CHADEMA Mitandaoni Wafanya Makubwa Kalenga na Chalinze

CHADEMA Mitandaoni Wafanya Makubwa Kalenga na Chalinze

Ha ha ha ha.. Eti unafikiri wewe sio mlalahoi kisa tu unalipwa buku saba kwa siku????

7000*30=210,000/= kwa mwezi je hiyo na 50000/= kwa kubeba sumu za kuulia watu bora nini?

Dhiki usiifungie ngata utavunjika msamba kwa mambo yasiyo na tija
 
Unafikiri kila mtu mlalahoi kama wewe unaepigania ukombozi?

Katika walalahoi wewe ni namba moja! Unatumika sana na Lumumba na hakika hata mabox unayolalia lazima uwe taabani. Pole sana dada. Tukishapata ukombozi, hali yako itabadilika!
 
Nani kawataja au wanatimiza mshindo ndo mana ukajisikia kuwataja hapo?

Wengi maisha yenu magumu wengine wanalala sebuleni kwa shemeji zao wanaacha kudunduliza wajiendeshee maisha wanatafuta umaarufu usio na tija...

Huyo mtoto wa msaaambiiraaa baba yake analala giza huko iringa yeye anachangisha hela za pampers za junior mjini...

Mnatafuta laana tu...



Ha ha ha ha h... Hii najua kwako ni ngumu sana kumeza ndio maana unatokwa jasho la kwapa kupingana na ukweli.... Ukiulizwa haswa waumwa na kitu gani kwa wana cdm kuchangia chama chao utajibu nini? Yaani jasho linakutoka toka pg ya kwanza upo tu hueleweki unataka nini!!

Mwenye maisha ya shida ni wewe unaekesha jf kutetea mafisadi kwa malipo ya buku 7 kwa siku, wengine humu hatulipwi tunajitolea kuililia tanzania mpya kwa faida ya watoto wetu hapo baadae... Hebu acha usiingie jf kesho uone kama Nape atakulipa, watoto lazima wajisaidie huku wamesimama
 
Sana!! Umewaacha wanaweweseka kwakuwa wao wanahemea buku saba nyuma ya pc za lumumba!

Ndipo watakapoona Tofauti.Kwamba wao wanalipwa ujira wa buku saba huku makamanda wakikilipa chama chao
 
Nani kawataja au wanatimiza mshindo ndo mana ukajisikia kuwataja hapo?

Wengi maisha yenu magumu wengine wanalala sebuleni kwa shemeji zao wanaacha kudunduliza wajiendeshee maisha wanatafuta umaarufu usio na tija...

Huyo mtoto wa msaaambiiraaa baba yake analala giza huko iringa yeye anachangisha hela za pampers za junior mjini...

Mnatafuta laana tu...

Maneno yako yanaonyesha kiasi gani umeumia. Nikwambie pole sana. Usilolijua ni kwamba Wana Chadema wanajitoa kwa namna mbalimbali na wakati mwingine yawezekana usisikie. Hii ni akisi ndogo tu basi kuanzia leo na utayarishe moyo wako kwa maumivu zaidi kwani tutatangaza juhudi za wapambanaji wote
 
7000*30=210,000/= kwa mwezi je hiyo na 50000/= kwa kubeba sumu za kuulia watu bora nini?

Dhiki usiifungie ngata utavunjika msamba kwa mambo yasiyo na tija

Kwa hiyo hapo unajiona si mlalahoi!? Hizo ni hela za fegi tu kaka!
 
mapambano yanaendelea we need changes laki tano imeuma na bado mnatamani tungewapa nyie washika pembe mtaishia kula kwato
 
7000*30=210,000/= kwa mwezi je hiyo na 50000/= kwa kubeba sumu za kuulia watu bora nini?

Dhiki usiifungie ngata utavunjika msamba kwa mambo yasiyo na tija


Hebu tulia unywe hata maji , ukimaliza urudi hapa useme kwanini unaumwa roho namna hii... Bado hujasomeka ujue eeh
 
Kwa hiyo hapo unajiona si mlalahoi!? Hizo ni hela za fegi tu kaka!

Nimekupa tu mfano kwamba hiyo elfu 7 per day mnayoidharau wengi wenu hata uwezo wa kuipata hamna...
Hakuna anaelipwa kwa kazi hiyo Lumumba ni mapenzi tu kwa chama
 
Nimekupa tu mfano kwamba hiyo elfu 7 per day mnayoidharau wengi wenu hata uwezo wa kuipata hamna...
Hakuna anaelipwa kwa kazi hiyo Lumumba ni mapenzi tu kwa chama

Hahahaa.....una hakika na ukisemacho...eti mapenzi kwa chama
 
Nimekupa tu mfano kwamba hiyo elfu 7 per day mnayoidharau wengi wenu hata uwezo wa kuipata hamna...
Hakuna anaelipwa kwa kazi hiyo Lumumba ni mapenzi tu kwa chama

Hakuna mapenzi kwa ccm dada!! Chama kimeitafuna nchi mkafanywa maskini na sasa kinawatumia kwa buku sabasaba hapo Lumumba. Hata mwendawazimu haweziipenda ccm. Ndio maana mmepagawa kuona wenye mapenzi na cdm! Ni mambo mageni kwenu!
 
Nimekupa tu mfano kwamba hiyo elfu 7 per day mnayoidharau wengi wenu hata uwezo wa kuipata hamna...
Hakuna anaelipwa kwa kazi hiyo Lumumba ni mapenzi tu kwa chama


Ha ha ha ha.... Unatia huruma vile unavyotapatapa daah.. Mapenzi kwa chama kipi eti? Mapenzi kwa chama ccm yalikuwepo enzi za nyerere, sahivi wote ni wapiga dili tu! Kawadanganye magamba wenzio sio sisi
 
Back
Top Bottom