Makamanda gani wanakunywa viroba?
Hizo laki tano zenu bora mngewanunulia watoto wenu maziwa wanywe wapate afya, mchango wa Junior huo.
Tafsiri ya Kamanda ni migambo.nipe maana ya neno kamanda...mjinga mkubwa wewe...
Hizo laki tano zenu bora mngewanunulia watoto wenu maziwa wanywe wapate afya, mchango wa Junior huo.
Sasa kumchangia Junior laki tano ndiyo kufanya makubwa?sasa kama junior ndiyo kampeni meneja wetu kumchangia kuna tatizo gani..
nipe maana ya neno kamanda...mjinga mkubwa wewe...
Kweli laki tano kwangu nyingi sana.unatamani ungepewa wewe coz nadhani jioni ya leo unawaza utakula nini utabakia kuhesabu misumari ya dari na kushika pembe shame on you
\Vijana wa BAVICHA mnajipendekeza kwa Mbowe mpaka mnatia aibu. Yericko Nyerere anajipenyeza ili viongozi wakuu wa CHADEMA wamjue.
Makamanda gani wanakunywa viroba?
Au LEMA anawadanganya "tumeibiwa kura na Policcm pamoja na usalama wa taifa!"Endeleen kuchangia hivohvo.... Wenzenu waendelee kuruka angan kama popo.... Mwisho wa cku daftari halikuboreshwa.
Mnapoteza mda wenu bure kwa dhiki. zenu...
Babu anaepokea zaidi ya M11 kwa mwezi kachangia nini?
Tafuteni pesa na siumaarufu wa majitaka kama huo...
Ukiona mtu anatukana ujue uchungu ushamwingia kwa koromeo..
Mnaacha kula hata vipapatio vya kuku hizo kwashakoo ziwatoke mnafaidisha wenzenu..
Huyo yeriik hata elfu 20 ya kutuma kwao inamshinda anatafuta sifa kwa kuchangia ujinga humu wakati wazazi wake wanalala Giza kwa kukosa kerosene!!!
Laana mnaiokota hivi hivi kwa kuacha kuhudumia familia zenu na kwenda kuwapa wahuni wakahonge mahawara...
Too silly...
Vijana wa BAVICHA mnajipendekeza kwa Mbowe mpaka mnatia aibu. Yericko Nyerere anajipenyeza ili viongozi wakuu wa CHADEMA wamjue.
Hii ni sadaka kubwa na iliyonona kwa ukombozi wa mwanadamu.Mungu azidi kubariki kazi ya mikono yenu Makamanda