mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 95,876
- 136,784
Acha maisha ya kuwa kimbelembele wewe!- Kwa mfano hasa lusibde ni nini hasa mita 200 za kibanda cha kura or what?? hahahahahahahaha
le Mutuz
Acha maisha ya kuwa kimbelembele wewe!- Kwa mfano hasa lusibde ni nini hasa mita 200 za kibanda cha kura or what?? hahahahahahahaha
le Mutuz
Hakika Lemutuz utawakimbiza jukwaani Bavicha....
Usichokijua kuhusu mtoa mada ni kwamba
Ana umri mkubwa kuliko mama yake.....!!
CHADEMA wanamuogopa sana Dkt Tulia. Kitendo cha wao kumnyima nafasi kuongea ni ushahidi tosha kuwa wanamuogopa vibaya sana.
Maana Dkt Tulia naibu wetu wa spika anasema kwa vifungu...anasema kwa kutaja Ibara...bila kusoma mahali popote pale...mtu wa namna hiyo ni moto wa kuotea mbali! Jitu kama Lissu bila kuwa na katiba...haliwezi kutaja Ibara yoyote ile mpaka asome. Tofauti kabisa na Dr Tulia. Vitu vipo kichwani tu.
Asante Mungu kwa kutupa naibu spika msomi.
Kaka, kwenye mambo yanayohitaji uelewa uwe unakaa mbali. Unajidhalilisha na kujianika kama mwenye umri mkubwa lakini akili ndogo. Pale, paliulizwa suala la mgongano wa kimaslahi kwa maana ya kuwa mtumishi wa serikali kwa ngazi ya Naibu Mwanasheria Mkuu hakutarajiwa kujihusisha na siasa kwakuwa alikuwa mtumishi wa wote.
Heri usome ili uongee kitu cha uhakika kuliko ujidai kukariri halafu uchemke. Juzi juzi hapa bingwa wa kukariri kilomita za barabara alisema Saddam ni rais wa KuwaitMaana Dkt Tulia naibu wetu wa spika anasema kwa vifungu...anasema kwa kutaja Ibara...bila kusoma mahali popote pale...mtu wa namna hiyo ni moto wa kuotea mbali! Jitu kama Lissu bila kuwa na katiba...haliwezi kutaja Ibara yoyote ile mpaka asome. Tofauti kabisa na Dr Tulia. Vitu vipo kichwani tu.
Asante Mungu kwa kutupa naibu spika msomi.
Usichokijua kuhusu mtoa mada ni kwamba
Ana umri mkubwa kuliko mama yake.....!!
Mbona jecha alifuta uchaguzi bila kusema ni kifungu gani katika katiba kiinampa mamlaka hayo.
Halafu huwezi kumfananisha lisu na doctor wenu, Tundu ni mwanasheria mbobezi, Tilia ni wajuzi tu. Mbona wakati wa escrow makinda alikuwa Anaomba msaada kwa kina lisu na akina mdee.
Mbona jecha alifuta uchaguzi bila kusema ni kifungu gani katika katiba kiinampa mamlaka hayo.
Halafu huwezi kumfananisha lisu na doctor wenu, Tunduru ni mwanasheria mbobezi, Tilia ni wajuzi tu. Mbona wakati wa escrow makinda alikuwa Anaomba msaada kwa kina lisu na akina mdee.
Wa kuona aibu ni UKAWA ambao wameshindwa chaguzi zote. Kuanzia urais hadi uspika. CCM tunapaswa kuona aibu au kushangilia? Maana tuna kiti cha uspika...tuna kiti cha naibu spika...na tuna rais. CCM mbele kwa mbele.
‪- Lowassa‬ aliingia Chadema saa mbili kamili Asubuhi, ilipofika saa mbili na dakika tano akawa mgombea Urais wa# Chadema.....
,Babu ‪#‎Duni‬ aliingia chadema saa sita na saa sita na nusu alikua mgombea Mwenza na Wote waliingia Chadema Wiki Moja kabla ya Kampeni kuanza,
- Leo Chadema wanamuuliza Dr ‪#‎Tulia‬ Bungeni alijiunga CCM lini? haya ni maajabu ya Musa!!,
KUMBE MZEE MKAPA ANA AKILI SANA, ALISHAWAJUA SIKU NYINGI SANA!!
Le Mutuz Nation
- Dr. Tulia ni PhD wewe wachana naye kabisa huyo MWanasheria wako anashindwa mahakamani na Zitto tu itakuwa PhD, hahahahahaha Elimu za kuunga unga kusoma mtumzima Dr. Tulia ni kijana mdogo sana hahahaha
le Mutuz
- Dr. Tulia ni PhD wewe wachana naye kabisa huyo MWanasheria wako anashindwa mahakamani na Zitto tu itakuwa PhD, hahahahahaha Elimu za kuunga unga kusoma mtumzima Dr. Tulia ni kijana mdogo sana hahahaha
le Mutuz