Mtamile
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 2,838
- 1,274
Subiri kesho,utashangaa. Mwana mfalme hana chake pale Chalinze. Baba mwenyewe hakuweza kutimiza aliyowaahidia,pamoja na kuwa yuko ofisi kuu;huyu mtoto atawezaje? Wana-Chalinze so majuha. Kesho ndiyo kesho.
nimeikopi pembeni hii coment yako .kesho mida kama hii nitaibandika hapa hapa