mzee wa miba
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 759
- 125
Wale magamba waliokutuma upost huo upuuzi wenu kawaambie kuwa sisi khatukopeshi tunakuanika na kukusurubisha live kwamba wajinga wajinga vilaza kama wewe unayejiita Free World hamna lolote hamna jipya na Sisiemu yenu,kilichobaki ni nyinyi kujiaandaa kuwa chama cha Upinzani SISIEMU na Mpenzi wake KAFUU ndoa yenu itadumu milele kama wote mkiwa vyama vya upinzani. Kawaambie akina Nepi na vilanza wenzio kuwa tuko macho na makini tofauti na mnavyotudhania, hapa ni Titi fo Tat, Nyambafu mmezoea kuiba kura na kuwadanganya maskini wa Tanzania, mkwaka 2015 itakuwa ndo mwisho wenu, washeku nyie mmezoea vya kunyongea gizani,2015 tutawachinjia baharini hakyamungu tunaapa na lazima 2015 Raisi wa nchi awe mkristo mkatholiki.