CHADEMA waanza kumkumbuka Dr Slaa

CHADEMA waanza kumkumbuka Dr Slaa

Wanaukumbi.

Matokeo ya uchaguzi mkuu yanazidi kutoka kwa kasi na mwelekeo unaonyesha Chadema wanaelekea kufanya vibaya na kupoteza majimbo yao tofauti kama watu walivyotegemea.

Hii ni laana ya Dr.Slaa walichomfanyia hii ndiyo hukumu yao kwa yale waliomfanyia.

Natoa ushauri kwa Chadema kabla Chadema hawajasambaratika kama jumuhuri ya Urusi muombeni msamaha Dr.Slaa hawasemehe la sivyo mtapotea kabisa kwenye ulingo wa siasa.

Vipi mshapata makao mapya maana ukawa ndio wanaingia ikulu
 
Baada ya kudanganywa na Mbowe na Gwajima mkaanza kumtukana mnamuita Dr.wa mihogo haya haya sasa mabadiliko yapo wapi makamanda???

Jipe moyo maana mwaka huu utauza kila kitu
 
Hivi CCM wamepoteza majimbo mangapi? Tanga, Bunda, Serengeti, Tarime, Buyungu, Tandahimba na kwingineko Hauoni? Aibu yako
 
Mnyoosho unaendelea, ukitoa Dar, Mbeya, arusha, moshi, manyara, kwingine kote ukawa wamepigwa vibaya mno
 
Unaongea kwa unyonge sana unaweza kunipa habari za Mwanza majimbo ya Ilemela na Nyamagana pamoja na Musoma Mjini.

Nipe kwanza habari za bunda na ndanda
 
acha ungse kwa matokeo ya sasa ni sawa na mimba ya wiki 1
 
Wanaukumbi.

Matokeo ya uchaguzi mkuu yanazidi kutoka kwa kasi na mwelekeo unaonyesha Chadema wanaelekea kufanya vibaya na kupoteza majimbo yao tofauti kama watu walivyotegemea.

Hii ni laana ya Dr.Slaa walichomfanyia hii ndiyo hukumu yao kwa yale waliomfanyia.

Natoa ushauri kwa Chadema kabla Chadema hawajasambaratika kama jumuhuri ya Urusi muombeni msamaha Dr.Slaa hawasemehe la sivyo mtapotea kabisa kwenye ulingo wa siasa.

Hahaaa mkuuu nikweli kabisaaa hii laan ya dr slaa inawatafuna kwa mbaliii namuona gwajima akiungama dhambi zakeee
 
Nimeambiwa gari la lowasa liko vigwaza linaelekea monduli kuchunga ng'ombe kama alivyoahidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom