kujibizana na muhalifu. Kutaka kujibizana na Makonda ni kumpa muhalifu nafasi nzuri ya kujisafisha.
 
Leo Makonda ameita vyombo vya habari, ameeleza mengi kuhusu kauli ya Mbogwe kuhusu kujiondoa kwenye maridhiano. Amedai Mbowe ni mnufaika wa maridhiano na kwamba kama siyo maridhiano angekuwa yupo gerezani .

Kwa upande wake chadema imeeleza kutojibizana na kauli yoyote ya Makonda kwani kufanya hivyo nikumpa uhalali wa kusimama kwenye majukwaa ya kisiasa huku kila mtu akifahamu mambo mabaya aliyowatendea . Wamedai kumsaidia Makonda ni njia nzuri yakutuma ujumbe kwa CCM kwamba nchi haiwezi kuendelea kukumbatia waalifu katika mfumo wa kutafuta haki.

Wameeleza pia kwamba tangu aingie ofisini mambo yote yanayohusu maridhiano yamefifia na katibu mkuu wake alimkataa na kuamua kujiuzulu.

Je, chadema watafanikiwa kwa kususa kushirikiana na kupambana kisiasa na Makonda? Endapo wakiamua kutekeleza kususa huku Makonda atapambana na nani? Au atakuwa anakosoa na kijijibu?
Wamekosa hoja za kujibizana au kitu gani? Fafanua.
 
..mizizi wa hoja ya Mbowe iko ktk miswada iliyopelekwa bungeni.

..Yeye Makonda alitakiwa kueleza kama miswada imejibu malalamiko ya Chadema na wapenda demokrasia nchini.

..Je, miswada hiyo nitakwenda kuleta Tume Huru ya Uchaguzi ambayo wapenda demokrasia wamekuwa wakiililia?


..Halafu mtenda uovu kama Makonda akirudishwa madarakani hapo kuna maridhiano ya kweli?
 
Kama kweli hiyo ni kauli ya Chadema basi kuna kila haki ya kutokukipa dhamana hiki chama.

Kimejaa watu ambao hawana misimamo na waoga mno.

Chama kizima kinawezaje kususa kisa mtu mmoja??

Yaani Makonda tu anawaondoa kwenye reli peke yake.?

Ndio maana mwaka wa 30 huu hawajanusa hata kunusa kushika dola.
 
Mnufaika atakua CCM kwasababu watu watakua wanasikia na wanaona anayosema ni sahihi.
Ni suala la muda tu anaweza kutoa tuhuma nzito kwa CDM na wakajikuta nilazima wajibu au Umma uamini kisemwacho na waliemsusia ni kweli.
 
..Ni fedheha Makonda kuzungumzia maridhiano.

..Ccm itume watu sahihi wasio na makando'kando kuzungumzia maridhiano.

..Ccm ina hazina kubwa ya watu waadilifu kuzungumzia suala hilo.
 
CHADEMA hawana uwezo wala nguvu wala ubavu wa aina yoyote ile kupambana na Mheshimiwa Makonda katika majukwaa ya kisiasa na hata katika mjadala wa aina yoyote ile .Makonda mmoja ni sawa na kamati kuu nzima ya CHADEMA na bado hawawezi kumudu vishindo na hoja za Mheshimiwa Makonda. Wanamuelewa vyema Makonda ndio maana wanakimbia vimvuli vyao
 
Leo Makonda ameita vyombo vya habari, ameeleza mengi kuhusu kauli ya Mbogwe kuhusu kujiondoa kwenye maridhiano. Amedai Mbowe ni mnufaika wa maridhiano na kwamba kama siyo maridhiano angekuwa yupo gerezani .

Kwa upande wake chadema imeeleza kutojibizana na kauli yoyote ya Makonda kwani kufanya hivyo nikumpa uhalali wa kusimama kwenye majukwaa ya kisiasa huku kila mtu akifahamu mambo mabaya aliyowatendea . Wamedai kumsaidia Makonda ni njia nzuri yakutuma ujumbe kwa CCM kwamba nchi haiwezi kuendelea kukumbatia waalifu katika mfumo wa kutafuta haki.

Wameeleza pia kwamba tangu aingie ofisini mambo yote yanayohusu maridhiano yamefifia na katibu mkuu wake alimkataa na kuamua kujiuzulu.

Je, chadema watafanikiwa kwa kususa kushirikiana na kupambana kisiasa na Makonda? Endapo wakiamua kutekeleza kususa huku Makonda atapambana na nani? Au atakuwa anakosoa na kijijibu?
chadema huwa hawana majibu wana matamko tu ya uoga uoga 🐒
 
..Ni fedheha Makonda kuzungumzia maridhiano.

..Ccm itume watu sahihi wasio na makando'kando kuzungumzia maridhiano.

..Ccm ina hazina kubwa ya watu waadilifu kuzungumzia suala hilo.
Mheshimiwa Makonda ni Mwamba ambaye aliitikisa CHADEMA tangia kuteuliwa kwake kwa mara ya kwanza. Mbowe hata azungumzie hakuna mtanzania mwenye akili Timamu anayeweza kumuamini na kumsikiliza. Ni Mbowe huyo huyo na ujasiriasiasa wake aliyewabadilishia gia angani CHADEMA mwaka 2015 kwa kumpa ugombea Urais mtu ambaye walikuwa wakimtukana kwa miaka yote kuwa ni fisadi. Sasa hapo ni nani wa kumuamini na kumsikiliza Mbowe? Nani wa kumuamini Mbowe?
 
Mheshimiwa Makonda ni Mwamba ambaye aliitikisa CHADEMA tangia kuteuliwa kwake kwa mara ya kwanza. Mbowe hata azungumzie hakuna mtanzania mwenye akili Timamu anayeweza kumuamini na kumsikiliza. Ni Mbowe huyo huyo na ujasiriasiasa wake aliyewabadilishia gia angani CHADEMA mwaka 2015 kwa kumpa ugombea Urais mtu ambaye walikuwa wakimtukana kwa miaka yote kuwa ni fisadi. Sasa hapo ni nani wa kumuamini na kumsikiliza Mbowe? Nani wa kumuamini Mbowe?

..Na Ccm mliotukana Lowassa mkampokea alipoamua kurejea. Je, na nyinyi mnastahili kusilizwa na kuaminiwa?
 
Back
Top Bottom