Wadau, amani iwe kwenu.
Kwa matokeo haya ya ubunge, udiwani na Urais yanayoendelea kutokewa, ni dhahiri kwamba Dr Slaa alikuwa sahihi kuondoka CHADEMA. UKAWA hawakuwa na hoja za kuombea kura. Walibaki kuzungusha mikono tu. ndo maana wakawapata vijana wachache tu wa kuwaunga mkono na wengi wenye akili wamewakataa.
mpaka asubui hii 27/10/10.24 cdm wana majimbo zaidi ya 20 na kura za urais ni more than 30% hii ina maana ruzuku imepanda tayari. last elections cdm walikuwa na majimbo 23 ..... mbowe aliangalia kilomita nyingi mbele ndio maana akasema mtaji huu ukiuachia utakuwa mjinga, think about it