‪- Lowassa‬ aliingia CHADEMA saa mbili kamili Asubuhi, ilipofika saa mbili na dakika tano akawa mgombea Urais wa# CHADEMA.....
,Babu ‪#‎Duni‬ aliingia chadema saa sita na saa sita na nusu alikua mgombea Mwenza na Wote waliingia CHADEMA Wiki Moja kabla ya Kampeni kuanza,
- Leo CHADEMA wanamuuliza Dr ‪#‎Tulia‬ Bungeni alijiunga CCM lini? haya ni maajabu ya Musa!!,
KUMBE MZEE MKAPA ANA AKILI SANA, ALISHAWAJUA SIKU NYINGI SANA!!
Le Mutuz Nation
Wewe hauoni tofauti iliyopo kweli!!!,Kama haujaiona tofauti basi unatatizo kubwa sana la KIUFAHAMU.LOWASA na Duni Haji hawakuwa watumishi wa serikali wa nafasi zinazokatazwa kujihusisha na siasa.Huyu TULIA alikuwa ni naibu Mwanasheria MKUU wa serikali hadi siku anagombea usipika.