CHADEMA na Maajabu ya Musa Leo Bungeni!!

CHADEMA na Maajabu ya Musa Leo Bungeni!!

Kumfananisha Lissu na Dr Tulia ni kutukana taaluma nzima ya sheria. Lissu ni kilaza tu ambae hata Masters hana...ana GPA ya 2.9....Dr Tulia amehitimu chuo na GPA ya 4.6. Hii ndio first class kama umewahi kusikia. Wakati Dr Tulia ni mbobezi wa mambo ya sheria kwa kuwa ana PhD. Huyo Lissu ana kadegree kamoja tu....alikuwa hapati dili za sheria ndio maana kakimbilia siasa huko UKAWA. Wakati Dr Tulia amepiga dili nyingi na kesi rukuki zikiwemo za serikali na ameshinda kesi nyingi sana. Ya mwisho ni ile aliyomgaragaza Kibatala kuhusu mita 200.

Lissu ni mwanasheria wa mazingira.unakumbuka ile kesi waliozusha watu wamefukiwa mgodini yeye na Nshala ilibidi wajifiche nikastukia kaibukia ubunge,lissu mpiga kelele tu alitulizwa na msando kwenye kesi ya zitto dhidi ya chadema
 
- Dr. Tulia ni PhD wewe wachana naye kabisa huyo MWanasheria wako anashindwa mahakamani na Zitto tu itakuwa PhD, hahahahahaha Elimu za kuunga unga kusoma mtumzima Dr. Tulia ni kijana mdogo sana hahahaha

le Mutuz

Kwi kwi kwi hujaeleweka hapo kwenye red una maana gani? au ulitaka kumaanisha ni Phd holder? unakuwa na kiherehere kama unapupuu uchochoroni
 
Eti mtu kwa akili hii naye ana blog ya kuwapa watu chakula ya ubongo.
 
Kwi kwi kwi hujaeleweka hapo kwenye red una maana gani? au ulitaka kumaanisha ni Phd holder? unakuwa na kiherehere kama unapupuu uchochoroni

- Eti unasema MWenyekiti wako ni PhD Holder or what? hahahahahahah
le Mutuz
 
- Dr. Tulia ni PhD wewe wachana naye kabisa huyo MWanasheria wako anashindwa mahakamani na Zitto tu itakuwa PhD, hahahahahaha Elimu za kuunga unga kusoma mtumzima Dr. Tulia ni kijana mdogo sana hahahaha

le Mutuz

dr. tulia leo kachemsha. anaulizwa ulijiunga ccm lini halafu anajiumauma.
 
‪- Lowassa‬ aliingia CHADEMA saa mbili kamili Asubuhi, ilipofika saa mbili na dakika tano akawa mgombea Urais wa# CHADEMA.....
,Babu ‪#‎Duni‬ aliingia chadema saa sita na saa sita na nusu alikua mgombea Mwenza na Wote waliingia CHADEMA Wiki Moja kabla ya Kampeni kuanza,

- Leo CHADEMA wanamuuliza Dr ‪#‎Tulia‬ Bungeni alijiunga CCM lini? haya ni maajabu ya Musa!!,

KUMBE MZEE MKAPA ANA AKILI SANA, ALISHAWAJUA SIKU NYINGI SANA!!


Le Mutuz Nation
Le Mutuz, jamaa wanaisoma namba kisawasawa ati!
Sarakasi wanayochezewa na mzee wa Push Up. hadi wanaona nyota!
Mbaya Zaidi nyani haoni kundule...analicheka la mweziwe!!
 
Hili swala limeshangaza kila mtu UKAWA walikuwa hawataki aongee kabisaaaaa walitakiwa wampe nafasi kujibu maswali kwa ufasaha kiukweli upinzani umetia aibu sana wanamuogopa sana Dr.Tulia.

Hata mimi ni mmoja kati ya wale ambao tunaojihuliza inakuaje Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuwa na kadi ya chama cha Siasa lkn baada ya kuanza kutoa ufafanuzi wa kisheria na kuanza kutaja makundi matatu ambayo hayatakiwi kuwa ni mwanachama wa chama cha siasa, nikajua sasa hapa fumbo linafumbuka ila sasa mpaka sasa ubongo umebaki na mzigo wake ule ule.
 
Kaka, kwenye mambo yanayohitaji uelewa uwe unakaa mbali. Unajidhalilisha na kujianika kama mwenye umri mkubwa lakini akili ndogo. Pale, paliulizwa suala la mgongano wa kimaslahi kwa maana ya kuwa mtumishi wa serikali kwa ngazi ya Naibu Mwanasheria Mkuu hakutarajiwa kujihusisha na siasa kwakuwa alikuwa mtumishi wa wote.
Kubwa jinga hilo achana nalo..
Analeta topic ambayo anaweza akachangia yeye na baba yake tu.
 
Kumfananisha Lissu na Dr Tulia ni kutukana taaluma nzima ya sheria. Lissu ni kilaza tu ambae hata Masters hana...ana GPA ya 2.9....Dr Tulia amehitimu chuo na GPA ya 4.6. Hii ndio first class kama umewahi kusikia. Wakati Dr Tulia ni mbobezi wa mambo ya sheria kwa kuwa ana PhD. Huyo Lissu ana kadegree kamoja tu....alikuwa hapati dili za sheria ndio maana kakimbilia siasa huko UKAWA. Wakati Dr Tulia amepiga dili nyingi na kesi rukuki zikiwemo za serikali na ameshinda kesi nyingi sana. Ya mwisho ni ile aliyomgaragaza Kibatala kuhusu mita 200.

haaahaa lissu ana degree moja? unaumwa wewe sio bure. dr. tulia haingii kwa lissu hata mara moja...
 
Really Mzee Mkapa ana akili sana. Kama huamini muulize yule Mzee aliyetaka Urais mwaka 2005 nini kilichompata kutokana na akili nyingi za Mkapa!!

Asifiae mvua.....!!
 
kwa unene wa LE MUTUZ sipati picha muda mfupi baada ya kutoka uwani hali hukuaje huko ndani kwa maana ya hewa (harufu)

Mkewe alimkimbia kwa sababu hiyo na zingine nyiingi za mambo ya utoto utoto wakati ni jitu kuuubwa kabisa
 
Back
Top Bottom