CHADEMA na Maajabu ya Musa Leo Bungeni!!

CHADEMA na Maajabu ya Musa Leo Bungeni!!

Kaka, kwenye mambo yanayohitaji uelewa uwe unakaa mbali. Unajidhalilisha na kujianika kama mwenye umri mkubwa lakini akili ndogo. Pale, paliulizwa suala la mgongano wa kimaslahi kwa maana ya kuwa mtumishi wa serikali kwa ngazi ya Naibu Mwanasheria Mkuu hakutarajiwa kujihusisha na siasa kwakuwa alikuwa mtumishi wa wote.
Mimi nadhani muuliza swali alijichanganya mwenyewe,kujiunga na chama na mgongano wa maslahi kikazi ni vitu viwili tofauti,ndio maana naona uwezo wa wabunge wetu wa kuelewa mambo mle mjengoni ni mdogo,yeye alitakiwa amuulize tu kwa kifupi Dr Tulia je kwa kuwa yeye ni mwajiriwa wa serikali ni lini kajiuzuru nafasi ya Naibu mwanasheria mkuu?ikumbukwe huyu mgombea unaibu spika kateuliwa kuwa mbunge na hivi juzi sasa yeye ndie angesema kama ameandika barua ya kuacha unaibu mwanasheria wa serikali tarehe fulani kabla ya kwenda kuomba unaibu spika,sasa hata kabla hajajibu tayari waheshimiwa wa upinzani wakaanza makelele ,huo ni ujinga wamepoteza fursa ya kumsikiliza,hata mwizi naye anasikilizwa huko mahakamani,nao wabunge wanatakiwa wawe na hekima ni mfano mbaya kwa watu ambao tunatarajia mabadiliko.
 
‪- Lowassa‬ aliingia CHADEMA saa mbili kamili Asubuhi, ilipofika saa mbili na dakika tano akawa mgombea Urais wa# CHADEMA.....
,Babu ‪#‎Duni‬ aliingia chadema saa sita na saa sita na nusu alikua mgombea Mwenza na Wote waliingia CHADEMA Wiki Moja kabla ya Kampeni kuanza,

- Leo CHADEMA wanamuuliza Dr ‪#‎Tulia‬ Bungeni alijiunga CCM lini? haya ni maajabu ya Musa!!,

KUMBE MZEE MKAPA ANA AKILI SANA, ALISHAWAJUA SIKU NYINGI SANA!!


Le Mutuz Nation

Akili yako haifanyi kazi vizuri unahitaji Psychology consultation inaonekana ubongo umeganda kutokana na kutawaliwa kwa muda mrefu.
Duni na Lowasa hawakuwa watumishi wa Serikali cha kushangaza huyu Tulia alikuwa ni mtu anayetakiwa kutetea masilahi ya Umma si chama. Lakini yeye alikuwa mwanachama wa chama fulani.
Tunakuwaje na imani na mtu kama huyo wakati mwingine hata akiongea jambo la maaana sana?
 
Akili yako haifanyi kazi vizuri unahitaji Psychology consultation inaonekana ubongo umeganda kutokana na kutawaliwa kwa muda mrefu.
Duni na Lowasa hawakuwa watumishi wa Serikali cha kushangaza huyu Tulia alikuwa ni mtu anayetakiwa kutetea masilahi ya Umma si chama. Lakini yeye alikuwa mwanachama wa chama fulani.
Tunakuwaje na imani na mtu kama huyo wakati mwingine hata akiongea jambo la maaana sana?

- OK HAHAHAHA matataizo yote hayo uliyoyataja kuwa ninayo na bado umekuja kinijibu? please jionee huruma hahahahaha guys naona hamna kitu hapa maana ninauliza sipati jibu, so I am out of here maana hapa naona hamna jibu la Lowassa aliiingia lini Chadema na lini alipata nafasi ya kugombea Urais huko.

- Nawashukuru sana wote mlioshiriki mjadala huu tufike mahali tufike mwisho, ninaamini kila mwenye akili amesoma huu mjadala na kujifunza something kuhusu kinachoendelea bungeni kwetu in the end naomba tukubaaliane kutokubaliana.

le Mutuz
 
Umeshau na wale wabunge wa viti maalumu toka Iringa Manyara walioteuliwa viti maalum cdm huku bado wananyadhifa CCM
 
Majibu ya DR. Tulia ni haya hapa!

KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA
TANZANIA YA MWAKA 1977

67-(2) Mtu hatakuwa na sifa za kustahili kuchaguliwa au kuteuliwa
kuwa Mbunge-

(g) ikiwa mtu huyo ameshika madaraka ya afisa
mwandamizi katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya
Muungano, isipokuwa madaraka ambayo Rais aweza
au anatakiwa kukabidhi kwa Mbunge kwa mujibu wa
Katiba hii au sheria iliyotungwa na Bunge;

72. Iwapo mtu yeyote mwenye madaraka katika utumishi wa
Serikali, madaraka ya aina iliyotajwa katika ibara ya 67(2)(g)
ataamua:-
(a) kuwa mgombea uchaguzi wa Rais au wa nafasi
nyingine yoyote chini ya Katiba hii;
(b) kugombea uongozi wa ngazi yoyote katika chama cha
siasa kinyume na masharti ya ajira,
mtu huyo atahesabiwa kuwa utumishi wake umekoma tangu
tarehe yake ya kuwa mgombea uchaguzi au ya kugombea
uongozi katika chama cha siasa.

Ubarikiwe mkuu,nma huku ndio yule Dr alikuwa anakuja,walivyoona anaenda sahihi wakaanza kuzomea.
Yaani hadi wananchi tunawachoka hawa Zomeazomea,na ni aibu kwa Wanafunzi wa vyuo vikuu wanao practice sherio kuona uozo wa hawa jamaa.

Na wengine mle hata sheria hawajui,ila wanafuata mkumbo tuu.Aibu Aibu Aibu.

Kwanza UKAWA hawana fisadi,mwaka huu wataisoma,maana hakuna kusema tena mtu fisadi.
Maaana Fisadi wa CCM basi ni Raisi wa mtarajiwa upande wao,aisee,watu mawe kweli
 
Kwani hakukuwa na mwanamke yeyote wa kushika nafasi ya msaidizi wa spika mpaka awe Tulia ambaye ni miezi miwili tu alikuwa ameteuliwa kwenye nafasi Kubwa pia ya AAG?Na hii nafasi ya AAG inahitaji mwanasheria mbobezi Kama yeye.Mbona Kama wanawake wana Sheria mahili hata kuzidi Tulia ni wengi tu Kama ilikuwa lazima msaidizi awe mwanamke Mwana Sheria mbobezi?Na tangu lini uananaheria ukawa Sifa Kubwa ya uspika hapa TZ wakati mwaka Jana tu Mama makinda alikuwa muhasibu na Job msaidizi hakuwaha Mwana Sheria?Hapa TZ mtu akitaka kubebwa inatengenezwa Sifa aliyo nayo mtu Kisha wanadai ndo kigezo.Awamu iliyopita Sita alikuwa mwanasheria lakini hakikuwa kigezo akachaguliwa Makinda na Sifa wakati huo ilikuwa Kuwa mwanamke.Only in TZ.
 
Mimi ninaamini wewe kama mtanzania usingeweza kuuliza swali lenye Bias ndani yake.
Huyu tuli ni mtu aliyetakiwa kuwa free from the all party. Lakini yeye ameonyesha wazi kabla ya kujiuzulu amechukua form ya chama fulani huu ni uhuni na si Democracy. Usije shangaa ukiona mkuu wa Majeshi au Mkuu wa Police akichukua form ya kugombea Uenyekiti wa Mkoa wa chama wakati bado ni Mkuu wa Idara nyeti hizo hizi ndizo siasa za bongo
 
Hili limjamaa ukilitizama mwili wake unaeza dhani ni mtu kumbe tope mtupu, muwe mnaliambia hili limjamaa linajidharirish
 
wagogo akili zenu mbovu sana.ndo maana milembe ikajengwa dodoma.yaani we ni jamii ya dinnosaurs.mwili mkubwa akili pilton

Sasa wewe na hao wagonjwa wa mirembe nani mwenye akili.
Maana wewe hata unayotaka kuyajua hutaki kujua,kama UKAWA mpo na watu kama nyie ndio maana manyumbu.
 
CHADEMA wanamuogopa sana Dkt Tulia. Kitendo cha wao kumnyima nafasi kuongea ni ushahidi tosha kuwa wanamuogopa vibaya sana.

Maana Dkt Tulia naibu wetu wa spika anasema kwa vifungu...anasema kwa kutaja Ibara...bila kusoma mahali popote pale...mtu wa namna hiyo ni moto wa kuotea mbali! Jitu kama Lissu bila kuwa na katiba...haliwezi kutaja Ibara yoyote ile mpaka asome. Tofauti kabisa na Dr Tulia. Vitu vipo kichwani tu.

Asante Mungu kwa kutupa naibu spika msomi.

mla makombo masalia ya ccm ukishiba utapiamlo ndo unatapika ovyo kiasi hiki? Myambaf*
 
Mleta mada unaonekana hujui unaloliongea. Kuwa mwanasheria mzuri haupaswi kukariri sheria
 
CHADEMA wanamuogopa sana Dkt Tulia. Kitendo cha wao kumnyima nafasi kuongea ni ushahidi tosha kuwa wanamuogopa vibaya sana.

Maana Dkt Tulia naibu wetu wa spika anasema kwa vifungu...anasema kwa kutaja Ibara...bila kusoma mahali popote pale...mtu wa namna hiyo ni moto wa kuotea mbali! Jitu kama Lissu bila kuwa na katiba...haliwezi kutaja Ibara yoyote ile mpaka asome. Tofauti kabisa na Dr Tulia. Vitu vipo kichwani tu.

Asante Mungu kwa kutupa naibu spika msomi.
Ni kweli maana tumeona wakati akijieleza hakusoma mahali.
 
Hapa mngekuwa mnatuelimisha wajamani maana wengine hapa tunataka kusikia kitu kutoka kwa waelewa wa huu waraka wa utumishi wa Umma una apply vipi maana huku uraiani watumishi kibao katika ngazi za chini wana hamu kushiriki hata kwenye Udiwani lakini wengine wanaogopa au wanashindwa kupambambanua

Swali liliulizwa bungeni na likajibiwa bungeni. Tafuta clips za bungeni leo utasikia. Umeniprove kuwa humu yanayochangia mengi manyumbu hata bunge hawakusikiliza ila wako humu fata upepo. Kweli kukosa elimu ni Janga.

Elimu Elimu Elimu kwa MANYUMBU (in lowassa voice)
 
Mimi nadhani muuliza swali alijichanganya mwenyewe,kujiunga na chama na mgongano wa maslahi kikazi ni vitu viwili tofauti,ndio maana naona uwezo wa wabunge wetu wa kuelewa mambo mle mjengoni ni mdogo,yeye alitakiwa amuulize tu kwa kifupi Dr Tulia je kwa kuwa yeye ni mwajiriwa wa serikali ni lini kajiuzuru nafasi ya Naibu mwanasheria mkuu?ikumbukwe huyu mgombea unaibu spika kateuliwa kuwa mbunge na hivi juzi sasa yeye ndie angesema kama ameandika barua ya kuacha unaibu mwanasheria wa serikali tarehe fulani kabla ya kwenda kuomba unaibu spika,sasa hata kabla hajajibu tayari waheshimiwa wa upinzani wakaanza makelele ,huo ni ujinga wamepoteza fursa ya kumsikiliza,hata mwizi naye anasikilizwa huko mahakamani,nao wabunge wanatakiwa wawe na hekima ni mfano mbaya kwa watu ambao tunatarajia mabadiliko.
Hakujiuzulu bali uteuzi wake ulitenguliwa na Rais. Utakuwa wa ajabu kuuliza hivyo ulivyosema wakati inafahamika kilichotokea!
 
Bongenyanya hata ukuu wa nyumba kumi hukupata!!! Tehe Tehe na umri unaenda miaka hii mitano utakuwa 60 plus plus. Kubwa zee wewe jingaaaaaz. Kula kulala na pumba zako hapa pelekea mamisi unapata nao fotoz. Na mama mdogo naye kapigwa chingi sasa mkae kimya. Ohh na half sister naye alikatwa. Looooohh familia kisirani sana hii.
 
Kati ya watu ambao sijawahi kuwaelewa ni huyu lemutuz kuanzia jina lake, umri wake na umbo lake!!😀😀😀😀
 
Last edited by a moderator:
Nakushauri Le mutuz kasome kitu kinaitwa critical thinking kitakusaidia kuelewa mambo na kupost vitu vyenye mashiko
 
Back
Top Bottom