MovingForward
JF-Expert Member
- Nov 10, 2009
- 489
- 49
sheria inataka mtu anapopitishwa na chama ndipo aachie ngazi ya ajira yake serikalini. dr Tulia atakuwa amejiuzulu alipopitishwa na chama chake kugombea. full stop.
‪- Lowassa‬ aliingia CHADEMA saa mbili kamili Asubuhi, ilipofika saa mbili na dakika tano akawa mgombea Urais wa# CHADEMA.....
,Babu ‪#‎Duni‬ aliingia chadema saa sita na saa sita na nusu alikua mgombea Mwenza na Wote waliingia CHADEMA Wiki Moja kabla ya Kampeni kuanza,
- Leo CHADEMA wanamuuliza Dr ‪#‎Tulia‬ Bungeni alijiunga CCM lini? haya ni maajabu ya Musa!!,
KUMBE MZEE MKAPA ANA AKILI SANA, ALISHAWAJUA SIKU NYINGI SANA!!
Le Mutuz Nation
Ndo maana Lowasa asisitiza sana -hahahahahahha genous umekuja kujadili thread ya kipuuuzi? mweh! hahahahahahah eti by the way lets be serious Lowassa aliingia lini Chadema na lini akawa Mgombea urais tuwe serious kidogo tu hahahahahahahahha
le Mutuz
ukishajua itakusaidia nini?wewe Mungu amekupa mwili mkubwa amekunyima akili .
Ndo maana Lowasa asisitiza sana -
1-Elimu
2-Elimu
3-Elimu
kwa ajili ya kusaidie wenye upeo mdogo kama wewe.
Hahaha eti le mutuz muandishi wa kitabu ameshindwa tunamsubiri huyo Naibu wako tumnyooshe safari hii atakimbia kiti mziki wa kubenea,mnyika na mdee tu unawatosha hapo sijataja lissu
- Ok kwa mfano Lowassa alijiunga lini na Chadema na lini akawa mgombea urais wao? hahahahahahahah
le Mutuz
AKILI NDOGO SIKU ZOTE HUWA MNA FANANISHA KIWANGO CHA DEGREE NA UWEZO WA MTU KUTAFSIRI SHERIA,
akili kubwa huwa tunampima mtu kwa hoja zake na uwezo wq kutafsiri sheria.
Duh kama lemuz umeshindwa kuelewa jambo jepesi kama hili basi tena TZ ni Gurus wa unafiki hapa duniani.
Mtoto kuwa na bab kama wewe ni dhalilisho kubwa katika tasnia ya malezi....- Owkey kwa mfano nimefungua thread in 1 hour tayari Page 9 na viewers 10,000 inasema nini kuhusu The King Of All Bongo Social Media Network? kuwa serious sicheki sasa U know
le Mutuz
Naendelea kukushauri usiwe mzembe upstairs.
Strech your brain a little bit more
Kwa hiyo CHADEMA hawakujua kama uteuzi wake ulishatenguliwa? Mpaka anaapishwa kuwa mbunge walikuwa wapi? Au shida ni unaibu spika tu? Hovyo kabisa!!Kaka, kwenye mambo yanayohitaji uelewa uwe unakaa mbali. Unajidhalilisha na kujianika kama mwenye umri mkubwa lakini akili ndogo. Pale, paliulizwa suala la mgongano wa kimaslahi kwa maana ya kuwa mtumishi wa serikali kwa ngazi ya Naibu Mwanasheria Mkuu hakutarajiwa kujihusisha na siasa kwakuwa alikuwa mtumishi wa wote.
Tayari alikuwa anasema ni watumishi gani wa umma wanazuiliwa kisheia kuwa wanachama wa vyama vya siasa wakiwemo wanajeshi. Yeye sharia haimbani hata kidogo.
Hayo mambo yamekaa kisheria zaidi na ndiyo maana Tundu Lisu yupo kimya maana anajua kisheria Tulia yupo sawa. Vinginevyo Lisu angewasha moto.
‪- Lowassa‬ aliingia CHADEMA saa mbili kamili Asubuhi, ilipofika saa mbili na dakika tano akawa mgombea Urais wa# CHADEMA.....
,Babu ‪#‎Duni‬ aliingia chadema saa sita na saa sita na nusu alikua mgombea Mwenza na Wote waliingia CHADEMA Wiki Moja kabla ya Kampeni kuanza,
- Leo CHADEMA wanamuuliza Dr ‪#‎Tulia‬ Bungeni alijiunga CCM lini? haya ni maajabu ya Musa!!,
KUMBE MZEE MKAPA ANA AKILI SANA, ALISHAWAJUA SIKU NYINGI SANA!!
Le Mutuz Nation
Mtoto kuwa na bab kama wewe ni dhalilisho kubwa katika tasnia ya malezi....