CHADEMA mikutano ya hadhara kila siku inakera

CHADEMA mikutano ya hadhara kila siku inakera

Harafu sasahuvi cdm wako kazini full time sio part time tena harafu muwaite chama cha msimu! Wameacha kuwa chama cha ms
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.

Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.

Aliyekutuma kakosa mwenye akili wa kumtuma ama?
 
Kamuulize JK aliyekuwa anahamasisha uwepo wa vyama vya kudumu na si vya kushiriki chaguzi tu (yaani msimu).

Peleka maoni yako tume ya katiba ili ipige marufuku mikutano ya mara kwa mara ya vyama vya siasa.
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.

Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.


kweli binadamu anakosa mvuto na kitu kilele kila siku lakini inategeme kimewasilishwaje.kama kuna staili mpya na maudhui mapya au hata kama yaleyale ila yana wasilishwaje hawawezi kuchoka. why watu mnakwenda kweny matumbuizo ya muzki mara kwa mara je hawachoki? au kuna mapya mbali na nyimbo zile zile za mapenzi?
nakushauri fanya kwanza utafiti baadaye uandike tena humu ndani



“Nitaiharibu hekima ya wenye hekima na kuzibatilisha akili za wenye akili.”
 
Kama mimi ningekuwa wewe ningeshafuta hili post!
af tusipo fanya mikutano tukapigie story wapi na wananchi! We vip sjakuelewa huon hata noma kuwa watu wote humu wamekupnga?
Bunge limewaacha majambaz wa kodi ya mlalahoi wakienda kujipongeza baada kazi nzito
 
Nimeshindwa kukuelewa vizuri kaka, yaani unasema kuwa mikutano ya kila siku inakera au inakukera? unaposema chadema watakosa watu wa kuwasikiliza 2015 unamaana wananchi woooote waliopanga kuhudhuria hiyo mikutano ya chadema mwaka 2015 walikuja kukuambia kuwa hawatohudhuria? Nani kakuchagua uwe msemaji wetu sisi wananchi tuliopanga kwenda ktk mikutano ya kampeni za chadema 2015? thread yako haina mashiko, kajipange tena kwenda zako huko !!!
 
Pole Makupa,NI UPEPO TU,UTAPITA,sie mikutanoni na wananchi nyie misibani na nje ya nchi.ni UPEPO TU
 
nadhani huelewi siasa ni nini wewe uliyeleta ka thread kako ka kishamba, kama huna kazi njoo nikupe.
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.

Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.

Je, umeangalai na upande wa pili wa shilingi? Kwamba ndipo wananchi watakavyoweza kutoa nafasi kubwa kwa CDM kwenye mind zao na CCM kukosa kabisa nafasi!
 
Mikutano ya hadhara ni muhimu kwa lengo la kutoa elimu ya uraia na kuwaelewesha wananchi kuhusu ubaya wa CCM aka magamba. Matokeo ya mikutano imeonekana mwaka 2010 na inaendelea kuonekana hadi sasa. Hakuna ubishi wananchi wametuelewa, matokeo ndio hayo kila mtu anatamani ahamie CDM. Wasio na uwoga dhidi ya udhalimu wa watawala wameonyesha njia mfano Milya, Madiwani wa Sombetini na kwingineko.

Saa ya ukombozi ni sasa. CDM endelezeni mikutano ya hadhara mpaka kieleweke.
 
nadhani huelewi siasa ni nini wewe uliyeleta ka thread kako ka kishamba, kama huna kazi njoo nikupe.
 
wanachofanya ni kufikia wananchi kwenye grassroots
Wanachofanya ni kufikisha elimu ya uraia kule ilipokosekana pamoja na kutangaza sera zao ili itakapofika wakati wa wananchi kutoa ridhaa zao kwa kupiga kura waweze kuelewa haki zao na kulinganisha sera. Hata hivyo unaweza kupima matokeo ya mikutano yao kwa wanachama wengi kujiunga na chama chao, pia hata wanachama na viongozi wa vyama vingine vya siasa wanajiunga na chama hichi kwa wingi. Hii ni moja ya mafanikio yao machache katika hatua za kukamata dola na kuliongoza Taifa. Kama wanafanya hiyo mikutano yao pasipo kuvunja sheria, hiyo ndiyo demokrasia huru.
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.

Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.

Wabunge wanawake wa CHADEMA wamelala sana tena usingizi fofofo hawana hata plan ya kuwahamasisha wanawake bora ya Chiku Abwalo huyu kazi zake huko Iringa zinaonekana wengine hamna kitu
 
Back
Top Bottom