Nashukuru Mungu nimetimiza wajibu wangu huu siku ya leo.Lengo kuu la jambo hili ni kumshukuru Mungu kwa wema na ulinzi wake mkubwa sana alioutenda katika kipindi chote cha kampeni.
View attachment 1612122View attachment 1612124View attachment 1612125View attachment 1612127View attachment 1612128View attachment 1612129View attachment 1612132
View attachment 1612150View attachment 1612151View attachment 1612153
Na iwe hivyo.Nashukuru Mungu nimetimiza wajibu wangu huu siku ya leo.
Nimemuomba Mungu juu ya Afanye, Awezeshe na Abariki, Tundu Antiphas Lissu ashinde na kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025, pia nimemuomba Chadema ushinde uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuwa Chama tawala Tanzania 2020-2025. Nimemuomba Mungu afanye, awezeshe na abariki Maalim Seif wa ACT wazalendo ashinde na kuwa Raisi wa Zanzibar 2020-2025 na ACT Wazalendo kiwe Chama tawala Zanzibar 2020-2025.
Kwa Jina la Yesu, Bwana, Mungu na Mwokozi wetu, amina.
Na HAKI na UHURU wa waTanzania viendelee kupotea? HAPANA. We can do better than that!Uchaguzi uishe salama, Tundu Lissu arudi Ubelgiji, shughuli nyingine za ujenzi wa taifa ziendelee...
We shindwe na ulegee!! usiwaite watu mashetani ili tu, uwalidhishe walikutuma! hivi huwa mkiwa ccm akili mnaziacha chooni!! unawezaje kuwaita watu walioumbwa na Mungu mashetani!! Shetani ni wewe na wazazi wako waliokuzaa!! jinga kabisa wewe!!Mashetani nayo hufanya dua. Mungu ameiepusha Tanzania na meno yenu yenye uchu wa madaraka.
Na wote wenye kupigania haki.Mungu ibariki Chadema
AminaNa wote wenye kupigania haki.
We (kafa ulaya mazishi afrika) kweliUchaguzi uishe salama, Tundu Lissu arudi Ubelgiji, shughuli nyingine za ujenzi wa taifa ziendelee...
🤡Uchaguzi uishe salama, Tundu Lissu arudi Ubelgiji, shughuli nyingine za ujenzi wa taifa ziendelee...
Mungu ni mwema nimetimiza wajibu wangu kwa sala.Mungu ibariki Chadema
Namuomba Mwenyezi Mungu aipokee dua yako , AminaMungu ni mwema nimetimiza wajibu wangu kwa sala.
1. Nimeomba haki itendeke
2. Nimekataa walioingia kwa rushwa hasa kuhonga wakurugenzi ili ashinde yeye
3. Polisi wafanye haki na wasitumike
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Aaaamiiiin,,,Uchaguzi uishe salama, Tundu Lissu arudi Ubelgiji, shughuli nyingine za ujenzi wa taifa ziendelee...
Umelogwa na aliyekuloga ameshakufaHivi Uchaguzi ni lini na saa ngapi?
Kumbe bado upo, I thought you are already dead! sikuoni JFDuh
Huyo mtalii wenu.. ametubu!! Maana alimkejeli sana Mwenyezi Mungu.. kipindi Rais jembe duniani Magufuli akismamie covid19 nchini na kutuhamas8sha tusali na kusali bila kuchoka.
Magufuli 2020💯
Hamkumuomba Mungu wakati wa corona virus ,sasa hivi ndio mnajua kuna Mungu.Mungu ibariki Chadema
Jifunze mipaka yako, sala haielekezwi kwako au kwa huyo ‘mponya’ korona wako, unaye mwabudu! Na kwa sababu yesu wenu wa lugola anaponya sana, Kwanini msiondoe na malaria?!Lisu haamini kwenye maombi wala dua haamini kama Mungu alisikia maombi ya Kuiondoa Corona Tanzania
Kachelewa mpagani huyo kamdhalilisha Mungu halafu anaanza kujitia ana maombi mnafiki
Chadema hakushiriki maombi ya kuondoa janga LA corona mkaenda kujifungia ndani na mitambara midomoni wanafiki nyinyi badala ya kuombea kipindi kile mamilioni ya watanzania wasife kwa Corona mnahangaika kujiombea wagombea mpate kura hampati