Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Hahaha wanapumulia mashine Tundu Lissu alitegemea atawatisha watanzania kuwa jumuiya za kimataifa zinatumulika kila kona, akasahau kwamba TANZANIA ni sovereign, hata Amsterdam hataweza kuingia hadi jikoni.Tunasubiri kuona nyomi ya Sumbawanga,Katavi geita, simiyu Shinyanga Mwanza na bukoba, songea Mtwara na Lindi.Mikoa hii michache asikose kwenda ili tumpime kukubalika kwake.Asipokwenda atakuwa mbabaishaji.Wengi wanakuja kwa upole kuishauri chadema kuhusu mwenendo wao kuelekea kwenye Uchaguzi, ingawaje wanaandika kwa uangalifu na umakini mkubwa ili kuhakikisha hawaonekani kwamba wamekata tamaa na kuizamisha meli ya chadema, ukweli ni kwamba hali ni mbaya mno, kelele na nyodo zote zilizokuwepo mpaka siku Tundu Lisu anamshikaki Raisi Magufuli zimeyeyuka zote, chadema hali ni mbaya sana kuliko inavyoonekana, ...