CHADEMA Mitandaoni Wafanya Makubwa Kalenga na Chalinze

CHADEMA Mitandaoni Wafanya Makubwa Kalenga na Chalinze

kwa MITANDAONI TU mlishashinda kata 27, mmeshinda KALENGA, na CHALINZE ila field!!! teh
 
Leo umoja wa Wanachadema wanaoendesha siasa zao kupitia mitandao ya kijamii wamekabidhi michango yao mbele ya Viongozi wakuu wa Chama hicho. Akizungumza na waandishi wa habari mwakilishi wa wanachadema hao Bwana Yericko Nyerere amesema, "Mara yakwanza zilipoanza kampeni za Kalenga walipenda kushiriki siasa za majukwaani moja kwa moja lakini walibuni njia mujarabu yakushiriki kikamilifu kwa kila mmoja kuchanga kiasi chochote alichonacho na kukileta kwenu viongozi ili kisaidie ushindi Kalenga na Chalinze. "Ninawashukuru makamanda kwakujitolea kuchanga kiasi cha laki tano ambazo leo nitazikabidhi hapa, niwahakikishie wanahabari kuwa Kalenga tutashinda, hilo halihitaji mjadala, sasa tunakwenda Chalinze, tutahakikisha tunalibeba jimbo hilo kwakuwa tumempata mgombea imara Kamanda Mathayo"
Nae Mh John Mrema ambe amepokea mchango huo kwa niaba ya Katibu Mkuu amepongeza juhudi za wanachama wanaohudumu siasa mitandaoni kwa kuwahimiza kupambana kukijenga chama na kukitetea bila kuchoka, Kundi la wanachadema mitandaoni kupitia M4C PAMOJA DAIMA ni mjumuiko wa makamanda wote wa Chadema.
cc
Ben Saanane, Mungi, Shark, Masanilo sweetlady 'Valentina' na wengine wengi.....


Pamoja sana makamanda, Ukombozi ni gharama sana sasa twende mbele zaidi tuache laptop na smartphones zetu twende uwanja wa mapambano. Pamoja tutapata uhuru wa pili zidi ya Mkoloni CCM
 
quote_icon.png
By Yericko Nyerere
Kidogo hukomboa nchi, kikubwa hufifisha harakati,
Hivi ni nchi gani mnaikomboa nyie wahuni?
 
Hivi hili jambo mlilitangaza hapa au utaratibu ulikuwaje wa kukusanya michango hiyo? Inaonekana kuna mambo yalinipita bila ya mimi kujua.

Leo umoja wa Wanachadema wanaoendesha siasa zao kupitia mitandao ya kijamii wamekabidhi michango yao mbele ya Viongozi wakuu wa Chama hicho. Akizungumza na waandishi wa habari mwakilishi wa wanachadema hao Bwana Yericko Nyerere amesema, "Mara yakwanza zilipoanza kampeni za Kalenga walipenda kushiriki siasa za majukwaani moja kwa moja lakini walibuni njia mujarabu yakushiriki kikamilifu kwa kila mmoja kuchanga kiasi chochote alichonacho na kukileta kwenu viongozi ili kisaidie ushindi Kalenga na Chalinze. "Ninawashukuru makamanda kwakujitolea kuchanga kiasi cha laki tano ambazo leo nitazikabidhi hapa, niwahakikishie wanahabari kuwa Kalenga tutashinda, hilo halihitaji mjadala, sasa tunakwenda Chalinze, tutahakikisha tunalibeba jimbo hilo kwakuwa tumempata mgombea imara Kamanda Mathayo"
Nae Mh John Mrema ambe amepokea mchango huo kwa niaba ya Katibu Mkuu amepongeza juhudi za wanachama wanaohudumu siasa mitandaoni kwa kuwahimiza kupambana kukijenga chama na kukitetea bila kuchoka, Kundi la wanachadema mitandaoni kupitia M4C PAMOJA DAIMA ni mjumuiko wa makamanda wote wa Chadema.
cc
Ben Saanane, Mungi, Shark, Masanilo sweetlady 'Valentina' na wengine wengi.....
 
quote_icon.png
By Elizabeth Dominic Reverse that
Unaliwa utu wako
Unaliwa akili yako

Sijui unaliwa na nini kingine tena.....very sad
Kama na wewe ulitoa hela yako "ikakomboe nchi" tayari umeshaliwa. Bora ungewapelekea babu na bibi kule kijijini sukari na sabuni.
 
Hakuna kubwa hapo ila lile tu la CHADEMA kuingia katika wizi wa kimitandao ndio kubwa pekee.
 
Pamoja sana makamanda, Ukombozi ni gharama sana sasa twende mbele zaidi tuache laptop na smartphones zetu twende uwanja wa mapambano. Pamoja tutapata uhuru wa pili zidi ya Mkoloni CCM

Nawewe umekuwa kamanda lini? ???
Hahahahahahahah....

Labda kamanda wa matusi.
 
Pamoja sana makamanda, Ukombozi ni gharama sana sasa twende mbele zaidi tuache laptop na smartphones zetu twende uwanja wa mapambano. Pamoja tutapata uhuru wa pili zidi ya Mkoloni CCM

Kabisa hii ni hatua kuonyesha kuwa hatubwabwaji tu mitandaoni. Bravo!
 
Back
Top Bottom