CHADEMA mikutano ya hadhara kila siku inakera

CHADEMA mikutano ya hadhara kila siku inakera

Hili ni gamba na linatokea moshi nafikiri kuna kiasi cha hela analipwa na wakina Nape. Wana bodi samahani kidogo ngoja niongee nae lugha ya jadi (wokya ukou ngilekuwiya iyo nu mtondo sana na ulashikye se mochi fyo ubadilike iwinyi m.k.w e. r. e neche kulya numa) nafikiri atakuwa amenielewa na atabadilika

Lol kumbe nokelio pole sana mangi
 
Mikutano yenyewe haina jipya kila siku wanazungumza yaleyale ufisadi ufisadi ufisadi mpaka watu wamewachoka...hawana sera nyingine,hawasemi tukiwapa nchi watatusaidia vipi 2pate maendeleo...
Ndio maana mikutano yao inajaa Arusha na Moshi pekee,kwingine huwa wanakosa watu kabisa.

Sasa Kama wezi wapo ccm na Serikali nzima unataka watu wazungumzie kipi?Kazi ya kuukemea ufisadi ni kwa kila mwananchi,Chadema wamethubutu wanaweza na watafanya kila iitwapo leo.Wewe inakukera nini Chadema kukemea ufisadi?Watu Kama ninyi mgekuwa karibu Yangu unakula ngumi za kutosha,yaani ni kukata na kufunua.
 
Sasa Kama wezi wapo ccm na Serikali nzima unataka watu wazungumzie kipi?Kazi ya kuukemea ufisadi ni kwa kila mwananchi,Chadema wamethubutu wanaweza na watafanya kila iitwapo leo.Wewe inakukera nini Chadema kukemea ufisadi?Watu Kama ninyi mgekuwa karibu Yangu unakula ngumi za kutosha,yaani ni kukata na kufunua.
Hata nitumie mkono mmoja tu sekunde hufikishi
 
acha upuuz kama ww ni baba lazima uelewe watoto wanaendeleaje kila siku, kwa kifupi baba hakimbii majukumu
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.

Umebugi stepu sana. Kwanza uelewe watanzania wako chini katika kupata taarifa sahihi. Pia umma huu hauna njia rahisi za mawasilino, hasa maeneo ya vijijini. Umma huu unataka elimu ya uraia. umma huu unahitaji kujua wako wapi katika ulimwengu huu. Kwa makusudi mazima vyombo vya mawasiliano vimekuwa vikiwanyima wananchi taarifa nyingi za ukweli. hivyo basi ni wajibu wa vyama vya siasa kuzunguka nchi nzima, ikibidi bila kulala kuwaamsha wananchi. Mawazo kama ya uzi huu ni njama za kutaka kuwaacha watanzania wabaki na uelewa finyu wa haki zao za msingi, na ni usaliti kwa umma. Utakosa wasikilizaji hadi uwanunue pale tu utakapojiweka mbali na wasikilizaji. hapo itabidi ugawe ubwabwa, unga, kofia, fulana, kanga NK. Nyerere aliwaambia CCM, Mkiwa mbali na wana wa nchi, watawakataa, na itakuwa vigumu sana kuwapata tena, nafikiri Mwalimu amekuzidi sana kwa hoja.

Nawakilisha na siungi mkono hoja.
 
Hata nitumie mkono mmoja tu sekunde hufikishi

Unazungumzia nyuma ya laptop yako,nipo Arusha pande za Ilboro nntafute jina langu ni Ciril Kimat,acha uk____,,,!
 
chanzo cha umasikini ni ufisadi wa ccm na ni lazima kila Mtanzania aelezwe ili aikatae ccm

tutaikataaje CCM wakati hawatuambii wao tukiwapa nchi watafanya nini cha maana...kazi yao ni kuimiza maandamano na sio maendeleo.
 
Mikutano yenyewe haina jipya kila siku wanazungumza yaleyale ufisadi ufisadi ufisadi mpaka watu wamewachoka...hawana sera nyingine,hawasemi tukiwapa nchi watatusaidia vipi 2pate maendeleo...
Ndio maana mikutano yao inajaa Arusha na Moshi pekee,kwingine huwa wanakosa watu kabisa.

habari za huko ughaibuni unakoishi,vip mu wazima wote?,sisi huku Tz tuko poa tu
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.

Hahaha,ukirusha jiwe gizani na ukasikia uwiiiiiii,
ujue limempata mtu.
Safi sana,wewe una wakilisha wananchi gani au unawakilisha wana
ccm wasio penda kusikia uhamasishaji na muamko wa watanzania?

Jinyonge
 
Unazungumzia nyuma ya laptop yako,nipo Arusha pande za Ilboro nntafute jina langu ni Ciril Kimat,acha uk____,,,!

watu wa chadema mnapenda sana vurugu.....sasa nazidi kuamini ile alama ya V ni kweli inamaanisha manati.
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.

Unataka nani atoe elimu ya uraia kwa wananchi ama unapendelea vikao vya CCM Serena na Ngurudoto!?
 
habari za huko ughaibuni unakoishi,vip mu wazima wote?,sisi huku Tz tuko poa tu

nipo bongo,uko unaposema nikienda naenda kutembea tu...Tz ndio nyumbani na ninaipenda Tz sana sana ndio maana kikitokea kikundi flani cha wahuni wanataka kuivuruga lazma niseme.
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.

Makupa, hapo kwenye red, naona kidogo labda utakuwa umeteleza-teleza hapo. Hebu check Tanzania yetu hii...

Ingekuwa kweli unalosema, yafuatayo yangetokea hapa Tanzania:-

  • Watanzania wangekosa hamasa na amani waliyonayo kwa muda mrefu sasa, maana wameizoea.
  • Watanzania wangekosa hamasa na CCM, maana wameizoea.
  • Watanzania wangekosa hamasa na ufisadi na ubadhilifi wa mali za umma, maana wamezoea hayo yote.
  • Mafisadi wangekosa hamasa na shughuli yao hiyo, maana wameizoea sasa.
  • Watanzania wangekosa hamasa ya kuendelea kuwa maskini, maana umaskini huu wameuzoea sana sasa (tangu uhuru)
  • Watu walioko kwenye ndoa wangekosa hamasa kwa wenzi wao, maana wamewazoea sana (sijui kama wewe uko kwenye ndoa )!!!
.
.
List hii yaweza kuendelea sana....!!
 
Back
Top Bottom