CHADEMA na Maajabu ya Musa Leo Bungeni!!

CHADEMA na Maajabu ya Musa Leo Bungeni!!

Wewe utaendelea kuishi kwa upambe hadi lini? cha msingi siyo Chadema bali wananchi wameupata ukweli na huyo Dr Tuli ameaibika kwa kushindwa kujibu swali moja tu ambalo limejirudia mara mbili, Silinde kammaliza kabisa Tuli wako, ni aibu kubwa kwa ccm.

Na ndio ujijuwe wewe ccm ni kidampa tu zama za familia ya Malecela zimekwisha ndio maana pamoja na kujipendekeza kwako kote hata Udc waliohongwa hadi machangudoa wewe umetoswa, na wenzako kina Tuli wanazidi kupewa ulaji wanatolewa huku wanawekwa huku, wewe utaishia kuwa mkurugenzi wa blog tu. Loser.

Bado uko porini kamanda?
 
Kaka, kwenye mambo yanayohitaji uelewa uwe unakaa mbali. Unajidhalilisha na kujianika kama mwenye umri mkubwa lakini akili ndogo. Pale, paliulizwa suala la mgongano wa kimaslahi kwa maana ya kuwa mtumishi wa serikali kwa ngazi ya Naibu Mwanasheria Mkuu hakutarajiwa kujihusisha na siasa kwakuwa alikuwa mtumishi wa wote.

kwa taaluma yako ulipaswa utuambie ni kifungu gani cha sharia kinamnyima haki ya kugombea,yeye kataja kifungu kinachompa haki ya kugombea, wewe je?
 
mlikuwa mnayataka we na nani?huwezi kusimamia mtazamo wako mpaka wakuboost kidogo huko sehemu ndo ushtuke
 
Mkewe alimkimbia kwa sababu hiyo na zingine nyiingi za mambo ya utoto utoto wakati ni jitu kuuubwa kabisa

- Eti yalikuwa yanaimba Dr. Tulia kabebwa yanasahau yalivyobeba mahawara yao kwenye viti maalum hahahahahahahahaha

le Mutuz
 
Mbona jecha alifuta uchaguzi bila kusema ni kifungu gani katika katiba kiinampa mamlaka hayo.
Halafu huwezi kumfananisha lisu na doctor wenu, Tundu ni mwanasheria mbobezi, Tilia ni wajuzi tu. Mbona wakati wa escrow makinda alikuwa Anaomba msaada kwa kina lisu na akina mdee.

Hilo tumeligundua ndiyo maana tumempendekeza Dr.Tulia!
 
Hili swala limeshangaza kila mtu UKAWA walikuwa hawataki aongee kabisaaaaa walitakiwa wampe nafasi kujibu maswali kwa ufasaha kiukweli upinzani umetia aibu sana wanamuogopa sana Dr.Tulia.

Dr tulia ndo alikuwa akichemka. kaulizwa lini kajiunga ccm? maneno meeengi hakuna kitu.
 
Kaka, kwenye mambo yanayohitaji uelewa uwe unakaa mbali. Unajidhalilisha na kujianika kama mwenye umri mkubwa lakini akili ndogo. Pale, paliulizwa suala la mgongano wa kimaslahi kwa maana ya kuwa mtumishi wa serikali kwa ngazi ya Naibu Mwanasheria Mkuu hakutarajiwa kujihusisha na siasa kwakuwa alikuwa mtumishi wa wote.

Ni sheria gani inamzuia kugombea uspika? Nadhani hilo ndiyo la msingi.

Upuuzi wa Bungeni kwamba alijiunga muda gani CCM hauna maana yoyote. Ndiyo hoja ya Le Mutz kwamba unahitaji muda gani kujiunga na chama cha siasa kwa kuangalia mfano wa Lowassa na Haji Duni?
 
&[HASHTAG]#8234[/HASHTAG];- Lowassa&[HASHTAG]#8236[/HASHTAG]; aliingia CHADEMA saa mbili kamili Asubuhi, ilipofika saa mbili na dakika tano akawa mgombea Urais wa# CHADEMA.....
,Babu &[HASHTAG]#8234[/HASHTAG];#&[HASHTAG]#8206[/HASHTAG];Duni&[HASHTAG]#8236[/HASHTAG]; aliingia chadema saa sita na saa sita na nusu alikua mgombea Mwenza na Wote waliingia CHADEMA Wiki Moja kabla ya Kampeni kuanza,

- Leo CHADEMA wanamuuliza Dr &[HASHTAG]#8234[/HASHTAG];#&[HASHTAG]#8206[/HASHTAG];Tulia&[HASHTAG]#8236[/HASHTAG]; Bungeni alijiunga CCM lini? haya ni maajabu ya Musa!!,

KUMBE MZEE MKAPA ANA AKILI SANA, ALISHAWAJUA SIKU NYINGI SANA!!


Le Mutuz Nation

Naomba CV ya huyu jamaa kabla sijasema lolote!!
 
unapotosha umma! Dr Tulia alichukua fomu ya spika wa bunge akiwa kaimu mwanasheria mkuu wa serikali., na inatakiwa kwa nafasi aliyokuwa nayo asifungamane na itikadi ya chama chochote.Ilihali nafasi ya spika lazima upitie chini ya mwavuli wa chama. Sasa inamaana huyu alikuwa chini ya ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali ilihali ni kada active wa ccm. Hiyo ndiyo ilikuwa hoja ya wapinzani. Ila ya lowassa na duni mbona hapo hamna uhusiano na hilo la dr tulia.
uwezo wako wa kupambanua mambo ni mdogo na hii inasababishwa na muda mwingi kushinda kwenye mitandao ya kijamii na kuacha kusoma katiba ya nchi pamoja na vitabu vingi tofauti yofauti.
Nashindwa kuelewa hivi ukiwa mshabiki wa chama fulani kila wanachofanya wapinzani wako ni sumu?

Kaimu mwanasheria mkuu au naibu mwanasheria mkuu?
 
Lissu ni mwanasheria wa mazingira.unakumbuka ile kesi waliozusha watu wamefukiwa mgodini yeye na Nshala ilibidi wajifiche nikastukia kaibukia ubunge,lissu mpiga kelele tu alitulizwa na msando kwenye kesi ya zitto dhidi ya chadema

huwezi kufananisha lissu na tulia wala masaju kamwe. zitto hakushinda kesi kamwe. alubwagwa ndo maana alijiuzulu ubunge...
 
Akili za KB lazima ziwe boosted !!!! .... Dr. Tulia aliacha lini Utumishi wa Umma wenye zuio la kushiriki active politics kasha akachukua kadi ya CCM na Baadae kuteuliwa Mbunge then baada ya muda mfupi sana wakamchinja Zungu na kumteua kuwa Naibu Spika? .... Kesi ya Mita 200 alisimamia akiwa kada wa CCM au alikuwa anatimiza majukumu ya Serikali? ... Watanzania wa leo msiwaletee mbwembwe ... Wote tumeona Bunge jinsi ambavyo Tulia alivyochemka ile mbaya ... pengine huyu ni hovyo kuliko Masaju
 
Back
Top Bottom