brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,297
Wadau, amani iwe kwenu.
Kwa matokeo haya ya ubunge, udiwani na Urais yanayoendelea kutokewa, ni dhahiri kwamba Dr Slaa alikuwa sahihi kuondoka CHADEMA. UKAWA hawakuwa na hoja za kuombea kura. Walibaki kuzungusha mikono tu. ndo maana wakawapata vijana wachache tu wa kuwaunga mkono na wengi wenye akili wamewakataa.
Dr Slaa, waonee huruma wenzako. Wamevurugwa.
Tatizo Ukawa wanajiona wapoo wengii..wakijua kura yako ni kwa ccm wanakuandama kama ni dhambi....kumbe ccm tupo wengi na kupigishana kelele na watu hatuwezi
Tulichokifanya ni Ku✂✂✂✂✂✂✂✂✂✂✂✂✂✂✂✂ babu...
Akapumzike sasa,afuge ng'ombe