Matapishi ya juzi haya.....!!!
Yaani mtu kuwa Memba wa Jf inakuwa kila mmoja sasa ni Mchambuzi wa siasa. Kila mmoja anasikia yuko sahihi kwa lolote asemalo..!!
Yaani katika.zama hizi mtu anakuja kujiaminisha na kuaminisha watu humu eti Magufuli atashinda kwa Asilimia 95.....!!! Huu ni ujuha wa hali ya juu sana, ni upinguani wa kiwango cha kwanza, ni Upumbavu wa kiwango cha uchizi kabisa...!!! Ccm wenyewe wanakili kwamba wao kwa idadi ya Wanachama wako milioni sita. Unajua idadi ya wanachama wa Cdm nchi nzima? Wanachama wa Cuf nchi nzima, Wanachama wa Nccr nchi nzima?? Jamani yaani mtu anajisikia raha tu kuja kuropoka hapa..!!
Hivi Magufuli ashinde kwa kiwango hicho kwa kipi alichonacho? Ukae na kutambua watu hii leo wameelimika sana, siyo wale wa miaka 40 iliyopita. Wanajua na kutambua wazi kwamba ktk mfumo wa nchi yetu, hata akapatikana mtu mzuri kiasi gani hawezi kufanya lolote kwasababu anautumikia mfumo uliooza, uliochoka, Uliodumaa..!! Ccm na Serikali yake ni mfumo chovu ktk kulingoza Taifa hili. Hata akapatikana kiongozi mzuri kiasi gani, hawezi kutukwamua Watanzania na Tanzania kama Nchi kutoka hapa Tulipokwama. Watanzania wanajua sasa kwamba ili tusonge mbele kama Taifa tunapaswa kuiweka pembeniccm pamoja na viongozi wake/Serikali yake.
Utambue na kuelewa kwamba hapa tulipo tunahitaji TAASISI IMARA NA SI MTU IMARA ILI KULIONGOZA TAIFA HILI. Na imethibitika wazi kwamba, ccm ni TAASISI CHOVU, IMESHINDWA KUONGOZA IMESHINDWA KUTAWALA no mission no vision..!! Hili hata babu yangu kule kijijini analijua, inakuwaje wewe kijana mdogo ushindwe kuyaelewa yote haya..!! Halafu unajiita mpinzani.. poor mind like this..!!!
Kwataarifa yako mlete huyo Magufuli wako, Wapinzani wako tayari kwa mapambano, liwake jua inyeshe mvua Hivi Magufuli ndiye nani? Huyu mwizi wa nyumba za Serikali, Huyu aliyeiingaza hasara kubwa ya mabilioni ya shilingi, kuanzia Wale Samaki, Meli za Wachina, Kituo cha Filling station pale Mwanza?? Huyo ndiyr unayemtambia wewe...mnxyuuuuuuuuu
Sijawahi kumdharau mtu kiasi hiki. bora ungejiita mccm ningesema unapiga propaganda..!!
BACK TANGANYIKA