Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,129
- 35,153
Katika kipindi cha miaka miwili tu yaani kati ya mwaka 2021-2023, idara cha itikadi na uenezi CCM imeongozwa na wafuatao:
1. Humphrey PolePole
2. Shaka Hamdu Shaka
3. Sophia Mjema
4. Paul Makonda
Huwezi ukawa na taasisi imara ya kisiasa halafu ukawa na mabadiliko ya mara kwa mara ya uongozi yenye kuweza kuleta tija, mara zote mabadiliko ya mara kwa mara huashiria hali sio njema sana ndani ya idara husika au ubovu wa kitaasisi.
Je, CCM idara ya itikadi na uenezi ilichakufa hivyo CCM inahangaika kuifufua?
Ama hiyo idara iko mahututi hivyo CCM inahangaika isife kabisa?
1. Humphrey PolePole
2. Shaka Hamdu Shaka
3. Sophia Mjema
4. Paul Makonda
Huwezi ukawa na taasisi imara ya kisiasa halafu ukawa na mabadiliko ya mara kwa mara ya uongozi yenye kuweza kuleta tija, mara zote mabadiliko ya mara kwa mara huashiria hali sio njema sana ndani ya idara husika au ubovu wa kitaasisi.
Je, CCM idara ya itikadi na uenezi ilichakufa hivyo CCM inahangaika kuifufua?
Ama hiyo idara iko mahututi hivyo CCM inahangaika isife kabisa?