CHADEMA na UKAWA tukubali ku surrender, hatukujipanga

CHADEMA na UKAWA tukubali ku surrender, hatukujipanga

La msingi zaid kwa UKAWA ni kujipanga kwa ajili ya kupat viti vingi bungeni atleast 60%wawe UKAWA

URAIS effort iwe less
 
Matapishi ya juzi haya.....!!!

Yaani mtu kuwa Memba wa Jf inakuwa kila mmoja sasa ni Mchambuzi wa siasa. Kila mmoja anasikia yuko sahihi kwa lolote asemalo..!!

Yaani katika.zama hizi mtu anakuja kujiaminisha na kuaminisha watu humu eti Magufuli atashinda kwa Asilimia 95.....!!! Huu ni ujuha wa hali ya juu sana, ni upinguani wa kiwango cha kwanza, ni Upumbavu wa kiwango cha uchizi kabisa...!!! Ccm wenyewe wanakili kwamba wao kwa idadi ya Wanachama wako milioni sita. Unajua idadi ya wanachama wa Cdm nchi nzima? Wanachama wa Cuf nchi nzima, Wanachama wa Nccr nchi nzima?? Jamani yaani mtu anajisikia raha tu kuja kuropoka hapa..!!

Hivi Magufuli ashinde kwa kiwango hicho kwa kipi alichonacho? Ukae na kutambua watu hii leo wameelimika sana, siyo wale wa miaka 40 iliyopita. Wanajua na kutambua wazi kwamba ktk mfumo wa nchi yetu, hata akapatikana mtu mzuri kiasi gani hawezi kufanya lolote kwasababu anautumikia mfumo uliooza, uliochoka, Uliodumaa..!! Ccm na Serikali yake ni mfumo chovu ktk kulingoza Taifa hili. Hata akapatikana kiongozi mzuri kiasi gani, hawezi kutukwamua Watanzania na Tanzania kama Nchi kutoka hapa Tulipokwama. Watanzania wanajua sasa kwamba ili tusonge mbele kama Taifa tunapaswa kuiweka pembeniccm pamoja na viongozi wake/Serikali yake.

Utambue na kuelewa kwamba hapa tulipo tunahitaji TAASISI IMARA NA SI MTU IMARA ILI KULIONGOZA TAIFA HILI. Na imethibitika wazi kwamba, ccm ni TAASISI CHOVU, IMESHINDWA KUONGOZA IMESHINDWA KUTAWALA no mission no vision..!! Hili hata babu yangu kule kijijini analijua, inakuwaje wewe kijana mdogo ushindwe kuyaelewa yote haya..!! Halafu unajiita mpinzani.. poor mind like this..!!!

Kwataarifa yako mlete huyo Magufuli wako, Wapinzani wako tayari kwa mapambano, liwake jua inyeshe mvua Hivi Magufuli ndiye nani? Huyu mwizi wa nyumba za Serikali, Huyu aliyeiingaza hasara kubwa ya mabilioni ya shilingi, kuanzia Wale Samaki, Meli za Wachina, Kituo cha Filling station pale Mwanza?? Huyo ndiyr unayemtambia wewe...mnxyuuuuuuuuu

Sijawahi kumdharau mtu kiasi hiki. bora ungejiita mccm ningesema unapiga propaganda..!!

BACK TANGANYIKA

respect wa boda.

Umepanic sana kamanda!! kama upo hapo nyumbani kunywa glass moja ya maji ya baridi kiasi kisha kaa kitako kama dakika tano munkari utaisha kisha njoo kwenya mjadala wetu.
 
Last edited by a moderator:
Matapishi ya juzi haya.....!!!

Yaani mtu kuwa Memba wa Jf inakuwa kila mmoja sasa ni Mchambuzi wa siasa. Kila mmoja anasikia yuko sahihi kwa lolote asemalo..!!

Yaani katika.zama hizi mtu anakuja kujiaminisha na kuaminisha watu humu eti Magufuli atashinda kwa Asilimia 95.....!!! Huu ni ujuha wa hali ya juu sana, ni upinguani wa kiwango cha kwanza, ni Upumbavu wa kiwango cha uchizi kabisa...!!! Ccm wenyewe wanakili kwamba wao kwa idadi ya Wanachama wako milioni sita. Unajua idadi ya wanachama wa Cdm nchi nzima? Wanachama wa Cuf nchi nzima, Wanachama wa Nccr nchi nzima?? Jamani yaani mtu anajisikia raha tu kuja kuropoka hapa..!!

Hivi Magufuli ashinde kwa kiwango hicho kwa kipi alichonacho? Ukae na kutambua watu hii leo wameelimika sana, siyo wale wa miaka 40 iliyopita. Wanajua na kutambua wazi kwamba ktk mfumo wa nchi yetu, hata akapatikana mtu mzuri kiasi gani hawezi kufanya lolote kwasababu anautumikia mfumo uliooza, uliochoka, Uliodumaa..!! Ccm na Serikali yake ni mfumo chovu ktk kulingoza Taifa hili. Hata akapatikana kiongozi mzuri kiasi gani, hawezi kutukwamua Watanzania na Tanzania kama Nchi kutoka hapa Tulipokwama. Watanzania wanajua sasa kwamba ili tusonge mbele kama Taifa tunapaswa kuiweka pembeniccm pamoja na viongozi wake/Serikali yake.

Utambue na kuelewa kwamba hapa tulipo tunahitaji TAASISI IMARA NA SI MTU IMARA ILI KULIONGOZA TAIFA HILI. Na imethibitika wazi kwamba, ccm ni TAASISI CHOVU, IMESHINDWA KUONGOZA IMESHINDWA KUTAWALA no mission no vision..!! Hili hata babu yangu kule kijijini analijua, inakuwaje wewe kijana mdogo ushindwe kuyaelewa yote haya..!! Halafu unajiita mpinzani.. poor mind like this..!!!

Kwataarifa yako mlete huyo Magufuli wako, Wapinzani wako tayari kwa mapambano, liwake jua inyeshe mvua Hivi Magufuli ndiye nani? Huyu mwizi wa nyumba za Serikali, Huyu aliyeiingaza hasara kubwa ya mabilioni ya shilingi, kuanzia Wale Samaki, Meli za Wachina, Kituo cha Filling station pale Mwanza?? Huyo ndiyr unayemtambia wewe...mnxyuuuuuuuuu

Sijawahi kumdharau mtu kiasi hiki. bora ungejiita mccm ningesema unapiga propaganda..!!

BACK TANGANYIKA

Mkuu....
 
Matapishi ya juzi haya.....!!!

Yaani mtu kuwa Memba wa Jf inakuwa kila mmoja sasa ni Mchambuzi wa siasa. Kila mmoja anasikia yuko sahihi kwa lolote asemalo..!!

Yaani katika.zama hizi mtu anakuja kujiaminisha na kuaminisha watu humu eti Magufuli atashinda kwa Asilimia 95.....!!! Huu ni ujuha wa hali ya juu sana, ni upinguani wa kiwango cha kwanza, ni Upumbavu wa kiwango cha uchizi kabisa...!!! Ccm wenyewe wanakili kwamba wao kwa idadi ya Wanachama wako milioni sita. Unajua idadi ya wanachama wa Cdm nchi nzima? Wanachama wa Cuf nchi nzima, Wanachama wa Nccr nchi nzima?? Jamani yaani mtu anajisikia raha tu kuja kuropoka hapa..!!

Hivi Magufuli ashinde kwa kiwango hicho kwa kipi alichonacho? Ukae na kutambua watu hii leo wameelimika sana, siyo wale wa miaka 40 iliyopita. Wanajua na kutambua wazi kwamba ktk mfumo wa nchi yetu, hata akapatikana mtu mzuri kiasi gani hawezi kufanya lolote kwasababu anautumikia mfumo uliooza, uliochoka, Uliodumaa..!! Ccm na Serikali yake ni mfumo chovu ktk kulingoza Taifa hili. Hata akapatikana kiongozi mzuri kiasi gani, hawezi kutukwamua Watanzania na Tanzania kama Nchi kutoka hapa Tulipokwama. Watanzania wanajua sasa kwamba ili tusonge mbele kama Taifa tunapaswa kuiweka pembeniccm pamoja na viongozi wake/Serikali yake.

Utambue na kuelewa kwamba hapa tulipo tunahitaji TAASISI IMARA NA SI MTU IMARA ILI KULIONGOZA TAIFA HILI. Na imethibitika wazi kwamba, ccm ni TAASISI CHOVU, IMESHINDWA KUONGOZA IMESHINDWA KUTAWALA no mission no vision..!! Hili hata babu yangu kule kijijini analijua, inakuwaje wewe kijana mdogo ushindwe kuyaelewa yote haya..!! Halafu unajiita mpinzani.. poor mind like this..!!!

Kwataarifa yako mlete huyo Magufuli wako, Wapinzani wako tayari kwa mapambano, liwake jua inyeshe mvua Hivi Magufuli ndiye nani? Huyu mwizi wa nyumba za Serikali, Huyu aliyeiingaza hasara kubwa ya mabilioni ya shilingi, kuanzia Wale Samaki, Meli za Wachina, Kituo cha Filling station pale Mwanza?? Huyo ndiyr unayemtambia wewe...mnxyuuuuuuuuu

Sijawahi kumdharau mtu kiasi hiki. bora ungejiita mccm ningesema unapiga propaganda..!!

BACK TANGANYIKA
Tunataka mabadiliko, na ni kweli mfumo wa sisiemu unahitaji kutolewa wote. Ila mfumo huo utatolewaje kama wanaotakiwa kuutoa hawajajipanga??
Upande wa kujipanga unajua kabisa mleta mada yuko sahihi, tuache kuvunga na kujipa matumaini! Ukawa hawasomeki mpaka sasa, target ya urais iwekwe pembeni, focus iwe viti vya ubunge!! Urais kama atasimamishwa Slaa, poa, kama Lipumba, poa. Ila angalau CUF waachiwe urais alafu CDM wajikite zaidi ktk ubunge kwa bara huku wakiandaa mgombea mwenye nguvu wa chaguzi kuu zijazo!
 
Urais waachane nao kwasababu tayari kaatikana sema wao wajizatiti vilivyo na sie tutawapa wabunge wa kutosha ili bunge lipendeze
 
Unazani kujipanga kisiasa kama kupanga mafungu ya nyanya ukawa wanajua wanachokifanya kama unazani kumwandaa mgombea mpaka wewe ujue chadema wanajua nini wanafanya cuf wanajua nini wanafanya nccr wajua nini wanafanya nld pia wanajua nini kinafanyika kuchukua dola sio sawa na kuchukua mke Kwa hiyo ukawa wana mbinu na mikakati yao kuwa mwanachama mtifu kamanda endelea kukinadi chama mabadiliko hayana muda ata Leo unaweza kuyapata ukiyaitaji Mimi na wewe ndio Wa kufanya mabadiliko

Nimemdharau sana huyu jamaa..!!

Yaani tarehe ya kuanza kampeni bado, mtu aliyetia nia kupitia Cdm bado hajajitokeza, Hivi alitaka iweje? Wamwandae vipi? Kwamba wakati wanamwandaa walitakiwa kufunga safari nyumbani kwake wakamwambie kwamba tunamwandaa fulani.?? Hizi ni akili chovu kuliko mlenda wa juzi!!!! Watu wanadhani siasa ni kitu simple kama kucheza drafti au bao kwenye mabaraza ya Lumumba..!!!

Lakini kinachonishangaza mimi huyu mleta mada amejuaje kwamb Dr Slaa kashuka umaarufu? Ktk tafiti kadhaa zilizofanywa na Twaweza na hivi karibuni Raddet, Dr Slaa Either alishika namba moja au mbili nyuma ya Lowassa.! Sawa tuseme kwamba hizo tafiti hatuziamini... Hapa Jf kunapoll kadhaa zimeitishwa na Dr Slaa kawagaragaza mbaya wote aliokuwa akishindanishwa nao. Tena huyu Magufuli wake hakuwa hata akitajwa, kwamaana kwamba hakua President material..

Leo mtu anakuja kuandamana hapa Jf eti Magufuli atashinda kwa Asilimia 95(bana meno) Upumbavu ulioje..!!! Hivi kama ni suala la mtu kuandaliwa anajuaje kwamba Dr Slaa hajaandaliwa?

Freeland, umejidhalilisha sana leo ptuuu!!

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
Haa ha ha walidhani watakutana na mgombea dhaifu,sasa Bulldozer hilo, kanda ya ziwa imeondoka tayari kwenye equation za Chadema.

Umbuke tu kuwa bulldozer kwake ni saiti linasubiri kuelekezwa cha kufanya sasa pale bulldozer linapopanga]]]] sijui ///
 
Tunataka mabadiliko, na ni kweli mfumo wa sisiemu unahitaji kutolewa wote. Ila mfumo huo utatolewaje kama wanaotakiwa kuutoa hawajajipanga??
Upande wa kujipanga unajua kabisa mleta mada yuko sahihi, tuache kuvunga na kujipa matumaini! Ukawa hawasomeki mpaka sasa, target ya urais iwekwe pembeni, focus iwe viti vya ubunge!! Urais kama atasimamishwa Slaa, poa, kama Lipumba, poa. Ila angalau CUF waachiwe urais alafu CDM wajikite zaidi ktk ubunge kwa bara huku wakiandaa mgombea mwenye nguvu wa chaguzi kuu zijazo!

At least you are coming with mapendekezo ya maana...Thank you
 
Nimemdharau sana huyu jamaa..!!

Yaani tarehe ya kuanza kampeni bado, mtu aliyetia nia kupitia Cdm bado hajajitokeza, Hivi alitaka iweje? Wamwandae vipi? Kwamba wakati wanamwandaa walitakiwa kufunga safari nyumbani kwake wakamwambie kwamba tunamwandaa fulani.?? Hizi ni akili chovu kuliko mlenda wa juzi!!!! Watu wanadhani siasa ni kitu simple kama kucheza drafti au bao kwenye mabaraza ya Lumumba..!!!

Lakini kinachonishangaza mimi huyu mleta mada amejuaje kwamb Dr Slaa kashuka umaarufu? Ktk tafiti kadhaa zilizofanywa na Twaweza na hivi karibuni Raddet, Dr Slaa Either alishika namba moja au mbili nyuma ya Lowassa.! Sawa tuseme kwamba hizo tafiti hatuziamini... Hapa Jf kunapoll kadhaa zimeitishwa na Dr Slaa kawagaragaza mbaya wote aliokuwa akishindanishwa nao. Tena huyu Magufuli wake hakuwa hata akitajwa, kwamaana kwamba hakua President material..

Leo mtu anakuja kuandamana hapa Jf eti Magufuli atashinda kwa Asilimia 95(bana meno) Upumbavu ulioje..!!! Hivi kama ni suala la mtu kuandaliwa anajuaje kwamba Dr Slaa hajaandaliwa?

Freeland, umejidhalilisha sana leo ptuuu!!

BACK TANGANYIKA

Ukweli Lazima Usemwe
 
Hawajajopanga kivipi mkuu? mbona mnaanza kutokwa povu wakati tarh 14/7 sio mbali? acheni papara...na Dr slaa hawezi poteza mvuto ata iweje.
 
Kamanda naona umeamua kujifariji kuna maajabu gani tena Dr.Slaa kuwa mgombea urais?

Muda wenu mwingi mnatumia kupambana na ACT-Wazalendo leo hii imebakia miezi mitatu tuingie kwenye uchaguzi unaleta drama.


Kila siku UKAWA wanajifungia watu wanne wanatoka bila maelewano maajabu ambayo watakuja nayo ni UKAWA kuvunjika na Kila mtu kuingia kwenye uchaguzi kivyake wapate kura mbili mbili na mwisho wa siku watasema usalama wa taifa wamewaibia kura.

Cc; Mkandara JokaKuu Kimweri

Mkuu Ritz huyo ocampo four ni kada,mwenzako sema yeye ni TeamLowasa, sasa msome vizuri maandishi yake utajua kuwa kuna mafuriko yanakuja.

Mwaka huu ccm mtaelewa tu.
 
Last edited by a moderator:
Lowassa akipokelewa UKAWA ndio imekufa na wamwongezea kura nyingi sana kwenye uchaguzi kwa sababu viongozi wa ukawa waliyoyasema kuhusu lowassa ni mengi sana wananchi waliyasikia. Leo anatangaza kwenda ukawa wananchi watajua kumbe na ukawa ni wale wale
 
Ninyi maccm mbona mnaanza kujihami mapema subilini na ukawa waje na mgombea wao halafu ndo mseme mnawashwa na nini tulieni.
 
Urais waachane nao kwasababu tayari kaatikana sema wao wajizatiti vilivyo na sie tutawapa wabunge wa kutosha ili bunge lipendeze

Wabunge wa kutosha sawa....

Lakini unajua kwamba Rais aweza kulivunjilia mbali Bunge iwapo "itampendeza yeye"? Kama tunahitaji Wabunge wengi wa Upinzani kwaajili ya utunzi mzuri wa sheria, Je wajua Rais aweza kukataa kutia sheria yoyote atakayoona haina "Maslahi" kwa nchi?

Tunahitaji Wabunge wengi wa upinzani as well as Rais kutoka Upinzani...!! Ili tuweze kuvunja vizuri mfumo mbovu wa utawala hapa nchini Tunahitaji Serikali mpya chini ya chama kipya ili tusonge mbele kama Taifa.

BACK TANGANYIKA
 

Aaahhhh momieee come onnn plz dah,

Kuna mtu kanikoroga hapa, anapakachuka na kupakachua bila mpango. Njoo unipe japo lita moja tu ya maji nijipoze hapa...!! But uhali gani cute b karibu hom hapa.

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
" 1. Nyumba za Serikali
Kwa hakika hili ni doa kubwa sana kwa Magufuli. Ni katika kipindi alichokuwa Waziri wa Ujenzi (awamu ya 3) alishawishi kwa nguvu na msukumo mkubwa sana mpaka kufanikiwa uuzaji wa nyumba za serikali.

Hii hatua ya Magufuli halina tofauti na kile alichokiita CAG Professor Assad “Political Entrepreneurship”. Professor Assad mara baada ya kuingia madarakani alisema wazi kwamba mradi wa Magufuli wa kuuza nyumba za serikali ni ufisadi mkubwa sana. Professor Assad alizidi kusema ya kwamba alichokifanya Magufuli yalikuwa kwa manufaa yake binafsi na ilikuwa ni “personal political entrepreneurship”.

Katika uamuzi huo, Magufuli alienda mbali zaidi mpaka kugawa bure baadhi ya nyumba kwa ndugu zake na mahawara zake. Kwa mfano Dada Kabula ambaye ni mmiliki hewa wa Kebby’s Hotel iliyopo Mwenge/Bamaga jijini Dar es Salaam. Dada Kabula ambaye hajawai kuwa mtumishi wa umma tokea awamu ya kwanza mpaka leo hii Ocampo ninaposhusha huu uzi alifanikiwa kuhongwa nyumba mbili zenye Plot No. MSM/201 na Plot No. MK/521 (Mikocheni na Msasani).

Kwa hatua hiyo Magufuli aliliingiza serikali hasara kubwa sana, na hayo machungu mpaka leo hayajaisha na serikali bado linaendelea kubeba mzigo. Katika kipindi hiki tumeshuhudia watumishi wengi (Majaji, na watendaji wakuu, makatibu wakuu) wamekuwa wakiishi hotelini, huku gharama za vyumba zikiwa za hali ya juu sana almost dola 1200-1500 kwa mwezi ambayo ni sawa na Millioni 27 kwa mwezi; kwa mwaka ni Millioni 324 kwa mtumishi moja.



2. Ujenzi wa Barabara
Eneo hili ni sehemu nyingine ambayo Magufuli amekuwa akijipatia fedha haramu. Baadhi ya wafuasi wake wamekuwa wakijaribu kusema kwamba ni TANROADS ndiyo wahusika wakuu katika barabara na siyo Magufuli. Ingawa hoja yao siyo ya kweli na haina mashiko.

Kiutaratibu na sheria barabara utakiwa kuwa na upana (width) wa 6.5m ila imegundulika barabara nyingi kipindi hichi cha Magufuli zimekuwa zikijengwa kwa 5.7m to 6m na siyo 6.5m, je fedha za hizo baki 0.5m to 0.8m zinakwenda wapi, ni wazi fedha hizo uingia mifukoni mwa Magufuli na washirika wake wa Tanroads. Vile vile ni kipindi kirefu sasa Highway Economic Assessment ya miradi ya barabara imekuwa hazifanyiki kitu ambacho kinapelekea barabara zetu nyingi kuwa chini ya viwango. Utafiti wa Ocampo unaonyesha kwamba barabara kuwa chini ya viwango ni swala la makusudi ambapo waziri na wasimamizi wa miradi husika wanakula na kugawana fedha za miradi….


3. Sakata La Bomoa Bomoa
Ni jambo la wazi ya kwamba sheria zimetumgwa ili zifuatwe, lakini kuwa na ubinadamu au utu ni zaidi ya sheria. Ni Magufuli huyu huyu alipigwa stop na Mh. Rais pale alipoona Magufuli anakiuka wazi haki za binadamu. Ubomoaji wa nyumba zilizopo pembezoni mwa barabara umekuwa hauzingatii “UTU”. Ni jambo la wazi wanaanchi wengi waliobomolewa nyumba zao mpaka sasa wako katika hali ngumu ya maisha na hawana uelekeo baada ya kufanyiwa unyama usiyothimilika na Magufuli.

Either wataalamu wengi pale wizarani katika mahojiano wanasema Magufuli hana tabia ya kufata sheria na utaratibu, wakitolea mfano swala la kuvunjwa kwa jengo la TANESCO (Ubungo) na jengo la Millenium Towers. Kwa hakika ni jambo jema sana kuwa na Rias kama JK aliyediriki kumpiga stop Magufuli, hivyo basi ni wazi anapaswa apate mtu wa juu yake katika kufanya maamuzi, ila yeye ndiyo akiwa mtoa maamuzi walai nchi tutaipoteza (Tafakari kwa kina).


4. Shelly Ya Mwanza
Tukizidi kukumbuka sakata la Shelly ya Mwanza ndipo tunazidi kujua jinsi gani Magufuli ni mtu wa kukurupuka na mtu mwenye chuki. Kwa chuki zake binafsi kipindi cha awamu ya 3 akiwa waziri wa ujenzi aliamuru kuvunjwa kwa Shelly ya bwana Mansoor (mbunge wa Kwimba) iliyopo maeneo ya madaraka misheni jijini Mwanza. Baada ya ukiukwaji huo wa sheria bwana Mansoor alienda mahakamani na kisha kushinda kesi na hukumu kutolewa kwamba serikali imlipe Mansoor mabillioni ya fedha, sababu kubwa zikiwa ni chuki na kisasi cha Magufuli……

5. Magufuli ni mtu mwenye kiburi, majivuno na hashauriki
Sifa zingine pekee za Magufuli ni mtu mwenye kiburi, majivuno na hashauriki kitu ambacho ni hatari sana kwa ustawi wa Taifa. Hayo mambo yamepelekea hata utendaji kazi wa watumishi wa chini kuwa mgumu sana. Watumishi chini ya wizara yake wanasema Magufuli ni mtu mwenye majivuno sana, ni mtu mwenye chuki na ni mtu asiyepokea ushauri wa mtu yeyote yule zaidi ya mke wake na Kabula…

6. Umiliki wa Kebby’s Hotel
Kebby’s Hotel ni hoteli iliyopo Mwenge/Bamaga upande wa kulia kama unaenda posta/mjini. Kwa muda mrefu mmiliki wa hoteli hiyo amekuwa akijificha katika mgongo wa mtu mwingine ila ukweli ni kwamba mmiliki halali wa hoteli hiyo ni John Pombe Magufuli na siyo Dada Kabula.

Umiliki wa Hoteli kubwa kama Kebby’s ambayo kulala ni zaidi ya dola 60-90 inaonyesha wazi kwamba Magufuli ni fisadi wa kimya kimya kama yule jamaa mwingine aliyepiga za Escrow na vibali vya sukari au yule aliyechimbia fedha za Ghadafi kwenye mahandaki.

7. Kuvunja Ndoa
Katika maandiko Matakatifu, Kumbukumbu la Torati 27: 14 imeandikwa alaaniwe yule amtamaniye mke wa nduguye au jirani yake. Ila kinyume na hayo maandiko Matakatifu Magufuli amediriki kumtamani mke wa jirani yake mpaka kupelekea kuvunja ndoa ya mtu.

Dada Kabula ambaye ni mmiliki hewa wa Kebby’s Hotel, awali alikuwa mke wa Januarius Maganga ambaye ni mtumishi mwandamizi katika makampuni ya IPP Media. Swali la kujiuliza kama Magufuli kadiriki kuvunja ndoa ya mtu angali ni waziri wa kawaida tu, je akiwa Rias itakuwaje? Jibu nafkiri unalo…. Na sitaki unipe jibu.

Nyerere katika moja ya hotuba zake aliwahi kutolea mfano sakata la waziri mdogo wa Uingereza aliye onekana na kimada barabarani. Kwa tamaduni za hao wenzetu huo ulikuwa ukosefu mkubwa wa maadili mpaka ikapelekea kufukuzwa kazi na waziri mkuu wa wakati huo.

8. Magufuli Hakifahamu Chama Vizuri
Ni jambo la wazi na ukweli usiopingika kwamba Taifa linatafuta Rais bora na kwa upande mwingine CCM kinatafuta mtu mwenye uwezo wa kushika kofia mbili kwa pamoja.

Magufuli ana utamaduni wa kutumia chama pale anapoitaji madaraka, ila pale tu anapoyapata hayo madaraka anakuwa ajiusishi na mkakati wowote wa kujenga chama. Historia inaonyesha Magufuli hajawahi kushika wadhifa au nafasi yoyote ile ndani ya chama, wanachama wa CCM wanauliza kwamba watamkabidhi vipi mtu asiye na background nzuri kwenye chama? Vile vile historia inaonyesha hajawahi kuchangia hata senti tano katika shughuli zozote zile zenye lengo la kujenga chama.

9. Sakata La Samaki
Katika muendelezo wa kukurupuka katika maamuzi, Waziri Magufuli mwaka jana tena aliliingiza Taifa na serikali kwa ujumla katika hasara nyingine. Ambapo serikali iliamuriwa na mahakama ilipe kiasi cha shilling Billioni 2.8 na kurudiha meli husika baada ya kukiuka sheria za kimataifa pale alipokamata Meli yenye vibali halali na iliyokuwa inafanya shughuli zake kihalali.

Sasa kama ni waziri wa kawaida anadiriki kuvunja sheria za kimataifa, Je akiwa Rais si ni wazi anaweza kulipelekea Nchi ikatengwa na jumuiya za kimataifa….. we need to think kwa umakini sana wakuu…..



10. Sakata La Kivuko
Dhana ya ubinadamu siyo kuvaa nguo au kulala kwenye nyumba bali ubinadamu ni pamoja na kuwa na hekima, busara na kauli nzuri kwa binadamu wenzako; cha kushangaza Magufuli alidiriki kutumia lugha iliyotafsiriwa kama tusi kubwa sana na wananchi wa Dar es Salaam, pale alipoowambia wapige mbizi wakitaka kwenda Kigamboni. Ni jambo jema kwa kiongozi kuwa na msimamo ila msimamo wake uendane na lugha nzuri, ya uungwana na ya ubinadamu. Ni wazi kauli hiyo iliwauzinisha sana na kukasirisha wananchi wengi Dar es Salaam. Ubinadamu na utu ni kitu cha bure na siyo cha ulazima, hivyo ilitegemewa Magufuli awe na kauli nzuri na yenye hekina na busara kwa wananchi husika.

11. Magufuli ni Mtu wa Visasi vya Hatari
Magufuli siyo mtu wa kawaida kabisa, ndani yake amejaa chuki na visasi. Ni mtu wa visasi vya ajabu, hii inanikumbusha alipogombea ubunge 1995 na bwana Ernest Nyororo. Baada ya kushindwa katika kura za maoni ila baadaye alipoteuliwa bila uwoga alianza kumshughulikia Nyororo mpaka ikampelekea Nyororo akapata shinikizo la moyo. Kumbuka Nyororo ni ndugu yake wa damu sasa sisi wengine itakuwaje, ni wazi hili jambo linaitaji tafakari ya kina. Kama ndugu yake anaweza kumshambulia kiasi hicho iweje watu wa kawaida….. Leo Ocampo nikiwa naandika huu uzi sisiti kusema ya kwamba hata hao viongozi wanaotaka Magufuli apitishwe naomba niwaambie kwa chuki na kisasi cha Magufuli kuna siku atawabadilikia tena sana sana. Huko mbeleni naomba msije mkasema Ocampo hakutuambia….. Nina hakika asilimia zaidi ya 100 Magufuli ana chuki na viongozi waandamizi wa sasa, chuki hiyo anasubiri kuilipiza muda ukifika….

NB: Je kuna Magufuli Mwingine au ni huyu huyu?...............

Asanteni
Ocampo four "
 
Kuna watu wanaishi kwa matukio. Hawana misimamo, anasikiliza wenzake wanasema nini na yeye anarukia huko.
Watanzania wengi wapo hivyo.
 
Aaahhhh momieee come onnn plz dah,

Kuna mtu kanikoroga hapa, anapakachuka na kupakachua bila mpango. Njoo unipe japo lita moja tu ya maji nijipoze hapa...!! But uhali gani cute b karibu hom hapa.

BACK TANGANYIKA

I miss you sana nilivyokuona nikasema nisipite kabla sichaku chum...
Hahahaa siasani sipawezi hiki kipind pamewaka moto
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom