johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,994
Ni katika kuwekana Sawa tu na kuondoa sintofahamu kwa Baadhi ya Watu
Komredi Makonda Ndiye Msimamizi mkuu wa Itikadi ya CCM, Uenezi wa Chama na Mafunzo
Hadi sasa hajatenda nje ya Shughuli zake kwa mujibu wa Katiba
Mungu wa Mbinguni awabariki 😀
Komredi Makonda Ndiye Msimamizi mkuu wa Itikadi ya CCM, Uenezi wa Chama na Mafunzo
Hadi sasa hajatenda nje ya Shughuli zake kwa mujibu wa Katiba
Mungu wa Mbinguni awabariki 😀