CHADEMA leo wana nafasi ya kuweka historia ya kusimamia maadili ya chama kwa kuwafukuza Wanachama wake 19 kwa mpigo

Hoja sio ubunge kwa sababu watalindwa na hao ccm waliopanga hayo baada ya kuhujumu uchaguzi, hoja hapa ni kulinda katiba ya chama.
Chama lazima kiwafukuze ili liwe onyo kwa mpuuzi yeyote anayedhani yeye ni mkubwa kuliko chama.
Aliondoka Slaa na Zitto sembuse hawa wapuuzi tu?
Ww unaona Hawa ni wapuuzi bcoz haujui umuhim wao

Unadhan wako kama ww unalala na kuamka na Kuja na kisim chako kuandika jf
 
Hata kwenye issue ya wale wabunge wa Rombo na Moshi Vijijini na Kubenea ulisema hivyo hivyo tu. Lakini kwa kuwa wewe si chochote kwenye saccos wala hawakukusikiliza na leo nafikiri itakuwa hivyo hivyo!
 
Ni imani yangu viongozi wa CHADEMA leo wataweka mbele heshima ya chama kwa kulinda katiba ya chama hicho pale watapowafukuza wasaliti 19 kwa mpigo na kuweka historia ya kufukuza Wanachama Waandamizi 19 kwa mpigo ili kulinda Katiba ya chama.

Hakika leo itakuwa ni siku ya historia kwa CHADEMA na pigo kwa watu wa chama fulani na mamluki wao pamoja na taasisi zote zilizohusika katika hujuma hii iwapo CHADEMA watafanya maamuzi hayo ya kuwafukuza wasaliti hawa katika kikao chao cha leo tarehe 27/11/2020.

27/11/2020 itakuwa ni siku ya kukumbukwa. Kazi kwenu CHADEMA.
Wewe sema hivi. Leo ni siku ya historia ambayo KATIBU MKUU wa chama cha Chadema kung'atuka baada ya kuona viongozi wenzake wamempuuzia kutokana na ujinga wake wa kutaka kukikosesha chama RUZUKU ya angalau at least MILION 40 ya kila mwezi. Hapo nani akubali ujinga huo. Mbowe timua huyo kikaragosi anataka kuua chama chetu pendwa
 
Mzizi mwingine nikwambie basi
Leo wakina Mdee hawatokwenda kwenye kikao cha kamati kuu

Na Mzizi mwingine nikwambie ni kuwa kamati kuu yenyewe imeshavurugana kati ya wanaosema yes na no

Na kikao sio makao makuu Tena ni bahari Beach
Ulishaharibu ulipodai eti CHADEMA waliandaa list yenye mahawara wa viongozi. Kwa akili zako hta kma CHADEMA ingeamua kupeleka list ya wabunge ingewaacha kina Bulaya,mdee,Agnesta n.k?

Kuna comments huwa mnatoa hadi zinashangaza.
 
Hata kwenye issue ya wale wabunge wa Rombo na Moshi Vijijini na Kubenea ulisema hivyo hivyo tu. Lakini kwa kuwa wewe si chochote kwenye saccos wala hawakukusikiliza na leo nafikiri itakuwa hivyo hivyo!
Wale waliomba radhi na walikiri makosa yao wakasamehewa.

Hawa labda wakiri walikosea na wakaondoe majiba ndio poa yao. Otherwise watumbuliwe

Anything short of that..... Wafuasi wao tutajiondoa CHADEMA
 
Wataendelea na ubunge kama kawa,lakini watavuliwa nyadhifa zao za Bawacha na kupewa karipio kali sana,wataomba radhi na watasamehewa
"haaa imeisha iyoo"
 
Kuwafukuza Makamanda wapambanaji kwa sababu ya Kelele za mgambo waliojificha mitandaoni ni kuua chama.

Mbowe onyesha ukomavu wa kisiasa.
 
Naona madada wanawachezesha disko,baada ya Dj kuwaachia kazi ya kupiga disco.
Aaah wapi, Alishindwa Zitto na Slaa wataweza hawa waliopata viti maalum kwa kuibuliwa na Mbowe kipindi ambacho hakuna aliyewafahamu?

Wataondoka tu and trust me kufikia 2025 CHADEMA itaingia na nguvu kma ilivyokua uchaguzi uliopita.
 
Ni imani yangu viongozi wa CHADEMA leo wataweka mbele heshima ya chama kwa kulinda katiba ya chama hicho pale watapowafukuza wasaliti 19 kwa mpigo na kuweka historia ya kufukuza Wanachama Waandamizi 19 kwa mpigo ili kulinda Katiba ya chama.

Hakika leo itakuwa ni siku ya historia kwa CHADEMA na pigo kwa watu wa chama fulani na mamluki wao pamoja na taasisi zote zilizohusika katika hujuma hii iwapo CHADEMA watafanya maamuzi hayo ya kuwafukuza wasaliti hawa katika kikao chao cha leo tarehe 27/11/2020.

27/11/2020 itakuwa ni siku ya kukumbukwa. Kazi kwenu CHADEMA.
hakuna haja ya kuchochea mgogoro mimi kwangu haki itendeke sio kuandika historia,usiandike historia bila kufanya maamuzi ya haki.Unajuaje kama wanamakosa kama kuna mtu aliwateua?
 
Hivi adhabu pekee ni kufukuzwa ?
Instagram media - CID6J3knf24 ( 640 X 640 ).jpg
 
Wakuu bila kuwachosha, nashauri kamati kuu ya CHADEMA ionyeshe sifa bora za kiongozi katika kutoa maamuzi sahihi kwa wabunge wa viti maalum, pasipo kutawaliwa na hisia, mitandao, msukumo wa watu wa nje n.k ,watawaliwe na kuongozwa na sifa za kiongozi bora katika kipindi kigumu. Nawasilisha
 
Ni muhimu kutofautisha kati ya uanaharakati na uanasiasa. Kwenye siasa lengo sio kuonyeshana ubabe, lengo ni kushiriki kufanya maamuzi katika ngazi zote. Kwahiyo, Chadema ikiwafukuza wawakilishi wake kwenye chombo cha kufanya maamuzi, inakuwa ni kikundi cha wanaharakati sio chama cha siasa.
 
CCM mbona mnahangaika sana?
Si ni mwenyekiti wa chama chenu alisema wasaliti hawapaswi kusurvive?

Sasa mnataka huruma ya nini kwa wasaliti?

Hso wameshapata ubunge, watulie wale matunda ya ubunge wao, waiache Chadema iendelee kutunza imani yake kwa wananchi. Na imani haiwezi kuendelea kuwepo kama unaacha wasaliti waliopora mamlaka ya kamati kuu kuendelea kuwa wanachama!
 
Wakuu bila kuwachosha, nashauri kamati kuu ya CHADEMA ionyeshe sifa bora za kiongozi katika kutoa maamuzi sahihi kwa wabunge wa viti maalum, pasipo kutawaliwa na hisia, mitandao, msukumo wa watu wa nje n.k ,watawaliwe na kuongozwa na sifa za kiongozi bora katika kipindi kigumu. Nawasilisha

C&P​

13 Things Truly Great Leaders Do In Difficult Times​


From Alexander the Great to Genghis Khan, great leaders have walked and ruled this planet throughout human history. These days, boardrooms have replaced most battlefields, and great leaders are more likely to flex corporate muscle than wield an actual sword. The Internet gives us all a chance to be great leaders; these are the skills they embody.

1. Great leaders manage fear​

As Franklin D. Roosevelt put it in his inaugural speech, we have nothing to fear but fear itself. Superman has superpowers, but he’s no hero. Superman is invincible and therefore has nothing to fear. A real hero acts in the presence of fear.

2. Great leaders put the mission first​

You have a job to do, and, whether you like it or not, you have to put that job first. Great leaders recognize that completing the objective is the most important part of the mission and let nothing stop them from accomplishing it. Everything else is just extra perks.

3. Great leaders are well-prepared​

No matter what situation they find themselves in, great leaders are always prepared. They may not immediately have the tools available or the right answer, but they know where to find it. Thinking on their feet is important, but a great plan can’t be beat.

4. Great leaders are tough, but fair​

Great leaders inspire greatness in their followers as well. They do this by holding them to the same high standards they hold themselves to. They understand everyone is human, though, and don’t expect the impossible.

5. Great leaders encourage others​

Nobody wants to work for that boss who bosses everyone around and has no idea what he or she is talking about. Instead of constantly criticizing people, great leaders believe in positive reinforcement and are loved by their followers.

6. Great leaders effectively communicate
The reason you have an Apple product is because Steve Jobs knew how to communicate to you exactly why you need one. The ability to communicate is essential in convincing people to do what you want, and that’s how a leader gains followers.

7. Great leaders use resources wisely​

Are you broke? If you are, it’s because you live a lifestyle that leads to being broke – you waste your current resources and are too busy fighting to replenish them to ever get ahead. Great leaders use exactly the resources they need.

8. Great leaders imitate other leaders​

Thomas Edison idolized Leonardo da Vinci, and nearly every military leader in the world to this day follows the strategies of Alexander the Great. To be the best, you have to beat the best. If they’re already dead, emulate them.

9. Great leaders are great followers​

Behind every great leader is an even greater leader. As Derek Sivers, CEO of CD Baby, explains, the first follower is the most important part of a movement. A leader without a follower is just a lone nut.

10. Great leaders remain open to change​

Even the best plans have issues as soon as they’re applied to the real world. A truly great leader accepts this and is able to change at a moment’s notice. While all the losers complain about a new change and wait for instructions, a great leader takes the lead.


11. Great leaders never give up​

Every winner loses, but not every loser wins. Great leaders accept losses and learn from them. Then they get back up, dust themselves off, and try again.

12. Great leaders accept responsibility​

When something goes wrong, a coward will blame others. It’s not uncommon for stuff to roll downhill in an organization, as every level passes the buck to the next level beneath them. To be a great leader, it’s essential to accept responsibility for mistakes and correct them.

13. Great leaders are quirky​

All great leaders stick out in some way. If they acted like everyone else, they’d end up following like everyone else. Instead, they listen to themselves, trust their abilities, and rise to the top.

Anyone can be a leader, but what makes a leader truly great are their followers. If you live as though you’re already a leader, you’ll be well on your way to becoming one. You’ll be an outcast for a period, and people will mock you for being different, but stick to your guns. Soon enough you’ll have the power to hire or fire your detractors, and there’ll be nothing they can do about it, because you’re a great leader… and they’re just a shlub.
 
Unaweza kuona kwamba wanachama wa CHADEMA zaidi ya 99% wanaungana na kamati kuu yao kua walichokifanya Halima Mdee na kundi lake si sahihi, CCM na wanachama wake wanaungana na kina Mdee na kundi lake kwamba wapewe haki yao na wako sahihi kuapa.
NEC ni chombo cha serikali chini ya CCM ambapo Mkurugenzi wake Dr Mahele wangi wanadai kua ni kada wa CCM.

Sasa kwa mtu mwerevu anajua fika ni kipi kamati kuu ya Chadema inatakiwa kufanya.CHADEMAikiwa kimegundua mchezo huu mchafu kitachukua hatua madhubuti kwa kusimamia misimamo yake na si kama ambavyo ccm wanataka.

CCM na serikali wapoona kuna kutoelewana ndani ya CHADEMA kuhusu viti 19 vya ubunge viti maalum sasa wanataka kupenyezewa hapo kuwagawa zaidi.
 
Back
Top Bottom