Ngalikivembu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,959
- 876
Jakaya Kikwete wakati wa kampeni zake alitamka haya yafuatayo kwenye uwanja wa Majimaji Songea tarehe 10.10.2010;Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.
Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.
1.Msihangaike na vyama vya msimu
2. Msihangaike na Photocopy wakati original ipo.
3.Hivyo ni vyama mnavyoviona wakati wa uchaguzi tu,ukiisha hamtawaona tena.Sisi tupo nanyi
Niulize iweje leo useme mikutano kila siku inachosha?Hivi si vyama vya wakati wa uchaguzi tu usihangaike.
Sisi wengine tunahitaji mikutano hiyo na 2015 tuthudhuria pia.