CHADEMA waanza kumkumbuka Dr Slaa

CHADEMA waanza kumkumbuka Dr Slaa

Ushauri mwingine bwana....

Hebu tuache unfounded feelings

Tuwaache ACT wakue wadhihirishe nguvu zao zaidi....mpaka sasa wako mahali pazuri and I commend them for good work done

Dr. Slaa uamuzi wake wa kupumzika Siasa ni mzuri zaidi....ajali iliyomkuta ya kisiasa he cant recover from it and he wont make a good leader of a any political part

Ajali ya kufanyiwa uhuni na watu aliowaamini? Hatuwezi kutoa conclusion rahisi kama hii kupoteza mtu aliyeinua upinzani na kutoa mwamko ambao wengine walitaka kudandia na kupitia damu za watu wakati hawajawahi kutoa hata jasho ....Dr Slaa ni yule yule na utashuhudia mwenyewe ....
 
Ushauri mwingine bwana....

Hebu tuache unfounded feelings

Tuwaache ACT wakue wadhihirishe nguvu zao zaidi....mpaka sasa wako mahali pazuri and I commend them for good work done

Dr. Slaa uamuzi wake wa kupumzika Siasa ni mzuri zaidi....ajali iliyomkuta ya kisiasa he cant recover from it and he wont make a good leader of a any political part

Cdm sasa waongozwa na mafisad aibu imewakumba malofa kweli
 
Namshauri Anna, mgombea urais wa chama cha ACT, aungane na Slaa waanzishe chama chao cha siasa wachape kazi ya kupinga ufisadi. Sababu ni kuwa Chadema ya Mbowe inakumbatia ufisadi wakati ACT ni wasaliti siyo saizi ya Anna.

Chagga,minjino njano mla mbege utalijua tu.Umekunywa mbege ndo umeleta hapa chuki zako.Stupid
 
Baada ya kudanganywa na Mbowe na Gwajima mkaanza kumtukana mnamuita Dr.wa mihogo haya haya sasa mabadiliko yapo wapi makamanda???

Mmesahau aliwapigia kampeni..na mlimnunua!?
 
cjawah kuona majina ya wanafiki,wazandikiki yakakumbukwa cjaona pengo lake hata chembe.
 
Wanaukumbi.

Matokeo ya uchaguzi mkuu yanazidi kutoka kwa kasi na mwelekeo unaonyesha Chadema wanaelekea kufanya vibaya na kupoteza majimbo yao tofauti kama watu walivyotegemea.

Hii ni laana ya Dr.Slaa walichomfanyia hii ndiyo hukumu yao kwa yale waliomfanyia.

Natoa ushauri kwa Chadema kabla Chadema hawajasambaratika kama jumuhuri ya Urusi muombeni msamaha Dr.Slaa hawasemehe la sivyo mtapotea kabisa kwenye ulingo wa siasa.


Wewe ni chizi kwelikweli,

Huyo Dr. Slaa wako alishinda viti vingapi vya Ubunge wakti akigombea Urais mwaka 2005?
Matokeo bado yanakuja na kwanza ndiyo tuko jimbo la 1x na kuna majimbo 264 zaidi. Wewe subiri jimbo la mwisho ndiyo ufanye tathmini ya compare and contrast kuona Dr. Slaa alipata kura ngapi(by percantage) na viti vingapi vya Ubunge.

Usifikiri kupoteza majimbo 2 Mwanza na jimbo 1 Musoma ndiyo kushindwa, hizo ni hesabu za Twaweza. Kumbuka kuna majimbo yalikuwa ya CCM yamechukuliwa likiwemo la Mwanri na la Chiza, mbona hayo husemi???
Simblisi wewe.
 
Baada ya kudanganywa na Mbowe na Gwajima mkaanza kumtukana mnamuita Dr.wa mihogo haya haya sasa mabadiliko yapo wapi makamanda???

Haya ndiyo madhara ya kubadilisha gear angani bila kufanya research.
 
Wewe chizi kwelilweli,

Huyo Dr. Slaa alishinda viti vingapi vya Ubunge wakti wake wa kugombea Urais 2005?
Matokeo bado yanakuja tuko jimbo la 1x na kuna majimbo 264. Wewe subiri jimbo la mwisho ndiyo ufanye tathmini ya compare and contrast kuona Dr. Slaa alipata kura ngapi(by percantage) na viti vingapi vya Ubunge.

Usifikiri kupoteza majimbo 2 Mwanza na jimbo 1 Musoma ndiyo kushindwa, hizo ni hesabu za Twaweza. Kumbuka kuna majimbo yalikuwa ya CCM yamechukuliwa likiwemo la Mwanri na la Chiza, mbona hayo husemi???
Simblisi wewe.
Mojawapo ya tatizo la vijana wa BAVICHA ni matusi. Yaani hamuwezi kabisa kumjibu mtu kistaarabu bila kumtukana. Hili nalo pengine limesaidia kuwapunguzia kura. Uchaguzi umepita sasa. Ni lazima tuendelee kutukanana? Can we talk normally as civilized beings? Bagosha!
 
Lowassa usijinyee tena tu...vumilia baba! Hii ndio CCM.
 
Wamefika mwisho na Kingunge wao na sumaye vijana wamegawana shamba yake
 
Lowassa usijinyee tena tu...vumilia baba! Hii ndio CCM.
Lowassa anaweza kuwa babangu na siwezi kuzungumzia mambo ya kujinyea. Shida kubwa ni hayo madeni sasa. 10+ years anatapanya hela za "marafiki" kujenga mtandao. Mabilioni kwa akina Mbowe. Hela hizo zitarudije? That's the one million question! Mgodi unaotembea my foot!
 
Hivi ile misukule ya Lowasa imeenda wapi? Ila taarifa zilizopo ni kwamba imekamatwa na polisi kwa kuchakachua matokeo

Jaribu kuwa muungwana,lugha za maudhi hazifai,tunahitaji kuwa na utangamano wa Kitaifa muda huu kuliko wakati mwingine wowote.Katika uchaguzi huu,mshindi ni Tanzania,si mimi au wewe.Kuna maisha baada ya uchaguzi,mwisho wa yote kila mtu ataendelea kupata ridhiki yake kwa jasho lake mwenyewe.Hakuna atakayepewa huduma yoyote wala kununua bidhaa yoyote kwa kuonesha kadi ya chama.Kuendelea kutumia lugha za kuudhi ni kukuza mpasuko uliopo ambao unaweza kuzaa chuki ya hatari na kusababisha machafuko.Kama wewe unananufaika na mfumo uliopo,basi mshukuru Mungu kuliko kuwadharau wenzio.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom