Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,569
Kwaniaba ya Bavicha na chadema namuomba msamaha Dr.W.Slaa kwa matusi na kejeli aliyo tukanwa na Bavicha muda wote...! Najua Slaa angekuwepo Chadema ingepata kura nyingi za kumfikia Rais Magufuli!
Ewe Slaa wasamehe Chadema na UKAWA na uwaepusha na laana uliyo waachia.....!
Ewe Slaa wasamehe Chadema na UKAWA na uwaepusha na laana uliyo waachia.....!
Last edited by a moderator: