Chadema kwa vigezo hivi wanapata wapi tumaini la kuongoza nchi hii??

mtoa mada ameshikwa na usingizi mzito na kuburuzwa na njozi za mchana.kama chadema isingalipaza sauti na kuanzisha harakati za kuwaanika mafisadi tungekuwa tulipo,chadema wanachukia ufisadi na si kweli kweli kwa hawana hoja,chadema wamezungumzia mambo ya elimu kwa mapana na kina na labda kama hujui chuo kikuu cha dodoma ni sera ya chadema mwaka 2005,kama hujui shule za kata ziliasisiwa na dr.slaa jimboni kwake tangu 2000,kama hujui katiba inayozungumziwa sasa kupata mpya ni sera ya chadema 2010,chadema imeweka vipaumbele katika maeneo kadhaa elimu na afya,ujenzi,miundombinu,matumizi ya rasilimali from madini na watu,lakini huwezi fanikisha hayo pasipo kuondoa uozo uliopo madarakani,huwezi jenga nyumba juu ya dampo,thats wanazungumzia kufumua mafisadi na kwa kweli wananchi wanalielewa somo hili kwa upana sana.mnataka kuendelea kunufaika na mfumo mbovu uliopo hamuwezi kufurahi kuona cdm ikija kwa kasi kuwaondoa.anzeni kujipanda na kutafuta shughuli za kuwapeni kipata halali maana fagio likipita msijelia.kama chama tutaendelea kuwabagua wanaofisidi nchi yetu kama mchwa.


sasa tatzo nin??nani kasema kua chadema hakijafanya hayo unayoyasema??
Kama hoja ya majimbo ni hoja na sera mfu isipingwe eti kisa chadema ni chama unachokipa matumain na mustakabali wa maisha yako yote yaliyoharibiwa na ccm??
Hoja ya majimbo ni ya utengano na daima haikubaliki na daima haivumiliki na kuachiwa chadema wanaingia madarakani kuitekeleza
 
kumbe hata kuisoma hujaisoma ile sera, nadhan umekurupuka tu na kuelezea maoni yako jins unavyofikiria wewe uhalisia wa hiyo hoja uko zaidi ya wewe ufikiriavyo.
 
When i am tellin them the truth
they say i am ridiculous...
Sijui tuisaidieje nchi hii,,pro-chadema tujifunze kufikiri nje ya box muda mwingne..

No truth shall come ever from any CCM candidate,fans either a leader or any other else,CCM are just bandits among robbers, I will never trust any one with CCM ideology, all CCM are thieves and enemies of this nation. Thank you God for allowing me speaking it out against CCM barbarians and Bandits.
 
hivi inahitajika akili ya kukaa darasani ili tujue kuwa sera nzuri za Chadema ndizo zinazoliongoza hili taifa kwa leo? Ngoja nikupe kamfano kamoja tu na kama hutaridhika jiandae kupokea msururu. Mwaka 2010 CCM hawakuwa na sera ya kutunga katiba mpya! Dr. wa ukweli siyo wa kuchonga aliwaahidi waTz kuwa ndani ya siku 100 za utawala wake kama angepewa ridhaa ya kuingoza nchi hii angeanza mchakato wa kutungwa kwa katiba mpya Tanzania. Mtoa mada inawezekana hajui sera ni nini-labda. Na kutudanganya kuigawa nchi kwa majimbo- nenda nchi za Scandinavia ukajifunze ni nini maana ya serikali za majimbo na faida zake. Kwa ilivyo leo mapato yote yanakusanywa kwenye kapu moja la central govt na huko bdiyo wenye uamuzi hizo pesa zitumikeje. Hatushangai wanapopitisha bajeti ambayo siting allowances na safari za raisi wenu ni nyingi kuliko zile zinazoelekzwa kwenye shughuli za kimaendeleo. Chadema wakaona hii si sawa. Kama Iringa wanazalisha umeme. basi asilimia kubwa ya mapato yatokanayo na umeme yarudi kuwaendeleza wananchi wa mkoa wa Iringa! Je hii nayo ni dhambi? leo hii utajiri wa nchi umelundikwa pale Dar as if Dar ndiyo Tz na huku kwingine ni Tanganyika! wewe ndiye unayetakiwa kufikiri nje ya box badala ya kuwapotosha watu kuwa Chadema haina sera.
Jaribu kuipinga hii hoja uone!!!
 
no truth shall come ever from any ccm candidate,fans either a leader or any other else,ccm are just bandits among robbers, i will never trust any one with ccm ideology, all ccm are thieves and enemies of this nation. Thank you god for allowing me speaking it out against ccm barbarians and bandits.

kwanini unaonesha mapenz waz waz hivi na chama cha mafisadi??
Had ukaamua kutumia wini wa rangi ya chama kufikisha ujumbe??
Pro-chadema wenzako wakija hapa watakushangaa sana kwa unyonge wako kama huu
well,let me gv u a piece of an advice,,chadema ni wanasiasa pia ambao lengo lako halitofautiani sana na wenzao hawa ambao kwa kauli moja tunawaita mafisadi..
Kipi sasa kinachokufanya uwe kipofu na kusita kukikosoa chama chako hata kama unaona kinakoelekea siko??
Kwanini umejewa na unazi zaidi na kuacha uhalisia uliopo..
 
hivi inahitajika akili ya kukaa darasani ili tujue kuwa sera nzuri za chadema ndizo zinazoliongoza hili taifa kwa leo? Ngoja nikupe kamfano kamoja tu na kama hutaridhika jiandae kupokea msururu. Mwaka 2010 ccm hawakuwa na sera ya kutunga katiba mpya! Dr. Wa ukweli siyo wa kuchonga aliwaahidi watz kuwa ndani ya siku 100 za utawala wake kama angepewa ridhaa ya kuingoza nchi hii angeanza mchakato wa kutungwa kwa katiba mpya tanzania. Mtoa mada inawezekana hajui sera ni nini-labda. Na kutudanganya kuigawa nchi kwa majimbo- nenda nchi za scandinavia ukajifunze ni nini maana ya serikali za majimbo na faida zake. Kwa ilivyo leo mapato yote yanakusanywa kwenye kapu moja la central govt na huko bdiyo wenye uamuzi hizo pesa zitumikeje. Hatushangai wanapopitisha bajeti ambayo siting allowances na safari za raisi wenu ni nyingi kuliko zile zinazoelekzwa kwenye shughuli za kimaendeleo. Chadema wakaona hii si sawa. Kama iringa wanazalisha umeme. Basi asilimia kubwa ya mapato yatokanayo na umeme yarudi kuwaendeleza wananchi wa mkoa wa iringa! Je hii nayo ni dhambi? Leo hii utajiri wa nchi umelundikwa pale dar as if dar ndiyo tz na huku kwingine ni tanganyika! Wewe ndiye unayetakiwa kufikiri nje ya box badala ya kuwapotosha watu kuwa chadema haina sera.
Jaribu kuipinga hii hoja uone!!!

mungu wangu
we jiografia ya tanzania unataka kuifafnanisha na nchi za ulaya wapi na wapi??
Ok,,kwa kutumia huo huo mfano wako na jins ulivoielewa hiyo sera ya majimbo
kama iringa wanazalisha kias kikubwa cha umeme basi pato hilo lirudi na kuwanufaisha watu wa iringa pekee,sawa,,na kama mbeya hawana rasimali yoyote au kiingiza uchumi chochote unadhani utaepuka vipi kujenga matabaka ya ukanda wa walio nacho na wasio nacho??kuungana kwa majimbo ya marekani na nchi zingne zilizoendelea usifikirie kama kulitokana kiholela kama wanavohubiri chadema
yapo mengi ya kubadilishwa kwenye nchi hii,kuingiza sera ya majimbo ni kuzid kuijengea nchi hii tatzo lingine katika matatizo makubwa yanayoisibu..
 
When i am tellin them the truth
they say i am ridiculous...
Sijui tuisaidieje nchi hii,,pro-chadema tujifunze kufikiri nje ya box muda mwingne..

zee la kimakonde .nakuuliza unajua ni kwanini wamakonde walijichora uso wote ?? .na je unajua kuwa kujichora huko ilikuwa ni sera muhimu ya ulinzi ya makonde .
 
When i am tellin them the truth
they say i am ridiculous...
Sijui tuisaidieje nchi hii,,pro-chadema tujifunze kufikiri nje ya box muda mwingne..

Which truth old man! you havent told any at all. Umesoma hotuba ngapi za viongozi wa cdm, umesoma maandiko mangapi ya sera za cdm, umehudhuria mikutano mingapi ya cdm ndani ya m4c.
kama jibu lako ni affirmative japo kwa 45% kwa kila swali japo juu basi ulitaka na ww uwe moja wa watoa hoja humu jf. sera kubwa ya cdm ni kuurudisha uchumi kwenye mikono ya wananchi kwa kuwa na serikali imayowajibika kwao.
wananchi watajuaje bila kuonyesha tofauti iliyopo sasa hv? au unatarajia cdm wawasifu mafisadi. Karibu m4c japo moja tu na kiu ya yako ya kujua itapona
 
zee la kimakonde .nakuuliza unajua ni kwanini wamakonde walijichora uso wote ?? .na je unajua kuwa kujichora huko ilikuwa ni sera muhimu ya ulinzi ya makonde .

so,unauliza au unasema unachojiskia kusema??
Fungukaaa..
 
which truth old man! You havent told any at all. Umesoma hotuba ngapi za viongozi wa cdm, umesoma maandiko mangapi ya sera za cdm, umehudhuria mikutano mingapi ya cdm ndani ya m4c.
Kama jibu lako ni affirmative japo kwa 45% kwa kila swali japo juu basi ulitaka na ww uwe moja wa watoa hoja humu jf. Sera kubwa ya cdm ni kuurudisha uchumi kwenye mikono ya wananchi kwa kuwa na serikali imayowajibika kwao.
Wananchi watajuaje bila kuonyesha tofauti iliyopo sasa hv? Au unatarajia cdm wawasifu mafisadi. Karibu m4c japo moja tu na kiu ya yako ya kujua itapona

pamoja na chadema kua na hoja na sera safi kama unavosema
je,hawastahili kukosolewa??
Hoja yetu ni kuipinga vikali sera ya majimbo at anycost and by anymeans neccessary..!!
Vipi watu watokwe na mapovu???
 
hatukatai kwa wao kutumia mapungufu ya wenzao kama advantage kwao
tunasimamia sasa na hoja ya hao kuboresha sera zao na kuzifuta zile zisizo na mashiko kama hizi za kuigawa tanzania katika majimbo
hili halina mashiko
hii sera wamefanya kucopy na kupaste pasi na kuangalia uhalisia wa tanzania tuitakayo..
Suala la kuigawa Tanzania katika majimbo linazidi kuonekana kuwa na maana kubwa sana sasa kuliko hapo awali.....jaribu kuangalia hata namna ambavyo serikali iliyopo madarakani ambavyo imekiri kwa vitendo kuwa imeelemewa kwa namna ambavyo imekuwa ikigawa Mikoa na wilaya hadi kata.
Utawala wa majimbo ni kurudisha nguvu kamili kwa wananchi ili waweze kujitengenezea sheria zao, kusimamamia rasilimali zao na kujichagulia aina ya viongozi wawatakao. Nchi hii ilipata uhuru ikiwa na mikoa saba au tisa lakini kwa sasa imeongezeka, mpaka kufikia tuliyo nayo ambayo siikumbuki idadi yake. Wakuu wa wilaya na mikoa wameonekana kuwa tatizo kwa sababu ni aina ya viongozi wasio muafaka kwa taifa letu, badala ya kulitafutia tiba tatizo hili matokeo yake tatizo limeongezewa ukubwa kwa kuongeza idadi wawakilishi wa viti maalum.
Bila kumung'unya muafaka wa masuala mengi ya kijamii, kiuchumi, kisiasa, kiungozi n.k vipo katika mfumo wa serikali za majimbo.
 
Asili yako we Mmakonde ni uchoraji acha wanasiasa wafanye siasa.Ingekuwa baadhi yetu tumeacha ufisadi CHADEMA wasingeendelea.Jambo mmoja la msingi sana ni sisi kubadili tabia yetu ili wakose lakuzungumza,maana kwa mtazamo wangu wizi,ubadhirifu na mengine mengi bado yapo na ndiyo wanayoyapigia kelele.
 
mungu wangu
we jiografia ya tanzania unataka kuifafnanisha na nchi za ulaya wapi na wapi??
Ok,,kwa kutumia huo huo mfano wako na jins ulivoielewa hiyo sera ya majimbo
kama iringa wanazalisha kias kikubwa cha umeme basi pato hilo lirudi na kuwanufaisha watu wa iringa pekee,sawa,,na kama mbeya hawana rasimali yoyote au kiingiza uchumi chochote unadhani utaepuka vipi kujenga matabaka ya ukanda wa walio nacho na wasio nacho??kuungana kwa majimbo ya marekani na nchi zingne zilizoendelea usifikirie kama kulitokana kiholela kama wanavohubiri chadema
yapo mengi ya kubadilishwa kwenye nchi hii,kuingiza sera ya majimbo ni kuzid kuijengea nchi hii tatzo lingine katika matatizo makubwa yanayoisibu..

je unajua kuwa kitendo cha wananchi kukataa wakuu wa wilaya na mikoa wakuteuliwa na kutaka wakuchaguliwa ,tafsari yake ni kuwa na majimbo ,i mean ni sera ya majimbo
 
Kwa vigezo vya Lumumba hata wananchi wakiikataa CCM mafisadi watatumia hata mauaji kulinda ufisadi wao yaani kushika madaraka ya nchi. CDM tayari hakiko mikononi mwa kitaasisi bali mikononi mwa wananchi, ndio wataoamua nani akabidhiwe madaraka hata kwa utetezi wa kuuwawa.
 
Hebu shusha mfano wa ukanda walionao cdm. cdm bado hawana wizara useme mawaziri wote wanatoka kumoja, au presency kwa maana ya ofisi, lkn unasikia kila cku zinafunguliwa - kusini hadi magharibi. Tuwe wakweli ukanda tafsri yake tuwekee humu.
 
asili yako we mmakonde ni uchoraji acha wanasiasa wafanye siasa.ingekuwa baadhi yetu tumeacha ufisadi chadema wasingeendelea.jambo mmoja la msingi sana ni sisi kubadili tabia yetu ili wakose lakuzungumza,maana kwa mtazamo wangu wizi,ubadhirifu na mengine mengi bado yapo na ndiyo wanayoyapigia kelele.

sasa asili yako wewe mchaga ni ipi??
Mbona linapokuja suala la pesa wewe kuaminika inakua shida sana??
Ikiwa pesa mchaga tunaogopa kukuamini
sembuse kukupa nchii??
Samahani ndugu zangu sina nia ya kubaguana kikabila,hii comment inamhusuhu huyu muhusika na sio wote
natanguliza kuomba radhi..
 
Mwaka 1995 hali ilkuwa hivi:

WHY DIDN'T THE OPPOSITION DO BETTER?


Firstly, there was a return of some ethnic feeling as the NCCR came to be regarded more and more as a Chagga party. Secondly, there were fears – many will consider them irrational – about how far the unpredictable populist Augustine Mrema might go if he became president. Could he become another Idi Amin? Would Tanzania become another Rwanda? Was he prepared to accept advice or would he rule alone? Thirdly (Mr. Mrema considered this to be the main cause of his defeat) there was the powerful intervention of Mwalimu Nyerere who was indefatigable in making his point (which was broadcast on national radio) that Mkapa was the only person fit to be president and Mrema was particularly unfit. Fourthly, the opposition was fragmented. The NCCR-Mageuzi insisted on putting up candidates in every seat and Mrema’s failure to establish an alliance with CUF, as a result of his abortive attempt to appoint veteran politician A M Babu a his Vicepresidential running mate, damaged his chances further.


Fifthly, the CCM gained a substantial advantage from the decision to pay subsidies to all candidates standing in the election thus encouraging small parties to stay in the race even where they had no hope of winning. Sixthly, the opposition failed to concentrate on registering its Supporters at the crucial time. Many of those in the vast throngs who attended Mrema rallies around the country could not vote for him when the time came. Finally, Mrema’s performance in the TV and Radio debate compared poorly with that of other presidential candidates.

Source:
Tanzanian Affairs » 1996 » January



That is a simple analysis and conclusion of CCM, The Ruling Party's analysis forgets that NCCR had neither member of Parliament nor Ward Councillors at that time(1995).

It is absurd to compare NCCR Mageuzi of 1995 and CHADEMA OF 2012!!

CHADEMA HAS SO FAR A REASONABLE NUMBER OF BOTH COUNCILLORS AND MPs so far!

as if that is not enough, CHADEMA CONTROLS SOME MAJOR CITIES LIKE ARUSHA, MWANZA, KIGOMA, ETC!

CCM STOP COMPARING NCCR MAGEUZI OF 1995 AND CHADEMA OF 2012 THEY ARE TWO DIFFERENT PARTIES AND HAVE DIFFERENT VISION SO EVEN IF YOU COMPARE NCCR MAGEUZI OF 2012 AND THE current CHANDEMA.

IF CCM base on that old comparison it is bound to lose?

the PRESIDENTIAL results of 2015 is very uncertain and the risk of LOSING IS VERY high, IF ccm nominates Lowassa as their presidential candidate!
 
victory always won..Chadema are talkin bout movement for change or movement for power! After all we as people we are in need of such power,we as people we are cryn for our prosperity and progress,so we want them to show us their true colour without hidding some of their vissions & missions.

Sera ya majimbo ina siri kubwa mioyoni mwa viongozi wa Chadema fuata upepo na wavivu wa kufikiri wanashadadia vitu wasivyovijua..
 
Ladies & getlemen,,
friends & enemies,,

ifike wakati sasa tuweze kuthubutu kuiambia ukweli chadema kua kuendelea kutegemea mapungufu ya mafisadi kama mtaji kwao kisiasa na fursa ya wao kukimbilia kwa watanzania kuomba ridhaa ya kuongoza nchi hii ni kujidanganya na kuendesha harakati za msimu,
pamoja kuendesha harakati zinaofanana na uvumo wa upepo
nani hapa leo yuko radhi kuwaona chadema wakiwa madarakani na sera yao ya kuigawa nchi hii kiukanda na majimbo,hatuoni kua hii ndio itakua ni muendelezo wa zile siasa za ukanda tunazozipigia kelele kila siku??
Ifike wakati sasa kwa wao kua busy kutengeneza sera zenye uhalisia na maisha ya watanzania kuliko kutumia umaskini na kukata tamaa kwa watananzania walio wengi hasa hasa vijana kama petroli katika harakati zao mfu,,
wakiendelea kwa hulka za siasa za aina hii watakua kila siku wanaishia kuibua slogan mara operation sangara mara m4c n.k,,
kuigawa nchi hii ktk majimbo ni kitu cha kusadikika kama ndoto za abunuasi,,

Wale magamba waliokutuma upost huo upuuzi wenu kawaambie kuwa sisi khatukopeshi tunakuanika na kukusurubisha live kwamba wajinga wajinga vilaza kama wewe unayejiita Free World hamna lolote hamna jipya na Sisiemu yenu,kilichobaki ni nyinyi kujiaandaa kuwa chama cha Upinzani SISIEMU na Mpenzi wake KAFUU ndoa yenu itadumu milele kama wote mkiwa vyama vya upinzani. Kawaambie akina Nepi na vilanza wenzio kuwa tuko macho na makini tofauti na mnavyotudhania, hapa ni Titi fo Tat, Nyambafu mmezoea kuiba kura na kuwadanganya maskini wa Tanzania, mkwaka 2015 itakuwa ndo mwisho wenu, washeku nyie mmezoea vya kunyongea gizani,2015 tutawachinjia baharini hakyamungu tunaapa na lazima 2015 Raisi wa nchi awe mkristo mkatholiki.
 
Back
Top Bottom