ni kweli kamanda willy, chama kina matusi hiki!!!!- si ndio sera ya chama chenu matusi, lakini ni mikwara tu ya kuficha umediocre ndio maana hapa hatujali matusi yenu tunawapiga kwa lugha mnayoijua zaidi, majitu mazima na akili timamu mnatetea mediocre eti kwani amegombea mara ngapi so what? Huyo amegombea na kushindwa urais wananchi wamemkataa hana jipya, kwenye udiwani wananchi wamemkataa hana jipya sasa kwa vile nyi eni mediocre mnataka kumpa tena kugombea urais ndio maana mnalia sana,
- well, slaa hafai kabisa hata kuwa katibu wa kata, hafaii kwa sababu kwanza ni muongo na pili hana maadili!!
Le mutuz!!
- Well, nimekuwa najiuliza hili swali kwa muda sasa kwamba CHADEMA wanafikiria nini hasa kuhusu mgombea Urais 2015, maana sio siri kwamba kwa sasa hawana, DR. Slaa hawezi tena kugombea na akigombea itakuwa a big insult kwa wengine huko CHADEMA kwa sababu haiwezekani mtu kila akigombea anashindwa halafu mnampa tena huyo huyo, baada kushindwa sana na chaguzi mbali mbali ni clear kwamba hana jipya tena!!
- Mbowe hawezi kugombea tena maana amegombea sana na kushindwa kila wakati, so Zitto ndiye mgombea peke yake ambaye bado kugombea Urais, ni msomi wa kweli, ni mwanasiasa na anawafaa sana CHADEMA, lakini kwa vile huko wenzetu wamezoea kukumbatia mediocre hawamtaki, Walimtegemea sana Waziri wa CCM Sitta, lakini na yeye kawatolea nje sasa swali ni je watampata wapi mgombea credible?
CHADEMA mtafakari hii kuliko kupoteza muda mwingi kushindana na hoja mfu na CCM, ukweli ni kwamba 2015 hamna mgombea credible CCM ina team ya wagombea credible, jipangeni sasa jamani!!
NI USHAURI WA BURE TU JAMANI!!
DR. Slaa hawezi tena kugombea na akigombea itakuwa a big insult kwa wengine huko CHADEMA kwa sababu haiwezekani mtu kila akigombea anashindwa halafu mnampa tena huyo huyo, baada kushindwa sana na chaguzi mbali mbali ni clear kwamba hana jipya tena!!
Mbowe hawezi kugombea tena maana amegombea sana na kushindwa kila wakati,
so Zitto ndiye mgombea peke yake ambaye bado kugombea Urais, ni msomi wa kweli, ni mwanasiasa na anawafaa sana CHADEMA