Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
- , huyu Mbowe toka mwaka 1990 mpaka leo bado anasoma Degree ya kwanza UK, lakini akiwa bongo hajamaliza!
Bora yeye hajamaliza kuliko wewe uliyemaliza na kupata zero kwiro sekondari.
- , huyu Mbowe toka mwaka 1990 mpaka leo bado anasoma Degree ya kwanza UK, lakini akiwa bongo hajamaliza!
Huwa nashangaa sana wanaokutukana humu ndani, lakini leo naanza kupata jibu.
Huwa nashangaa sana wanaokutukana humu ndani, lakini leo naanza kupata jibu.
- Well, nimekuwa najiuliza hili swali kwa muda sasa kwamba Chadema wanafikiria nini hasa kuhusu mgombea Urais 2015, maana sio siri kwamba kwa sasa hawana, DR. Slaa hawezi tena kugombea na akigombea itakuwa a big insult kwa wengine huko Chadema kwa sababu haiwezekani mtu kila akigombea anashindwa halafu mnampa tena huyo huyo, baada kushindwa sana na chaguzi mbali mbali ni clear kwamba hana jipya tena!!
- Mbowe hawezi kugombea tena maana amegombea sana na kushindwa kila wakati, so Zitto ndiye mgombea peke yake ambaye bado kugombea Urais, ni msomi wa kweli, ni mwanasiasa na anawafaa sana Chadema, lakini kwa vile huko wenzetu wamezoea kukumbatia mediocre hawamtaki, Walimtegemea sana Waziri wa CCM Sitta, lakini na yeye kawatolea nje sasa swali ni je watampata wapi mgombea credible?
Chadema mtafakari hii kuliko kupoteza muda mwingi kushindana na hoja mfu na CCM, ukweli ni kwamba 2015 hamna mgombea credible CCM ina team ya wagombea credible, jipangeni sasa jamani!!
NI USHAURI WA BURE TU JAMANI!!
Sikujua kuwa ilikuwa big insult kwa mdingi wako kupigwa chini wakati anawania nafasi ya urais. Inaelekea Chadema inakunyima sana usingizi kila ukipost siku hizi hapa JF lazima uizungumzie Chadema na Dr.Slaa, vipi wamekukamata sehemu mbaya nini?
Well, Slaa hafai kabisa hata kuwa katibu wa kata, hafaii kwa sababu kwanza ni Muongo na pili hana maadili!!Le Mutuz!!
- Unazungumzia Makamu Wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, ndio utalinganisha na Makatibu kata Slaa au Mbowe? Yaani hizi hoja zingine sijui hata kwa nini ninajibu!!
Le Mutuz!
Bora yeye hajamaliza kuliko wewe uliyemaliza na kupata zero kwiro sekondari.
bora yeye hajamaliza kuliko wewe uliyemaliza na kupata zero kwiro sekondari.
kwi kwi kwi! U have completed my day! Hilo domo si bure linakula mapesaaaa, limekwiba kila angle na bado halishibi!! Na hicho kichwa humo ndani, kuna ubongo au urojo???lohhh, mkuu willy, nilifikiri matusi yanasemwa waziwazi siku hizi na si ya kutafuta.
Karume juzijuzi kasema moja kali sana hadi naambiwa kuwa zenji picha zake zimenyofolewa mjini.
picha kwa hisani ya: Uhuni Wa Kisonge na CCM | Mzalendo.net
- Unazungumzia Makamu Wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, ndio utalinganisha na Makatibu kata Slaa au Mbowe? Yaani hizi hoja zingine sijui hata kwa nini ninajibu!!
Le Mutuz!
- Yaani hii ndio maana ya The King Of All bongo Network Social Media, na big celeb yaani unanijua mpaka shule niliyosoma mimi sikuji wala sijui umesoma wapi, unaona siku moja nilikuwa nahojiwa na National TV najadili mambo mazito ya taifa, mtangazaji akasema ngoja tuangalie maswali toka JF, maswali yote kwa nini umetoka JF Tafadhali rudi bwana, sasa nimerudi maana ilianza kuwa kero hata nikiwa kenye starehe maswali ya JF,
- So now here I am wanajikanyaga! kanyaga! wewe unafikiri mimi nimesoma Degree ya kwanza toka 1990 mpaka leo na bado sijamaliza? I mean huna aibu unatetea mediocre! chama cha mediocre tupu!!
Le Mutuz!!
Huu unaouita ushauri uende ukamshauri baba yako, ndiye utakayemfaa.
Willy, umechanganyikiwa....full stop
- Si ndio sera ya chama chenu matusi, lakini ni mikwara tu ya kuficha umediocre ndio maana hapa hatujali matusi yenu tunawapiga kwa lugha mnayoijua zaidi, majitu mazima na akili timamu mnatetea mediocre eti kwani amegombea mara ngapi so what? Huyo amegombea na kushindwa Urais wananchi wamemkataa hana jipya, kwenye Udiwani wananchi wamemkataa hana jipya sasa kwa vile nyi eni mediocre mnataka kumpa tena kugombea Urais ndio maana mnalia sana,
- Well, Slaa hafai kabisa hata kuwa katibu wa kata, hafaii kwa sababu kwanza ni Muongo na pili hana maadili!!
Le Mutuz!!
- Yaani hii ndio maana ya The King Of All bongo Network Social Media, na big celeb yaani unanijua mpaka shule niliyosoma mimi sikuji wala sijui umesoma wapi, unaona siku moja nilikuwa nahojiwa na National TV najadili mambo mazito ya taifa, mtangazaji akasema ngoja tuangalie maswali toka JF, maswali yote kwa nini umetoka JF Tafadhali rudi bwana, sasa nimerudi maana ilianza kuwa kero hata nikiwa kenye starehe maswali ya JF,
- So now here I am wanajikanyaga! kanyaga! wewe unafikiri mimi nimesoma Degree ya kwanza toka 1990 mpaka leo na bado sijamaliza? I mean huna aibu unatetea mediocre! chama cha mediocre tupu!!
Le Mutuz!!