CHADEMA na Siku Maalum ya Dua, Sala na Shukrani nchi nzima

Nashukuru Mungu nimetimiza wajibu wangu huu siku ya leo.

Nimemuomba Mungu juu ya Afanye, Awezeshe na Abariki, Tundu Antiphas Lissu ashinde na kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025, pia nimemuomba Chadema ushinde uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuwa Chama tawala Tanzania 2020-2025. Nimemuomba Mungu afanye, awezeshe na abariki Maalim Seif wa ACT wazalendo ashinde na kuwa Raisi wa Zanzibar 2020-2025 na ACT Wazalendo kiwe Chama tawala Zanzibar 2020-2025.

Kwa Jina la Yesu, Bwana, Mungu na Mwokozi wetu, amina.
 
Nashukuru Mungu nimetimiza wajibu wangu huu siku ya leo.

Nimemuomba Mungu juu ya Afanye, Awezeshe na Abariki, Tundu Antiphas Lissu ashinde na kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025, pia nimemuomba Chadema ushinde uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuwa Chama tawala Tanzania 2020-2025. Nimemuomba Mungu afanye, awezeshe na abariki Maalim Seif wa ACT wazalendo ashinde na kuwa Raisi wa Zanzibar 2020-2025 na ACT Wazalendo kiwe Chama tawala Zanzibar 2020-2025.

Kwa Jina la Yesu, Bwana, Mungu na Mwokozi wetu, amina.
Na iwe hivyo.
 
Mashetani nayo hufanya dua. Mungu ameiepusha Tanzania na meno yenu yenye uchu wa madaraka.
We shindwe na ulegee!! usiwaite watu mashetani ili tu, uwalidhishe walikutuma! hivi huwa mkiwa ccm akili mnaziacha chooni!! unawezaje kuwaita watu walioumbwa na Mungu mashetani!! Shetani ni wewe na wazazi wako waliokuzaa!! jinga kabisa wewe!!
 
Duh
Huyo mtalii wenu.. ametubu!! Maana alimkejeli sana Mwenyezi Mungu.. kipindi Rais jembe duniani Magufuli akismamie covid19 nchini na kutuhamas8sha tusali na kusali bila kuchoka.

Magufuli 2020💯
 
Duh
Huyo mtalii wenu.. ametubu!! Maana alimkejeli sana Mwenyezi Mungu.. kipindi Rais jembe duniani Magufuli akismamie covid19 nchini na kutuhamas8sha tusali na kusali bila kuchoka.

Magufuli 2020💯
Kumbe bado upo, I thought you are already dead! sikuoni JF
 
Lisu haamini kwenye maombi wala dua haamini kama Mungu alisikia maombi ya Kuiondoa Corona Tanzania

Kachelewa mpagani huyo kamdhalilisha Mungu halafu anaanza kujitia ana maombi mnafiki

Chadema hakushiriki maombi ya kuondoa janga LA corona mkaenda kujifungia ndani na mitambara midomoni wanafiki nyinyi badala ya kuombea kipindi kile mamilioni ya watanzania wasife kwa Corona mnahangaika kujiombea wagombea mpate kura hampati
Jifunze mipaka yako, sala haielekezwi kwako au kwa huyo ‘mponya’ korona wako, unaye mwabudu! Na kwa sababu yesu wenu wa lugola anaponya sana, Kwanini msiondoe na malaria?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom