CHADEMA kushinda Chalinze

CHADEMA kushinda Chalinze

Subiri kesho,utashangaa. Mwana mfalme hana chake pale Chalinze. Baba mwenyewe hakuweza kutimiza aliyowaahidia,pamoja na kuwa yuko ofisi kuu;huyu mtoto atawezaje? Wana-Chalinze so majuha. Kesho ndiyo kesho.
 
Wakuu kuna mtu kanitonya kua mathayo torongey uweza akapata ushindi kwa kishindo kwasababu kuna wamasai asilimia 70% wanamuunga mkono kesho ni kesho wacha tusubili

kwa akili zako ndogo kama za kuku na wewe umeamini, kweli cdm asilimia 90% wanamatatizo ya ubongo
 
Itakua miujiza,mimi ni CHADEMA Lakini kwa hapo nahisi hata management ya CHADEMA Imeliona hilo ndio maana haijatumia nguvu nyingi za Kipesa kwenye kampaini kama ilivyokuwa KALENGA,walichokifanya ni kuonyesha chama kina uhai na kama marketing tools ya kukitangaza chama eneo hilo ambalo dorminant wake ni MACCM

Utapotezaje muda kwa watu wasioenda shule, ukiwapa pilau umemaliza, elimu zero wanaoana kwa mitungo, elimu sifuri wanakesha kucheza ngoma, asante Mungu sikutokea mikoa ya pwani, hopeless kabisa
 
Utapotezaje muda kwa watu wasioenda shule, ukiwapa pilau umemaliza, elimu zero wanaoana kwa mitungo, elimu sifuri wanakesha kucheza ngoma, asante Mungu sikutokea mikoa ya pwani, hopeless kabisa
Wewe ni mpuuzi.
 
Wakuu kuna mtu kanitonya kua mathayo torongey uweza akapata ushindi kwa kishindo kwasababu kuna wamasai asilimia 70% wanamuunga mkono kesho ni kesho wacha tusubili
Khaa!! Ukabila tena!! Hii ndiyo CDM. Kafie mbele
 
Utapotezaje muda kwa watu wasioenda shule, ukiwapa pilau umemaliza, elimu zero wanaoana kwa mitungo, elimu sifuri wanakesha kucheza ngoma, asante Mungu sikutokea mikoa ya pwani, hopeless kabisa
Khaa!! Eti maneno haya kwa niaba ya katibu mkuu. RIP CDM
 
Naona Shein ameenda kupigilia msumari wa mwisho.
MMG29677.jpg

MMG29289.jpg

MMG29404.jpg

MMG29423.jpg
 
Achilia mbali CDM kushinda Chalinze, ikipata kura 1,000 nitatembea Uchi WA mnyama mitaani!
Be careful with what you promise mkuu, utatembea uchi kweli? Ni suala la muda tu, nitarudi kesho kukuuliza. ...... Kama issue ni kura buku tu!!!!!
 
Khaa!! Eti maneno haya kwa niaba ya katibu mkuu. RIP CDM

CCM ina undugu na watu maskini,wasiojitambua! kwa huku kwetu hawana lao coz hakuna mbulura'z! tunawasubiri uchaguzi wa SM!
 
Sijasikia mpango wa kulinda kura? Sijasikia mpango wa kurusha chopa ili kuhakikisha kura haziibiwi? Au inaelekea jimbo la chalinze ni dogo sana na haliitaji chopa? Au watu wa pwani wanauwezo wa kulinda kura zao kuliko watu wa lringa? Au ndo kauli ya Mwigulu imetimia kuwa itafika wakati "TUTAHESHIMIANA TU"?
 
Back
Top Bottom