CHADEMA mikutano ya hadhara kila siku inakera

CHADEMA mikutano ya hadhara kila siku inakera

Sasa huyu MAKUPA katumwa na nani aandike humu kwa watu wanaofikiri zaid i mara milion,yaani wewe MAKUPA kupewa Computer kwa dakika chache ndio imekuwa tatizo la kuandika huu uchafu humu Aisee pole sana na huyo aliyekutuma mwambie jamaa wanasema kama unakereka basi jinyonge au jifungia chumbani kwako na zima tv na radio ili usisikie nini kinatokea kwa Dunia na wewe MAKUPA kama umekuwa msemaji wa Watanganyika kwa nini usiingie kwenye ulingo wa siasa hakika wewe ni Gamba,mfu na una akili za maiti asfgfshggh..saashole!!!!
 
sasa ndugu yangu Mende, unayaju ya Chiku kwasababu Iringa ni kwenu,
Ya Musoma utayajilia wapi?
hahaaa mkuu Biggie umenichekesha maana watu kama Memnde wanadhani kila jambo linalofanywa na wabunge wanawake wa CHADEMA lazima lipate coverage ya Media
 
Ndugu Makupa,

Mikutano ya CHADEMA ina madhumuni ya kueneza chama na misimamo yake nchi nzima ya Tanzania. Kwa hiyo kama wana uwezo wataendelea kila siku hadi mwaka 2015 ili kuweza kufikia vijiji na vitongoji vyote Tanzania. Hii nchi ni kubwa sana.

La muhimu ni kwamba kama wewe Makupa umeshahudhuria, huna haja ya kwenda tena, kama madhumuni ya mkutano hayakutangazwa yamebadilika. Labda kama wewe ni Mwandishi wa habari, basi utahudhuria upate la kuarifu Makao Makuu ya taasisi yako.

Wanaokerwa na mikutano ya CDM ni wale viongozi wa mafisadi na walanchi, kwa vile uovu wao unafichuliwa. Na hii ndiyo njia pekee na halali ya kueneza siasa m'badala katika nchi. WanaCDM wamesema "HAKUNA KULALA, MPAKA KIELEWEKE"!!!!!!!

Mimi nasema haya kwa kujiamini, nikiwa Muasisi wa CDM, Mwenyekiti Taifa mstaafu na Mjumbe wa kudumu wa Kamati Kuu
Nakushukuru sana Baba yangu kwa kunijibu ,ninaamini kabisa nilichokisema kina ukweli na haitachukua muda mrefu kabla hamjajuta kuanzisha siasa za majukwani zisizokuwa na kikomo ,msisahau kwamba we are down but not out
 
Hili ni gamba na linatokea moshi nafikiri kuna kiasi cha hela analipwa na wakina Nape. Wana bodi samahani kidogo ngoja niongee nae lugha ya jadi (wokya ukou ngilekuwiya iyo nu mtondo sana na ulashikye se mochi fyo ubadilike iwinyi m.k.w e. r. e neche kulya numa) nafikiri atakuwa amenielewa na atabadilika

Mods wangekuwa wanaelewa hii lugha hapa wangekuwa washakupiga BAN ya nguvu aise
Duh mkuu umemuamulia jamaa mbaya
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.

Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.

Sijui wewe ni kaka au dada, lakini ninachotaka kusema ni kwamba CHADEMA wanachofanya kwa mtu anayeelewa ni jambo la kukijenga chama na wala si kukera watu kama wewe unayeonekana una CCM syndrome ndani yako. ujue bado kuna maeneo hawajui ni chama kipi kinaweza kuwakomboa kwahiyo CHADEMA wakifanya hivyo ndo wanafanya watu wengi wawe aware.

Ujue kuna maeneo kama Morogoro wao CDM hawaijui ndo maana bado wanachagua CCM na Wahindi/Waarabu kwa kuhingwa usafiri wa mabasi kusafirisha maiti badala ya kuchagua ukombozi "CDM".Mimi nilifikiri ungefikiria jinsi gani ya kuchangia nini waseme kwenye mikutano hiyo badala ya kuwakatisha tamaa kuwa wanakera.Ndugu hata Roma haikujenga siku moja.

Asante
 
Halafu mods kwanini msiweke charges ktk kuanzisha uzi?? Yaani mtu akitaka kuweka uzi wake lazima alipie kidogo pesa ya uchakavu! Nadhani hii itapunguza nyuzi za kijinga jamvini..(mtazamo wangu mimi binafsi)
charges ikishindikana mtu apigwe ban ya mwezi mmoja ili muda huo autumie kusoma na kuona jinsi thread zinavoandikwa na apate elimu pia ya uraia!!
 
Mkuu unasapoti ujinga shame on you all

Mbona unanihukumu aise
Wapi nimesupport ujinga au kuusema
Na nimesema wazi Mods wangekuwa wanaelewa jamaa alichoandika wangempiga BAn
Je hilo ni kosa au kusupport ujinga
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.

Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.


Aisee, kumbe sikuj8ua kwamba mikutano kila siku inakera, japo sio sehemu moja tu.

Ila kuiba kila siku haikeri.

Sasa nimefahamu.

NYI NYI EMU OYEE!

M4C ndo hiyo, mtakimbia wenyewe. bado mapema sana mbona.
 
Mkuu unasapoti ujinga shame on you all
Wewe Mkupa wacha kutisha watu kama ni kuisha kwenye siasa si ndio utafurahi, maana wewe kiujumla ni gamba gumu!!!!Kwa taarifa yako CHADEMA LAZIMA WATEMBEE nchi nzima ya Tanzania yote bara na visiwani ili wawaeleze watu CCM wezi wa Tanzania na wizi wao kuanzia EAP, RICHMOND, MEREMETA, BUZWAGI, GEITA GOLD MINE, TANZANIA ONE na sasa umeingia wizi wa halmashauri za wilaya na mikoa, TRA, Wizara zote!!!!!

Sasa wewe kama unaipenda Tanzania unataka watu wasiambiwe wapige kimya ili waendelee kuiba????? Wezi waendelee kuiba sisi kimya, basi utakuwa umerogwa na CCM!!!!
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.

Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.
Wewe ndiye Mukama?
 
word..kila siku mnakalia politics tu kuwalemaza watu badala ya kuwahamasisha kufanya kazi..nchi haijengwi kwa satilili hii ya mikutano kila siku...hili swala lilikuwa linaniumiza kichwa sana..nashagazwa na utaratibu wa msajili wa vyama pamoja na sheria inayosimamia mambo ya vyama vya siasa kuwa weak kiasi kwamba inaipa vyama loop hole ya matumizi mabaya ya uhuru wa vyama kufanya kazi za kisiasa..mbona uchaguzi ulishakwisha kitambo ndugu zanguni?? let us be realistic..lini tutafocus kujenga taifa letu..ghafla tu..zimeashaanza vugu vugu za uchaguzi wa 2015 wakati bado miaka mitatu kufikia huko.. kwahiyo mnataka kuniambia tutaendelea na porojo hizi kwa miaka mingine mitatu mfululizo?? tuache ujinga na tufanye kazi period!!! anaenuna na anune..na ataenuna ni mmoja wapo wa wavivu wanaotuletea umaskini..
Pole sana na bado mtaumia sana huu ni mwanzo tu wa utungu kuzaa kwenyewe kunakuja.
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.

Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.

Ala unasema nini wewe? Hivi unakumbuka hayati Baba wa Taifa hili aliyenipa elimu na afya bure na hivi mimi ni ofisa mkubwa na ninayeweza kutawala maisha yangu alifanya mikutano mingapi alipoacha kazi ya ualimu? Ukombozi ni mikutano, ni uhamasishaji kwa njia zote. Sasa CDM andaeni vipindi vya runinga na radio kuelimisha wananchi.

Fanyeni Sensitization Fund Raising campaign ili mpate hela. Hadi 2015 kitaeleweka tu. Mungu ni mwema, wajukuu zangu wanapiga simu (extended family-cannot absorb all ) kila siku maisha magumu, shule hakuna waalimu, madaftari, pesa ya uji, pesa ya mitihani ya kila jumamosi eti mratibu kata elimu anauza mitihani watoto wanafanya!!!!!!

Tunahitaji mabadiliko, Tanzania ni tajiri si maskini, tuache utopian, tuache kuwafundisha watoto historia potofu na wanakuwa nayo wanajua eti Tz ni maskini wakati ni tajiri ndo maana kuna wawekezaji!!! Dadeki!!
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.

Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.
Ni lazima ikukere kwa sababu kwa vyoyote vile utakuwa ni mtu wa CCM. Kwa watu waliokatishwa tamaa na Ubadhirifu na ufisadi wa CCM, mikutano hii ni habari njema. Dhambi za CCM zimeshajaa kipimo na kifuatacho sasa ni Hukumu. CCM must GO.
 
Siku za hivi karibuni kumejitokeza wimbi la wabunge wa cdm kufanya mikutano ya hadhara sehemu nyingi za nchi, nakubaliana na ukweli ya kwamba cdm imepata umaarufa hasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.

Ninachoaasi viongozi cdm na wafuasi wao ni kwamba binadamu yoyote ana hulka ya kukosa hamasa na kitu chochote hasa baada ya kuwa na mazoe na kitu husika, rai yangu ni kwamba hii mikutano ya hadhara mnayofanya imeanza kuwachosha wananchi na sitashangazwa na cdm kukosa kabisa wasikilizaji ama wahudhuriaji wa mikutano yao 2015.

Watu wengine mnaakili gani? mbona mnatia kichefuchefu? kwa nini hampendi watanzania waijue kweli ili wawe huru? ukifuatilia utakuwa mtu usiyenufaika na chochote na CCM. Kwa taarifa yako moto huu hautazimwa mpaka kieleweke.
 
Back
Top Bottom