Mlisema haya kabla ya 2020 hiyo decline haijaja,Nazijua fika takwimu za mitandao ya kijamii na Twitter ndo inaongoza, ila kama tukiangalia engagement ya mambo yanayowahusu basi Twitter ni ya mwisho na kama inatija yeyote basi ni kuwajaza Kiburi na huenda mkapopoteza ushawishi wenu kabisa ndani ya miaka mitatu ijayo.
Ukienda kutazama post zenye matamko ya viongozi wenu katika media outlets kila mtu anawapinga na wengi wanadhani labda hamna nia njema na Taifa ili. Na sasa inaonekana dhairi mkiwa na mtu mstarabu basi mnaanza dharau (Bila kujali ni nini unamini, Tanzania si kama USA utakubali tu mwenywkiti, na mwalimu mkuu ni watu tunaowaogopa na tunaamini wanapaswa kuheshimiwa challenging the status quo sio utamaduni wa wabongo acheni kua idealistic (Mh. Mbowe should know this better than anyone)). Watanzania si watu kama wa mataifa mengine hamna idadi kubwa ya watu wanaotaka power reshuffle, na hawafwati trends za kisiasa za watu wa mataifa mengine.
Kama mnataka kupima ratings zenu vizuri basi tazameni watu wanasemaje. Mpo kwenye decline moja kubwa sana especially kwa online community (namnajua impacts zake rights).
Mwisho: Whoever leads strategy should resign and I doubt kama hata mna idara hii. You need a team to execute this na sio maadhimio ya chama, CCM does this subconsciously but nyie mpo scattered all over the place, politics at some time ni less quantitative, sawa mnaweza kua na active members but do they believe in the movement, how many traitors have you had?
Unaoverrate kwa miezi zaidi ya 3! come again .Alichokifanya ni wasted energy: Alioverate sana courage ya wabongo.
huna hoja yoyoteHayo yanaweza kua yametokea kweli basi unadhani watu wapo sympathetic kwa CHADEMA, The common man does not kama naloongea ni la uongo naomba ukapitie comments youtube,facebook and instagram. All I am advising is chadema waone they need to measure and track mbinu zao wanachofanya now it is not helping at all.
Hivi nyinyi huwa mnapigania nini ? ikiwa kama hamtaki chadema idai haki
Pole ya nini ?Dogo pole
kwamba Lissu alipouliwa dodoma na wale watu wa mwendazake alikuwa anautaka uenyekiti wa chadema , au Ben saanane alipohoji elimu ya jiwe na kupotezwa ilikuwa uenyekiti wa chadema ? ccm ina vijana wajinga sana !hayo yote mmefanyiana wenyewe kwa wenyewe unafikiri hatujui ujingaa mnafanyaga kila mtu akitaka uenyekiti halafu unaleta ushenzi wako wa kutaka huruma hapa mpumbafuuuu
Pumbavu tupuNazijua fika takwimu za mitandao ya kijamii na Twitter ndo inaongoza, ila kama tukiangalia engagement ya mambo yanayowahusu basi Twitter ni ya mwisho na kama inatija yeyote basi ni kuwajaza Kiburi na huenda mkapopoteza ushawishi wenu kabisa ndani ya miaka mitatu ijayo.
Ukienda kutazama post zenye matamko ya viongozi wenu katika media outlets kila mtu anawapinga na wengi wanadhani labda hamna nia njema na Taifa ili. Na sasa inaonekana dhairi mkiwa na mtu mstarabu basi mnaanza dharau (Bila kujali ni nini unamini, Tanzania si kama USA utakubali tu mwenywkiti, na mwalimu mkuu ni watu tunaowaogopa na tunaamini wanapaswa kuheshimiwa challenging the status quo sio utamaduni wa wabongo acheni kua idealistic (Mh. Mbowe should know this better than anyone)). Watanzania si watu kama wa mataifa mengine hamna idadi kubwa ya watu wanaotaka power reshuffle, na hawafwati trends za kisiasa za watu wa mataifa mengine.
Kama mnataka kupima ratings zenu vizuri basi tazameni watu wanasemaje. Mpo kwenye decline moja kubwa sana especially kwa online community (namnajua impacts zake rights).
Mwisho: Whoever leads strategy should resign and I doubt kama hata mna idara hii. You need a team to execute this na sio maadhimio ya chama, CCM does this subconsciously but nyie mpo scattered all over the place, politics at some time ni less quantitative, sawa mnaweza kua na active members but do they believe in the movement, how many traitors have you had?
Stupid, ruhusu mikutano uone kuwa Chadema ni moyo wa watanzaniaChadema ni sawa na mtu alie katika hatua za mwisho za kufa. Ni lazima atape tape kujaribu kuokoa nafsi (roho) yake, lkn mwisho wa yote anakufa. Nashauri mwaka 2025 chadema wasisimamishe mgombea kwa upande wa uraisi, maana raisi Samia anatutosha na kutufaa watanzania kwa miaka zaidi ya 10 ijayo.
Mimi wala sikusema hivo! Nimesema leo na amini kwamba kwa mwendo huu chama kinakufa. Mpo emotional sana kuliko kuwa logicalMlisema haya kabla ya 2020 hiyo decline haijaja,
mlisema CDM itakufa kafa yeye na na watu waKe
Tutadai katiba usiku na mchana.
Hayo mambo ya ratings peleka lumumba
Mbona chadema haina wabunge lakini ni tishio kwa mahsramia wa ccm
.Stupid, ruhusu mikutano uone kuwa Chadema ni moyo wa watanzania
Kuna mobilization kubwa zaidi ya Ya Mange? That should tell you something.Unaoverrate kwa miezi zaidi ya 3! come again .
Angekuwepo unadhani Twitter , vyombo vya habari na wanahabari nguli waliokua wakimkosoa angewapa uhuru!??
Simply the vicious tyrant was heartless ,uncivilized and dwindle minded individual ! Take it to the bank
Mara chama ni mtaani sio mitandaoni sahvi tena mnadai mtandaoni ndio kila kitu??? Mbona Hamna msimamo.Mpo kwenye decline moja kubwa sana especially kwa online community
Huwa mna confidence sana ila ikifika suala la tume huru mnakua wakali sana. WeirdChadema ni sawa na mtu alie katika hatua za mwisho za kufa. Ni lazima atape tape kujaribu kuokoa nafsi (roho) yake, lkn mwisho wa yote anakufa. Nashauri mwaka 2025 chadema wasisimamishe mgombea kwa upande wa uraisi, maana raisi Samia anatutosha na kutufaa watanzania kwa miaka zaidi ya 10 ijayo.
Wapuuzi Hawa vibaraka wanajaribu kutwist, pressure ya kudai katiba mpyaMara chama ni mtaani sio mitandaoni sahvi tena mnadai mtandaoni ndio kila kitu??? Mbona Hamna msimamo.
Mie niliwapuuza toka mseme CHADEMA ipo mtandaoni na mjini tu ila clip kma hzi hampendi kuziona.
Unataka kusema mdude alijifunga mwenyewe na kujiwekea madawa mwenyewe? Mbona ametoka sasa!hayo yote mmefanyiana wenyewe kwa wenyewe unafikiri hatujui ujingaa mnafanyaga kila mtu akitaka uenyekiti halafu unaleta ushenzi wako wa kutaka huruma hapa mpumbafuuuu
Miaka mitano ijayo ccm haitakuwepo mitandaoni wala mitaani.Mara chama ni mtaani sio mitandaoni sahvi tena mnadai mtandaoni ndio kila kitu??? Mbona Hamna msimamo.
Mie niliwapuuza toka mseme CHADEMA ipo mtandaoni na mjini tu ila clip kma hzi hampendi kuziona.
Kwa kweli wamuulize MangeKuna mobilization kubwa zaidi ya Ya Mange? That should tell you something.
Hebu fanya hata tupicha tuone. MATAGA so mlisema mtandaoni sio chochote?Nazijua fika takwimu za mitandao ya kijamii na Twitter ndo inaongoza, ila kama tukiangalia engagement ya mambo yanayowahusu basi Twitter ni ya mwisho na kama inatija yeyote basi ni kuwajaza Kiburi na huenda mkapopoteza ushawishi wenu kabisa ndani ya miaka mitatu ijayo.
Ukienda kutazama post zenye matamko ya viongozi wenu katika media outlets kila mtu anawapinga na wengi wanadhani labda hamna nia njema na Taifa ili. Na sasa inaonekana dhairi mkiwa na mtu mstarabu basi mnaanza dharau (Bila kujali ni nini unamini, Tanzania si kama USA utakubali tu mwenywkiti, na mwalimu mkuu ni watu tunaowaogopa na tunaamini wanapaswa kuheshimiwa challenging the status quo sio utamaduni wa wabongo acheni kua idealistic (Mh. Mbowe should know this better than anyone)). Watanzania si watu kama wa mataifa mengine hamna idadi kubwa ya watu wanaotaka power reshuffle, na hawafwati trends za kisiasa za watu wa mataifa mengine.
Kama mnataka kupima ratings zenu vizuri basi tazameni watu wanasemaje. Mpo kwenye decline moja kubwa sana especially kwa online community (namnajua impacts zake rights).
Mwisho: Whoever leads strategy should resign and I doubt kama hata mna idara hii. You need a team to execute this na sio maadhimio ya chama, CCM does this subconsciously but nyie mpo scattered all over the place, politics at some time ni less quantitative, sawa mnaweza kua na active members but do they believe in the movement, how many traitors have you had?