CHADEMA Mitandaoni Wafanya Makubwa Kalenga na Chalinze

CHADEMA Mitandaoni Wafanya Makubwa Kalenga na Chalinze

Kabisa hii ni hatua kuonyesha kuwa hatubwabwaji tu mitandaoni. Bravo!


Mnapoteza mda wenu bure kwa dhiki. zenu...

Babu anaepokea zaidi ya M11 kwa mwezi kachangia nini?

Tafuteni pesa na siumaarufu wa majitaka kama huo...
 
Mnapoteza mda wenu bure kwa dhiki. zenu...

Babu anaepokea zaidi ya M11 kwa mwezi kachangia nini?

Tafuteni pesa na siumaarufu wa majitaka kama huo...

sasa sisi na mambo ya babu yako yana tuhusu nini, tunakipongeza kikundi kilichoamua kukichangia chama chetu(chadema ) na si mambo ya babu na mama yako...
 
sasa sisi na mambo ya babu yako yana tuhusu nini, tunakipongeza kikundi kilichoamua kukichangia chama chetu(chadema ) na si mambo ya babu na mama yako...

Mwambie huyo Mzee wa Nepi!
 
Hii ni sadaka kubwa na iliyonona kwa ukombozi wa mwanadamu.Mungu azidi kubariki kazi ya mikono yenu Makamanda
 
Hizo laki tano zenu bora mngewanunulia watoto wenu maziwa wanywe wapate afya, mchango wa Junior huo.
 
Hii ni sadaka kubwa na iliyonona kwa ukombozi wa mwanadamu.Mungu azidi kubariki kazi ya mikono yenu Makamanda

Hivi nyie malaghai mumkomboe nani?

Kama fikra zenu mmeshindwa kuzikomboa mtamkomboa nani?
Imbecilic!!
 
Najua umepatwa na mshtuko huko chini maana hapo Lumumba ni mpaka mungu wenu Nape aje ndio mnaona hela!

Nape yupo kwenye honeymoon kipindi hiki wana njaa mbaya kabisa
attachment.php
 

Attachments

  • nape's weeding.jpg
    nape's weeding.jpg
    54.5 KB · Views: 150
Back
Top Bottom