CHADEMA na UKAWA tukubali ku surrender, hatukujipanga

CHADEMA na UKAWA tukubali ku surrender, hatukujipanga

CCM ishafikia ukomo, imeshagota!! songeni mbele watanzania - kumeshakucha!! UKAWA imetangulia mbele yetu!!
 
Kamanda naona umeamua kujifariji kuna maajabu gani tena Dr.Slaa kuwa mgombea urais?

Muda wenu mwingi mnatumia kupambana na ACT-Wazalendo leo hii imebakia miezi mitatu tuingie kwenye uchaguzi unaleta drama.


Kila siku UKAWA wanajifungia watu wanne wanatoka bila maelewano maajabu ambayo watakuja nayo ni UKAWA kuvunjika na Kila mtu kuingia kwenye uchaguzi kivyake wapate kura mbili mbili na mwisho wa siku watasema usalama wa taifa wamewaibia kura.

Cc; Mkandara JokaKuu Kimweri

..ukawa inatakiwa iwekeze ktk ilani na hoja.

..ni makosa kuwekeza ktk mtu au mgombea.

.kuna makosa mengi sana ccm wameyafanya, sasa ikawa inatakiwa iwashawishi watz kuwa wakipewa uongozi watafanya vizuri zaidi.
 
Last edited by a moderator:
kiukweli kwa sasa UKAWA Hawana presidential material wa kukaa kwenye 'race' na DR MAGUFULI
so URAISI SAHAU...!!!
 
..ukawa inatakiwa iwekeze ktk ilani na hoja.

..ni makosa kuwekeza ktk mtu au mgombea.

.kuna makosa mengi sana ccm wameyafanya, sasa ikawa inatakiwa iwashawishi watz kuwa wakipewa uongozi watafanya vizuri zaidi.

Mkuu JokaKuu

hadi imefikia mtazamo huu wa kwangu,....nimeangalia hilo suala la USHAWISHI.....Bado namba haziji
 
Last edited by a moderator:
Mkuu JokaKuu

hadi imefikia mtazamo huu wa kwangu,....nimeangalia hilo suala la USHAWISHI.....Bado namba haziji

..wiki moja iliyopita wengi waliamini hakuna wa kumshinda Lowassa.

..ccm ni chama kichafu mno. Ukawa wanatakiwa wawashawishi wananchi wamkatae magufuli kutokana na uchafu wa chama chake. It is a very tough assignment, but i believe it can be done.
 
Last edited by a moderator:
..wiki moja iliyopita wengi waliamini hakuna wa kumshinda Lowassa.

..ccm ni chama kichafu mno. Ukawa wanatakiwa wawashawishi wananchi wamkatae magufuli kutokana na uchafu wa chama chake. It is a very tough assignment, but i believe it can be done.
Pia wengi wamesahau kuwa dhumuni la ukawa ni kupata katiba mpya ya wananchi, will Magufuli provide that? I doubt it!

Namshangaa Warioba naye anamkubali.
 
The disgrace of illiteracy in Tanzania as managed by CCM and its clowns
 
..wiki moja iliyopita wengi waliamini hakuna wa kumshinda Lowassa.

..ccm ni chama kichafu mno. Ukawa wanatakiwa wawashawishi wananchi wamkatae magufuli kutokana na uchafu wa chama chake. It is a very tough assignment, but i believe it can be done.

This assignment would have been easy.........endapo tu UKAWA wakiweka mtu electable.....Mtu ambaye hata watu wakimsikia watasema YES....Je mtu huyo Yupo? Je mtu huyo ameandaliwa?
 
nifah tuweke rekodi sawa
 
Last edited by a moderator:
yaani,kwani we unavyojua Ukawa imemsimamisha Dr.Slaa kuwa mgombea wa urais,!!? Mbona mnajitoa ufahamu nyie,halafu mkiambiwa mmejaa matahira mnakataa.Chadema chini ya Ukawa tuna vichwa vingi tu vya kuvisimamisha.Tunachotaka ni malengo ya safari yetu kuwa kwenye meli moja,uelekeo wenye malengo mamoja
 
Hizi ni kelele za chura tu, sie mbele kwa mbele na Lowassa.
Mabadiliko hayana mjadala kwa sasa, ni LAZIMA!

Bado hunielewi....Read between the lines
 
yaani,kwani we unavyojua Ukawa imemsimamisha Dr.Slaa kuwa mgombea wa urais,!!? Mbona mnajitoa ufahamu nyie,halafu mkiambiwa mmejaa matahira mnakataa.Chadema chini ya Ukawa tuna vichwa vingi tu vya kuvisimamisha.Tunachotaka ni malengo ya safari yetu kuwa kwenye meli moja,uelekeo wenye malengo mamoja

Umesoma hio thread ni ya lini lakini au unakukuruka tu
 
Bado hunielewi....Read between the lines
Freeland nakujua wewe ni mfuasi wa Slaa, mimi sitaki hata kuumiza kichwa changu kuhusu hilo.
Endelea na Slaa wako mimi nasonga mbele kwenye safari ya mabadiliko.
 
Last edited by a moderator:
Freeland nakujua wewe ni mfuasi wa Slaa, mimi sitaki hata kuumiza kichwa changu kuhusu hilo.
Endelea na Slaa wako mimi nasonga mbele kwenye safari ya mabadiliko.

Nifah umempa jibu zuri sana hata mimi nampenda Dr Slaa kwa mazuri yake ila nae km amepewa pesa atusaliti kipindi hiki na kutugawa ntamuona takataka sisi tunasonga mbele na mabadiliko
 
Last edited by a moderator:
Nifah umempa jibu zuri sana hata mimi nampenda Dr Slaa kwa mazuri yake ila nae km amepewa pesa atusaliti kipindi hiki na kutugawa ntamuona takataka sisi tunasonga mbele na mabadiliko
Asante sana mkuu, kwakweli nitakosa imani na wale wote watakaorudi nyuma kama Slaa akitangaza kujitoa rasmi kwenye siasa au kupingana na mabadiliko.
Mabadiliko hayatosubiri yeyote atakayeonesha kuwa tofauti.
Sie tusonge mbele.
 
Wadau;

Kati ya vitu ambavyo CHADEMA wamenikera ni wao kushindwa kuandaa mtu kwa ajili ya kugombea Urais mwaka 2015

Tangu mwaka 2010 walikuwa na muda wa kutosha kutengeneza mtu mpya kwa ajili ya position hiyo

Walikuwa na uwezo wote wa kufanya Poaching na kumpata mtu huyo

Lakini kwa Ubinafsi tu wa kudhani slaa anatosha ndio maana tuko hapa tulipo

Dr Slaa hana mvuto tena...hana kipya anachoweza kukisema kwa wananchi....watu wamemzoea sana.....kama Dr slaa akishindana na Magufuli ...Magufuli atashinda kwa asilimia 95,yaani 95%.

CCM wamejitahidi kupambana na mgogoro wa ndani ya chama chao na kukiacha chama salama....CCM wameonesha kiwango cha juu cha management ya kisiasa...kitu ambacho sisi tumekishindwa

CCM wako very organized....Tukibisha ni ubishi tu

Ushauri wangu..Tuweke silaha chini na tutoe matumaini kwenye Urais...Tuweke Concentration Kubwa kwenye Ubunge ili tupate Bunge lililo Imara

Tukiwa na Bunge Imara..Rais Mwenye Maamuzi...Tutafika Mbali
nenda ccm tuachie Chadema yetu
 
Back
Top Bottom