johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,023
- 142,069
Makonda ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa kujibu hoja pengine kuliko Wabunge na Mawaziri wote wa CCM.
Ngoja tuone!
====
Soma: Paul Makonda ateuliwa kuwa Mwenezi CCM
Dab ndo nani?Aisee DAB nasikia alimtabiria Mama Urais, huenda anasogezwa atabiri tena.
Hakuna lisilowezekana chini ya jua Hussein alishawahi kuzoza mbovu kwa wastaafu leo waziri. Ally ye zoza mbovu kwa wastaafu akiwa RC ilimcost.Aisee DAB nasikia alimtabiria Mama Urais, huenda anasogezwa atabiri tena.
Makonda akirudi ujue me tembo nae atapigwa CHINI!!Haiwezekani bwana mdogo. Mama mbona angekuwa ashampa nafasi kitambo tu, ila Mzee wa Arusha agreed to be back and work with her on one condition, na hio condition ndo inamfanya Daudi akae benchi.
Nitakukumbusha muda ukifika.Zamu yake ilishapita hatupaswi kurudi huko, akipewa nafasi hiyo nitarudisha kadi yangu mchana kweupe tena mbele ya vyombo vya habari!.
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app