Huyu nilimuona ana jitambua sana ana misimamo sana leo hii amefungwa miezi 5 anaachiwa anakubali vyeo vya wizi?Anayeniuma ni Nusrat hanje kaingizwa kwenye mtego bila kujua chochote...
Sasa Leo ukija kujua kuwa Mnyika alipeleka majina tume sijui utasemajeWafukuzwe tu hakuna namna!! Kuendelea kuwabakiza ni kuzidi kuleta migogoro ndani ya chama.
Kipindi mdee anapewa viti maalum 2005 alikua mchepuko wa kiongozi gani?Mdee usaliti wake ni kupeleka majina ambayo hayana wanawake wa viongozi, hapo ndio amesaliti
Wewe sii mmojawapo Katika hicho kikao Cha leo?Ni imani yangu viongozi wa CHADEMA leo wataweka mbele heshima ya chama kwa kulinda katiba ya chama hicho pale watapowafukuza wasaliti 19 kwa mpigo na kuweka historia ya kufukuza Wanachama Waandamizi 19 kwa mpigo ili kulinda Katiba ya chama.
Hakika leo itakuwa ni siku ya historia kwa CHADEMA na pigo kwa watu wa chama fulani na mamluki wao pamoja na taasisi zote zilizohusika katika hujuma hii iwapo CHADEMA watafanya maamuzi hayo ya kuwafukuza wasaliti hawa katika kikao chao cha leo tarehe 27/11/2020.
27/11/2020 itakuwa ni siku ya kukumbukwa. Kazi kwenu CHADEMA.
Kama haujui vitu kaa kimya, wala usibishe kitu ambacho ujuiKipindi mdee anapewa viti maalum 2005 alikua mchepuko wa kiongozi gani?
Mindset mbovu kabisa hii
Ziko nyingi, lakini kwa kosa hilo adhabu inayowafaa hao ni kufukuzwa chama. Mbona kama watu mnaumia wakifukuzwa? Hata hivyo usijali, watabaki na ubunge wao kwa sababu wameshaahidiwa kulindwa kwa gharama yoyote.Hivi adhabu pekee ni kufukuzwa ?
Tangu umekuwa CHADEMA umechangia kitu ganiZiko nyingi, lakini kwa kosa hilo adhabu inayowafaa hao ni kufukuzwa chama. Mbona kama watu mnaumia wakifukuzwa? Hata hivyo usijali, watabaki na ubunge wao kwa sababu wameshaahidiwa kulindwa kwa gharama yoyote.
mmikutana mazombi wa lumumba.. mnabadilishana KORASI tuMdee usaliti wake ni kupeleka majina ambayo hayana wanawake wa viongozi, hapo ndio amesaliti
Mbona hii issue ilishaongelewa wiki mbili sasa, sema watu tulibisha sana tu.Kama haujui vitu kaa kimya, wala usibishe kitu ambacho ujui
Angalia uzi zangu hapa me ndio wa kwanza kuwambia chadema wako bungen wanajisajiri siku ya J2 jioni Sasa usibishe kitu ambacho ukijui
Ndio mbaki nao huko CCM mpate huduma zao bora kabisa.Then ww unapata faida gani?
Watu wengine sijui uwa mnawaza kitu gani
Michango na mapambano ya Hao wadada kwa chadema unaijua?
Unajua mambo waliopitia Mpaka chama kimefika hapo?
Hata mkiwavua bado wanakuwa wabunge Sasa chama kinakuwa kimepata nn kama sio ujinga?
Mzizi mwingine nikwambie basiMbona hii issue ilishaongelewa wiki mbili sasa, sema watu tulibisha sana tu.
Alafu kuleta hbr haimaanishi unajua mzizi bali umeona outcome tu.
Wewe ni msemaji wa kamati kuu?Hawatafukuzwa katu, na sijui utaficha wapi uso wako! Ukisikia CHADEMA ina wenyewe ndo hao sasa! Wengine ni wapiga domo tu!
Leo Mdee kawa jabali kwa WANA-CCM!!COVID-19 haizuiliki...wabunge 19 hao... majabali yaliyoamua kutokuyumbishwa.
Hata kama kusoma hujui hata alama huoni?? Umesikia kinachoendelea huko Pemba? Wanakusanya maoni ili Sefu awe makamu wa kwanza wa rais ama asiende! Tuma maoni!Wewe ni msemaji wa kamati kuu?
Hoja sio ubunge kwa sababu watalindwa na hao CCM waliopanga hayo baada ya kuhujumu uchaguzi, hoja hapa ni kulinda katiba ya chama.Then ww unapata faida gani?
Watu wengine sijui uwa mnawaza kitu gani
Michango na mapambano ya Hao wadada kwa chadema unaijua?
Unajua mambo waliopitia Mpaka chama kimefika hapo?
Hata mkiwavua bado wanakuwa wabunge Sasa chama kinakuwa kimepata nn kama sio ujinga?
Leo mdee kawa msaliti kwa bavicha...Le
Leo Mdee kawa jabali kwa WANA-CCM!!