CHADEMA waanza kumkumbuka Dr Slaa

CHADEMA waanza kumkumbuka Dr Slaa

Kweli nimeamini UMASIKINI wa WATANZANIA ni wa kujitakia....yaani kabisa mtu na akili zako timamu unaichagua CCM....??

Mna haki ya kutukata tukimsimamisha fisadi kugombea urais.
Mh. Mdee, Halima.

Anayemshabikia "low assa" akapimwe akili haraka.
Pr. Msigwa.
 
Ufinyu wa akili unamfanya mtu ashindwe kulinganisha hali ya kisiasa na upatikanaji wa fursa za maendeleo.siasa inaweza ikakufanya ule bata au uendelee kula nyasi.maendeleo hupatikana pakiwepo watu ,siasa safi,na uongozi bora.

Pole. Nasubiri ule utabiri wa manabii wenu feki....
 
Ajali ya kufanyiwa uhuni na watu aliowaamini? Hatuwezi kutoa conclusion rahisi kama hii kupoteza mtu aliyeinua upinzani na kutoa mwamko ambao wengine walitaka kudandia na kupitia damu za watu wakati hawajawahi kutoa hata jasho ....Dr Slaa ni yule yule na utashuhudia mwenyewe ....

Kaka ajali ni ajali.....be it kwa kukusudiwa au "ajali"........

Siongelei ushabiki naongelea uhalisia....it cost a lot to recover kutoka kwenye hali kama hii

Hujui maumivu ya kusalitiwa na kuumizwa kiasi kile cha Doctor...ungejua na ukapata nafasi ya ku-feel ungeelewa ugumu wake...

Ni kama mtu aliyeng'atwa na nyoka...awapo katikati ya majani huweweseka na kuhisi anaweza kung'atwa wakati wowote...

Hata hivyo, nakukubalia kwamba nangoja nishuhudie itakuwaje kama atarudi tena kwenye siasa maana hakuna kitu kama universality kwenye maswala yanayomhusisha mwanadamu...
 
Unaongeza madiwani Monduli unapoteza wabunge Mwanza akili kweli hizi.
Unapoteza Mwanza lakini unaishika Halmashauri ya jiji la Dar hapo vipi? Halafu kwa taarifa yako, Ilemela ushindi wa CCM hauna shaka lakini Nyamagana lazima uchaguzi huo ukipelekwa mahakamani lazima utenguliwe kwani iweje kura zizidi idadi ya watu waliopiga kura?
 
wewe unadhani slaa angekuwapo angebadilisha nn kama jiulize chadema kimefanikiwa au kimeangamia? tumeongeza madiwani mpaka monduli na tutaongeza na wabunge pia

Hutaamini kwamba eti inahitaji professional analyst kutambua hilo!
 
Katika mazingira ya nchi zetu hizi (undemocratic third world) ni vigumu kwa upinzani kushinda uchaguzi - with or without Slaa. CCM ni chama dora ambacho kinatumia raslimali zote kujiimarisha dhidi ya upinzani - incumbency defence strategy. Sasa kwa matokeo haya ya awali kwa UKAWA kuishinda miji muhimu ya Dsm, Arusha, Moshi, Mbeya, Bukoba, Tanga n.k... ni sawa na muujiza wa kihistoria. Kwa Mwanza nguvu iliyotumiwa na CCM wakishirikiana na Star TV tarehe 24 pale Kirumba Stadium na mkoani kote Geita na Shinyanga ilikuwa "game changer".

Suluhisho pekee kwa kwenda mbele na kuimarisha demokrasia, utawala bora na maendeleo chanya (sustainable development) ni kwa nchi yetu kupata katiba mpya iliyo bora. Kwa upande mwingine ujio wa Lowasa na wenzake kwenye upinzani is by far an asset in the medium to long term political perspective.
 
Unaongeza madiwani Monduli unapoteza wabunge Mwanza akili kweli hizi.

Mbona hausemi kuongeza wabunge Dsm, Arusha, Kilimanjaro, Morogoro (ambako hakukuwahi kabisa kuwa na wabunge wa upinzani), n.k
 
Hawajaanza Leo tang zitto anaham walianza kuhaha Dr slaa kafata sasa ndo majonz...swal je?mzee kingunge ataenda wap
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Kwa matokeo haya ya ubunge, udiwani na Urais yanayoendelea kutokewa, ni dhahiri kwamba Dr Slaa alikuwa sahihi kuondoka CHADEMA. UKAWA hawakuwa na hoja za kuombea kura. Walibaki kuzungusha mikono tu. ndo maana wakawapata vijana wachache tu wa kuwaunga mkono na wengi wenye akili wamewakataa.

Dr Slaa, waonee huruma wenzako. Wamevurugwa.

Hautumii hata akili ya kawaida cdm imkumbuke kwa lipi? Hadi sasa hivi cdm pekee yake ishapata wabunge wa majimboni 39 na matokeo bado yanaendelea kutolewa ni wakati gani slaa aliwahi ku archive kiasi hiki? Tulia sindano ikuuingie maungoni na mwaka huu lowasa lazima akutoe makamasi
 
Baada ya kudanganywa na Mbowe na Gwajima mkaanza kumtukana mnamuita Dr.wa mihogo haya haya sasa mabadiliko yapo wapi makamanda???

Mtaijua cdm mwaka huu wabunge ndio hao wanazidi kuongezeka kila sekunde na maccm yanaangukia pua lazima mhame nchi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom