CHADEMA na Maajabu ya Musa Leo Bungeni!!

CHADEMA na Maajabu ya Musa Leo Bungeni!!

Akili za KB lazima ziwe boosted !!!! .... Dr. Tulia aliacha lini Utumishi wa Umma wenye zuio la kushiriki active politics kasha akachukua kadi ya CCM na Baadae kuteuliwa Mbunge then baada ya muda mfupi sana wakamchinja Zungu na kumteua kuwa Naibu Spika? .... Kesi ya Mita 200 alisimamia akiwa kada wa CCM au alikuwa anatimiza majukumu ya Serikali? ... Watanzania wa leo msiwaletee mbwembwe ... Wote tumeona Bunge jinsi ambavyo Tulia alivyochemka ile mbaya ... pengine huyu ni hovyo kuliko Masaju

- Wewe hebu andika hapa Lowasa aliingia lini Chadema na lini akawa mgombea urais, akili za ajabu ajabu tu hahahahah

le Mutuz
 
[TABLE="class: infobox vcard"]
[TR]
[TH="colspan: 2, align: center"]Honourable
Tundu Lissu
MP[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2, align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="colspan: 2, align: center"]Member of Parliament
for Singida East[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2, align: center"] Incumbent
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2, align: center"]Assumed office
November 2010[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="colspan: 2, align: center"]Personal details[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Born[/TH]
[TD] 20 January 1968 (age 47)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Nationality[/TH]
[TD]Tanzanian[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Political party[/TH]
[TD]CHADEMA
NCCR?Mageuzi (???)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Alma mater[/TH]
[TD]University of Dar es Salaam
University of Warwick (LL.M[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

SOURCE:WEAKPEDIA

tunashukuru mkuu kwa kutuwekea ukweli. kuna jamaa kadanganya kwamba lissu ana degree moja...
 
W.j.malecela, ni boga kabisa hili! Ur age its just a number, unakua kimwili/kiumbo sio kiakili!
 
Ni sheria gani inamzuia kugombea uspika? Nadhani hilo ndiyo la msingi.

Upuuzi wa Bungeni kwamba alijiunga muda gani CCM hauna maana yoyote. Ndiyo hoja ya Le Mutz kwamba unahitaji muda gani kujiunga na chama cha siasa kwa kuangalia mfano wa Lowassa na Haji Duni?

Mbona hakujibu sasa
 
Kaka, kwenye mambo yanayohitaji uelewa uwe unakaa mbali. Unajidhalilisha na kujianika kama mwenye umri mkubwa lakini akili ndogo. Pale, paliulizwa suala la mgongano wa kimaslahi kwa maana ya kuwa mtumishi wa serikali kwa ngazi ya Naibu Mwanasheria Mkuu hakutarajiwa kujihusisha na siasa kwakuwa alikuwa mtumishi wa wote.

Kama kuna tatizo nchi inahitaji kupambana nalo, ni watu wanohangaika na kuvisha utaalamu kumbe wanatafuta mlo au upendelo wa kivyeo. Kwa nini tunashindwa kuangalia mambo katika uhalisia hata kama tunagiswa?

Ndiyo maana mimi huwa wakati mwingine nakaa kimya endapo naona hoja zangu zinaweza kuchefua wengi!
 
Hivi kwani 2020 atagombea jimbo naloenda kuliacha Dr aliyeikana thesis yake? maana hawa jamaa wa ukanda huu huwa hawafiki mbali kwenye mbio za kisiasa sababu wamejaa unafiki tu, tumewaona maprof wawili na Dr mmoja wameishia wapi

Taja ma Professor wa kwenu waliofika mbali!
 
‪- Lowassa‬ aliingia CHADEMA saa mbili kamili Asubuhi, ilipofika saa mbili na dakika tano akawa mgombea Urais wa# CHADEMA.....
,Babu ‪#‎Duni‬ aliingia chadema saa sita na saa sita na nusu alikua mgombea Mwenza na Wote waliingia CHADEMA Wiki Moja kabla ya Kampeni kuanza,

- Leo CHADEMA wanamuuliza Dr ‪#‎Tulia‬ Bungeni alijiunga CCM lini? haya ni maajabu ya Musa!!,

KUMBE MZEE MKAPA ANA AKILI SANA, ALISHAWAJUA SIKU NYINGI SANA!!


Le Mutuz Nation
Napinga kabisa kuamini kwamba we jamaa umesoma shule yoyote , mwili jumba lakini kumbe hamna kitu !
 
CHADEMA wanamuogopa sana Dkt Tulia. Kitendo cha wao kumnyima nafasi kuongea ni ushahidi tosha kuwa wanamuogopa vibaya sana.

Maana Dkt Tulia naibu wetu wa spika anasema kwa vifungu...anasema kwa kutaja Ibara...bila kusoma mahali popote pale...mtu wa namna hiyo ni moto wa kuotea mbali! Jitu kama Lissu bila kuwa na katiba...haliwezi kutaja Ibara yoyote ile mpaka asome. Tofauti kabisa na Dr Tulia. Vitu vipo kichwani tu.

Asante Mungu kwa kutupa naibu spika msomi.

Ushabiki na namna hii kamwe hauwezi kutufikisha mahali tunapopataka! Dr Tulia huyu huyu ndo yule alihusika kwa asilimia kubwa kukwamisha katiba iliyokuwa imebeba mawazo ya watanzania na kuja na usanii wao na kina Sita na Chenge na matokeo yake katiba pendekezwa hata hatujui iliko na hata walioipigia chapuo kina Sita kwa kufikiri watakuwa kwenye nafasi za juu waendelee kula nchi hata hawataki kuisikia.Je, huyu ndiye mtu wa kujivunia. Unaposema kutaja vifungu vya katiba bila kusoma, hujawahi kuona mtoto wa chekechea akisoma Quaran au Biblia vifungu kwa kifungu kama anasoma!?
Hivi Lisu amekujaje kwenye hii post?
Tuwekeni vyama pembeni tunapoangalia mstakabali wa nchi! Ushabiki mliona ulikotupeleka wakati wa bunge la katiba.
 
Mbona hakujibu sasa

Tayari alikuwa anasema ni watumishi gani wa umma wanazuiliwa kisheia kuwa wanachama wa vyama vya siasa wakiwemo wanajeshi. Yeye sharia haimbani hata kidogo.

Hayo mambo yamekaa kisheria zaidi na ndiyo maana Tundu Lisu yupo kimya maana anajua kisheria Tulia yupo sawa. Vinginevyo Lisu angewasha moto.
 
Wewe ni hujui kitu katika swala la sheria,na pia hata ktk mambo ya kawaida ,inadhihirisha ni jinsi gani critical thinking kwako ni tusi. Nenda kaanze chekechea
 
Mimi nimekuelewa sana le mutuz kama chadema/ukawa wangesimama kuuliza kutokana na kifungu fulani,hukuruhusiwa kugombea uspika,na kutokana na muda mfupi wa uanachama wako huruhusiwi kugombea unaibu,sasa tupe kifungu kilichokuleta hapa,hapo ndo lingekuwa swali
 
Tayari alikuwa anasema ni watumishi gani wa umma wanazuiliwa kisheia kuwa wanachama wa vyama vya siasa wakiwemo wanajeshi. Yeye sharia haimbani hata kidogo.

Hayo mambo yamekaa kisheria zaidi na ndiyo maana Tundu Lisu yupo kimya maana anajua kisheria Tulia yupo sawa. Vinginevyo Lisu angewasha moto.

Angejibu swali hii inaonyesha wazi wafanyakazi wengi wa serikali wanatumika na Chama kilichopo madarakani
 
Tumia akili, Duni na Lowasa walikuwa watumishi wa Umma, au akili za kushikiwa ndo zinakusumbua
 
Back
Top Bottom