Judi wa Kishua
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 1,242
- 1,472
Mikutano yenyewe haina jipya kila siku wanazungumza yaleyale ufisadi ufisadi ufisadi mpaka watu wamewachoka...hawana sera nyingine,hawasemi tukiwapa nchi watatusaidia vipi 2pate maendeleo...
Ndio maana mikutano yao inajaa Arusha na Moshi pekee,kwingine huwa wanakosa watu kabisa.
Ndio maana mikutano yao inajaa Arusha na Moshi pekee,kwingine huwa wanakosa watu kabisa.