Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,808
- 20,061
Imeisha hiyoooooooo.....
Imeisha hiyoooooooo.....
Some pics are sending chilling msg to chama dolaLengo kuu la jambo hili ni kumshukuru Mungu kwa wema na ulinzi wake mkubwa sana alioutenda katika kipindi chote cha kampeni.
View attachment 1612122View attachment 1612124View attachment 1612125View attachment 1612127View attachment 1612128View attachment 1612129View attachment 1612132
View attachment 1612150View attachment 1612151View attachment 1612153
Hizo sala zitaongozwa na nani na akina Bagonza na Mwamakula ambao hawaamini kuwa Mungu alijibu maombi ya Corona kuondoka Tanzania?Some pics are sending chilling msg to chama dola
Rais wa kudakoNa yule Rais wa wanawake weupe jee??--- Rais mpenda mkorogo!!!.
Kuwa na akili. Corona haikuondoka kwa maombi. WaTz walikufa na kuugua kama Waafrika wengine. Tofauti na Waafrika wengine, WaTz walipuuzia kupima. Hivyo, hakuna takwimu sahihi. Huku ni kufeli kwa dola. Kupungua kwa maangamizi ya Corona ni sababu za kijiografia kwa Afrika.Lisu haamini kwenye maombi wala dua haamini kama Mungu alisikia maombi ya Kuiondoa Corona Tanzania
Kachelewa mpagani huyo kamdhalilisha Mungu halafu anaanza kujitia ana maombi mnafiki
Chadema hakushiriki maombi ya kuondoa janga LA corona mkaenda kujifungia ndani na mitambara midomoni wanafiki nyinyi badala ya kuombea kipindi kile mamilioni ya watanzania wasife kwa Corona mnahangaika kujiombea wagombea mpate kura hampati
Wewe mapuuza kweli nani kakwambia corona imeondoka Tanzania...weka ithibati hapaLisu haamini kwenye maombi wala dua haamini kama Mungu alisikia maombi ya Kuiondoa Corona Tanzania
Kachelewa mpagani huyo kamdhalilisha Mungu halafu anaanza kujitia ana maombi mnafiki
Chadema hakushiriki maombi ya kuondoa janga LA corona mkaenda kujifungia ndani na mitambara midomoni wanafiki nyinyi badala ya kuombea kipindi kile mamilioni ya watanzania wasife kwa Corona mnahangaika kujiombea wagombea mpate kura hampati
Usiwe kiazi mbatata kiasi hiki...kama korona iliondoka kwa maombi ninini kimeshindikana kwenye magonjwa mengine?!?Hizo sala zitaongozwa na nani na akina Bagonza na Mwamakula ambao hawaamini kuwa Mungu alijibu maombi ya Corona kuondoka Tanzania?
Lisu mwenyewe haamini kwenye maombi kujibiwa na Mungu na alimpinga Mungu waziwazi kuwa hakuondoa Corona Tanzania
Lisu ni kiongozi wa upinzani anayempinga hadi Mungu mwenyewe
Hizo sala ni kebehi kwa Mungu na zitawapunguzia sana kura sababu MNA mjoke Mungu
Tunamuomba Mungu uchaguzi uishe salama , wenye nchi yetu tuendelee na shughuli za kujenga Taifa na wale wenye kurudi kwao ubelgiji warudi salama.
Na wewe utakuwa mmoja wa viroboto au kwani upo humuhumu au unaishi mashariki ya mbali...Labda Rais wa viroboto
Una maana lile shetani la Chatto lenye kujifanya malaika la maombezi?Mashetani nayo hufanya dua. Mungu ameiepusha Tanzania na meno yenu yenye uchu wa madaraka.
umeahirishwa ! mumeo atatawalamileleHivi Uchaguzi ni lini na saa ngapi?
utarud wewe na familia yako mkitakaUchaguzi uishe salama, Tundu Lissu arudi Ubelgiji, shughuli nyingine za ujenzi wa taifa ziendelee...