chaupimbi
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 206
- 61
- Unanionea bure sikugombea Unaibu Spika bana hahahahahahha U know lakini ulimsoma Mkapa siku ile Jangwani au? hahahah
le Mutuz
Yaani inatia huruma kiukweli Tulia wenu hana uzoefu kabisa hata kuongea kwenyewe anatetereka ameongea kushukuru maneno anayasoma kwenye karatasi usitetee ujinga.