Khakha
JF-Expert Member
- Jul 15, 2009
- 2,981
- 1,013
CHADEMA wanamuogopa sana Dkt Tulia. Kitendo cha wao kumnyima nafasi kuongea ni ushahidi tosha kuwa wanamuogopa vibaya sana.
Maana Dkt Tulia naibu wetu wa spika anasema kwa vifungu...anasema kwa kutaja Ibara...bila kusoma mahali popote pale...mtu wa namna hiyo ni moto wa kuotea mbali! Jitu kama Lissu bila kuwa na katiba...haliwezi kutaja Ibara yoyote ile mpaka asome. Tofauti kabisa na Dr Tulia. Vitu vipo kichwani tu.
Asante Mungu kwa kutupa naibu spika msomi.
Mkuu Hamida sheria hazitolewi kichwani bali ni vitabuni. Hata mahakamani vitabuni vya sheria lazima viwepo ili ionekane ni sheria ipi unaitumia kattika hoja husika.