johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
Endapo Chadema wataacha Njaa zao basi Wana nafasi ya kuongoza nchi hii Tanzania kunako 2030
Nasisitiza endapo wataacha Njaa zao za Fedha na Madaraka
Kutikisika kwa Israel, Marekani, Russia na UK kunatoa Fursa ya kuiendea Dunia Mpya
Dunia Ijayo haitakuwa na Chawa Ndio yule Musk anasema patakuwepo AI yenye akili kubwa kuliko Binadamu
Chadema kama chama wanakubalika ila Viongozi wake Ndio hawajiamini
Nawatakieni Dominica njema😄😄🔥
Nasisitiza endapo wataacha Njaa zao za Fedha na Madaraka
Kutikisika kwa Israel, Marekani, Russia na UK kunatoa Fursa ya kuiendea Dunia Mpya
Dunia Ijayo haitakuwa na Chawa Ndio yule Musk anasema patakuwepo AI yenye akili kubwa kuliko Binadamu
Chadema kama chama wanakubalika ila Viongozi wake Ndio hawajiamini
Nawatakieni Dominica njema😄😄🔥