Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,115
- 103,624
Wakuu bila kuwachosha, nashauri kamati kuu ya CHADEMA ionyeshe sifa bora za kiongozi katika kutoa maamuzi sahihi kwa wabunge wa viti maalum, pasipo kutawaliwa na hisia, mitandao, msukumo wa watu wa nje n.k ,watawaliwe na kuongozwa na sifa za kiongozi bora katika kipindi kigumu. Nawasilisha
Ni hivi, leo kundi la wahuni wachache ni kupigwa chini ili wakashirikiane vizuri na shetani. Huu ushauri wako ungewapelekea CCM dhidi ya Membe.