Mkuu Ritz huyo ocampo four ni kada,mwenzako sema yeye ni TeamLowasa, sasa msome vizuri maandishi yake utajua kuwa kuna mafuriko yanakuja.
Mwaka huu ccm mtaelewa tu.
I miss you sana nilivyokuona nikasema nisipite kabla sichaku chum...
Hahahaa siasani sipawezi hiki kipind pamewaka moto
La msingi zaid kwa UKAWA ni kujipanga kwa ajili ya kupat viti vingi bungeni atleast 60%wawe UKAWA
URAIS effort iwe less
Thanks sana momieeeeee..!!
Aisee huku Siasani kuna mazoba wengi sana kuliko kule kwenu, kule ni mteremko tu. Huku kuna Mijinga inajivika uanasiasa wakati hata kule MMU hakiwafai... Yaani nilitaka nikitoka hapa nije kwenu kule nitoe stress kidogo,kwaujio wako hapa ni kama umetia mafuta ya taa kweye moto wa nyasi..!!
Pazoee tu cute, patamu sana hapa.!!
BACK TANGANYIKA
Kwa uelewa mdogo walio nao majority wa tz huyu bwana atashinda,nipo Mwanza ukizunguka vijiweni ni aibu watu wamedata
Nimemdharau sana huyu jamaa..!!
Yaani tarehe ya kuanza kampeni bado, mtu aliyetia nia kupitia Cdm bado hajajitokeza, Hivi alitaka iweje? Wamwandae vipi? Kwamba wakati wanamwandaa walitakiwa kufunga safari nyumbani kwake wakamwambie kwamba tunamwandaa fulani.?? Hizi ni akili chovu kuliko mlenda wa juzi!!!! Watu wanadhani siasa ni kitu simple kama kucheza drafti au bao kwenye mabaraza ya Lumumba..!!!
Lakini kinachonishangaza mimi huyu mleta mada amejuaje kwamb Dr Slaa kashuka umaarufu? Ktk tafiti kadhaa zilizofanywa na Twaweza na hivi karibuni Raddet, Dr Slaa Either alishika namba moja au mbili nyuma ya Lowassa.! Sawa tuseme kwamba hizo tafiti hatuziamini... Hapa Jf kunapoll kadhaa zimeitishwa na Dr Slaa kawagaragaza mbaya wote aliokuwa akishindanishwa nao. Tena huyu Magufuli wake hakuwa hata akitajwa, kwamaana kwamba hakua President material..
Leo mtu anakuja kuandamana hapa Jf eti Magufuli atashinda kwa Asilimia 95(bana meno) Upumbavu ulioje..!!! Hivi kama ni suala la mtu kuandaliwa anajuaje kwamba Dr Slaa hajaandaliwa?
Freeland, umejidhalilisha sana leo ptuuu!!
BACK TANGANYIKA
Wadau;
Kati ya vitu ambavyo CHADEMA wamenikera ni wao kushindwa kuandaa mtu kwa ajili ya kugombea Urais mwaka 2015
Tangu mwaka 2010 walikuwa na muda wa kutosha kutengeneza mtu mpya kwa ajili ya position hiyo
Walikuwa na uwezo wote wa kufanya Poaching na kumpata mtu huyo
Lakini kwa Ubinafsi tu wa kudhani slaa anatosha ndio maana tuko hapa tulipo
Dr Slaa hana mvuto tena...hana kipya anachoweza kukisema kwa wananchi....watu wamemzoea sana.....kama Dr slaa akishindana na Magufuli ...Magufuli atashinda kwa asilimia 95,yaani 95%.
CCM wamejitahidi kupambana na mgogoro wa ndani ya chama chao na kukiacha chama salama....CCM wameonesha kiwango cha juu cha management ya kisiasa...kitu ambacho sisi tumekishindwa
CCM wako very organized....Tukibisha ni ubishi tu
Ushauri wangu..Tuweke silaha chini na tutoe matumaini kwenye Urais...Tuweke Concentration Kubwa kwenye Ubunge ili tupate Bunge lililo Imara
Tukiwa na Bunge Imara..Rais Mwenye Maamuzi...Tutafika Mbali
Kule sasa hivi nimehama dear.
Chuki zilizidi sanaaa ban kila siku nikaamua nipapotezee now nimeamua kutulia zangu sport huku nangoja msimu.
Ila celebrity hapana mkuu wangu kule mtu unaweza ukajikuta kila siku unatenda dhambi.
Kumbe na siasani kuna mamlukii hahahaaa ila taratibu wataelewa usijal
Unasema wapinzani wapambane wapate wabunge wengi Kwa akili zako wataweza kupata wabunge wengi bila kura nyngi za urais Kwa hiyo wabunge wajinadi mwenyewe bila kumnadi rais nia ya ukawa ni kushika dola kushika dola ni pamoja na kuwa na wabunge wengi ambao wakishirikiana na rais kama umeona upinzani wanaweza kutoa wabunge wengi ujue rais pia wanawezaHalafu hapa watu wanajifanya...oOOOOOH sijui slaa oooh sijui nani...waende huko mitaani wakasikilize....Narudia tena Kwa Magufuli na Slaa...slaa will get below 5% count my words...Labda wabadilishe mtu asiwe slaa
Unasema wapinzani wapambane wapate wabunge wengi Kwa akili zako wataweza kupata wabunge wengi bila kura nyngi za urais Kwa hiyo wabunge wajinadi mwenyewe bila kumnadi rais nia ya ukawa ni kushika dola kushika dola ni pamoja na kuwa na wabunge wengi ambao wakishirikiana na rais kama umeona upinzani wanaweza kutoa wabunge wengi ujue rais pia wanaweza
Unasema wapinzani wapambane wapate wabunge wengi Kwa akili zako wataweza kupata wabunge wengi bila kura nyngi za urais Kwa hiyo wabunge wajinadi mwenyewe bila kumnadi rais nia ya ukawa ni kushika dola kushika dola ni pamoja na kuwa na wabunge wengi ambao wakishirikiana na rais kama umeona upinzani wanaweza kutoa wabunge wengi ujue rais pia wanaweza
Wadau;
Kati ya vitu ambavyo CHADEMA wamenikera ni wao kushindwa kuandaa mtu kwa ajili ya kugombea Urais mwaka 2015
Tangu mwaka 2010 walikuwa na muda wa kutosha kutengeneza mtu mpya kwa ajili ya position hiyo
Walikuwa na uwezo wote wa kufanya Poaching na kumpata mtu huyo
Lakini kwa Ubinafsi tu wa kudhani slaa anatosha ndio maana tuko hapa tulipo
Dr Slaa hana mvuto tena...hana kipya anachoweza kukisema kwa wananchi....watu wamemzoea sana.....kama Dr slaa akishindana na Magufuli ...Magufuli atashinda kwa asilimia 95,yaani 95%.
CCM wamejitahidi kupambana na mgogoro wa ndani ya chama chao na kukiacha chama salama....CCM wameonesha kiwango cha juu cha management ya kisiasa...kitu ambacho sisi tumekishindwa
CCM wako very organized....Tukibisha ni ubishi tu
Ushauri wangu..Tuweke silaha chini na tutoe matumaini kwenye Urais...Tuweke Concentration Kubwa kwenye Ubunge ili tupate Bunge lililo Imara
Tukiwa na Bunge Imara..Rais Mwenye Maamuzi...Tutafika Mbali