CHADEMA na Maajabu ya Musa Leo Bungeni!!

CHADEMA na Maajabu ya Musa Leo Bungeni!!

uwezo wako wa kufikiri ndipo umeishia hapa hatuwezi kukulaumu sana tunakupuuzia kama ulivyo.

- hahahahahaha mnanipuuzia na huku wamekutuma kuja mbio kujivua nguo, eti Duni aliingia lini Chadema na je bado ni Mwanachama wa Chadema mpaka leo? hahahahahahahaha

le Mutuz
 
‪- Lowassa‬ aliingia CHADEMA saa mbili kamili Asubuhi, ilipofika saa mbili na dakika tano akawa mgombea Urais wa# CHADEMA.....
,Babu ‪#‎Duni‬ aliingia chadema saa sita na saa sita na nusu alikua mgombea Mwenza na Wote waliingia CHADEMA Wiki Moja kabla ya Kampeni kuanza,

- Leo CHADEMA wanamuuliza Dr ‪#‎Tulia‬ Bungeni alijiunga CCM lini? haya ni maajabu ya Musa!!,

KUMBE MZEE MKAPA ANA AKILI SANA, ALISHAWAJUA SIKU NYINGI SANA!!


Le Mutuz Nation

Ccm wananifanya burdoza natangeneza barabara hila nikitaka kupita wanasema ntaharibu,ukiona watu wanawakataa mpaka wazazi wako jiurize kwenye familia yenu mnamatatizo gani baba kakataliwa na mama kafatia hatari 😀😀😀😀😀😀
 
Hivi ndani ya taifa letu tukufu kuna mashoga?
 
‪- Lowassa‬ aliingia CHADEMA saa mbili kamili Asubuhi, ilipofika saa mbili na dakika tano akawa mgombea Urais wa# CHADEMA.....
,Babu ‪#‎Duni‬ aliingia chadema saa sita na saa sita na nusu alikua mgombea Mwenza na Wote waliingia CHADEMA Wiki Moja kabla ya Kampeni kuanza,

- Leo CHADEMA wanamuuliza Dr ‪#‎Tulia‬ Bungeni alijiunga CCM lini? haya ni maajabu ya Musa!!,

KUMBE MZEE MKAPA ANA AKILI SANA, ALISHAWAJUA SIKU NYINGI SANA!!


Le Mutuz Nation

Kula like mkuu .
 
Wa kuona aibu ni UKAWA ambao wameshindwa chaguzi zote. Kuanzia urais hadi uspika. CCM tunapaswa kuona aibu au kushangilia? Maana tuna kiti cha uspika...tuna kiti cha naibu spika...na tuna rais. CCM mbele kwa mbele.
Kwa nchi za kidemokrasia, hao tayari wanawajibika kwa wananchi wote na si CCM hivyo kwa kauli kama hizi hasa mkizileta kwa wananchi ambao si waelewa wanakuwa wanajenga bifu na hata ushiri wa shughuli za maendeleo unakuwa mgumu kutokana na kupenda kujitapa na wana CCM walioshinda
 
Ccm wananifanya burdoza natangeneza barabara hila nikitaka kupita wanasema ntaharibu,ukiona watu wanawakataa mpaka wazazi wako jiurize kwenye familia yenu mnamatatizo gani baba kakataliwa na mama kafatia hatari 😀😀😀😀😀😀

- hahahahaha una maana Mzee Mkapa alikosea pale Jangwani au umesahau alisema nini? hahahahahaha

le Mutuz
 
Kama mnafanya pumba yes ni sumu. Vifungu vya sheria alivitaja na waelewa wakaelewa sasa ulitaka nini? tatizo manyumbu mnafata sana upepo.
Hapa mngekuwa mnatuelimisha wajamani maana wengine hapa tunataka kusikia kitu kutoka kwa waelewa wa huu waraka wa utumishi wa Umma una apply vipi maana huku uraiani watumishi kibao katika ngazi za chini wana hamu kushiriki hata kwenye Udiwani lakini wengine wanaogopa au wanashindwa kupambambanua
 
- hahahaumesahau mliyaosema kuhusu CUF halafu mkajiunga nao? hahahahahahah

le Mutuz

CUF tulizungumzia zile habari za kiintelgensia kuwa wameingiza container lililojaa majambia kwa ajili ya........!
 
CHADEMA wanamuogopa sana Dkt Tulia. Kitendo cha wao kumnyima nafasi kuongea ni ushahidi tosha kuwa wanamuogopa vibaya sana.

Maana Dkt Tulia naibu wetu wa spika anasema kwa vifungu...anasema kwa kutaja Ibara...bila kusoma mahali popote pale...mtu wa namna hiyo ni moto wa kuotea mbali! Jitu kama Lissu bila kuwa na katiba...haliwezi kutaja Ibara yoyote ile mpaka asome. Tofauti kabisa na Dr Tulia. Vitu vipo kichwani tu.

Asante Mungu kwa kutupa naibu spika msomi.

Ngoja tumuone kama hata tupa joho hilo
 
‪- Lowassa‬ aliingia CHADEMA saa mbili kamili Asubuhi, ilipofika saa mbili na dakika tano akawa mgombea Urais wa# CHADEMA.....
,Babu ‪#‎Duni‬ aliingia chadema saa sita na saa sita na nusu alikua mgombea Mwenza na Wote waliingia CHADEMA Wiki Moja kabla ya Kampeni kuanza,

- Leo CHADEMA wanamuuliza Dr ‪#‎Tulia‬ Bungeni alijiunga CCM lini? haya ni maajabu ya Musa!!,

KUMBE MZEE MKAPA ANA AKILI SANA, ALISHAWAJUA SIKU NYINGI SANA!!


Le Mutuz Nation

Mtu akikwambia una akili za UKAWA huyo ni wakumfunga na kumpeleka police
 

Attachments

  • 1447946037704.jpg
    1447946037704.jpg
    77.2 KB · Views: 314
- Unanionea bure sikugombea Unaibu Spika bana hahahahahahha U know lakini ulimsoma Mkapa siku ile Jangwani au? hahahah

le Mutuz

Mzee Le Mutuz nimetafakari na kugundua waafrica haya mambo ya vyama vingi havitatusaidia , kwani vinawatoa watu akili na kubaki washabiki, kwenye ushabiki hata viongozi eg Mkapa anafyatuwa matusi badala ya kujenga hoja kisha mtu kama we unashabikia !!!.

Lowassa na Duni ni wanasiasa huwezi linganisha na Dr Tulia AAG mtumishi wa umma na kushauri usjitoe ufahamu kaka na kuwa ushabiki!!.
 
Wewe utaendelea kuishi kwa upambe hadi lini? cha msingi siyo Chadema bali wananchi wameupata ukweli na huyo Dr Tuli ameaibika kwa kushindwa kujibu swali moja tu ambalo limejirudia mara mbili, Silinde kammaliza kabisa Tuli wako, ni aibu kubwa kwa ccm.

Na ndio ujijuwe wewe ccm ni kidampa tu zama za familia ya Malecela zimekwisha ndio maana pamoja na kujipendekeza kwako kote hata Udc waliohongwa hadi machangudoa wewe umetoswa, na wenzako kina Tuli wanazidi kupewa ulaji wanatolewa huku wanawekwa huku, wewe utaishia kuwa mkurugenzi wa blog tu. Loser.

Akili ndogo ni upuuzi kweli! Hivi swali la lini umeingia Ccm linammaliza vipi mtu? Wewe ndio umemalizika kimawazo na Kifikra Mtu mwenye Akili hawezi kukuelewa kwa hili kasha uliloandika hapa.. Wanasheria Hawajibu hoja kwa Mipasho wala Malumbano.. Kama walitaka kujua kaingia au kachukua lini kadi ya Chama wangesubiri Azungumze kwanza.. Kukosa Hoja na Kuzomea ni Aibu na Kutokujielewa kwa Wabunge Wengi wanaounda Umoja Wa Kinafiki katika kuwaibia Wajinga wasiotambua dhumuni la Umoja huo kama wewe.

Unapojaribu kutembea Hakikisha kwanza Je una miguu? Kukubali upuuzi ule wa bungeni ni kuishusha Hadhi yako. Ninachokushauri Nenda Kule MMU huku tuachie sisi tusioongozwa na Mihemko
 
Back
Top Bottom