Hemed Mzee Hemed
Senior Member
- Jun 26, 2013
- 186
- 41
Msafara wa baba (akiwa na mkewe) na ule wa mtoto imekutana msata na kuzua msongamano wa magari. Mzee kahamishia kambi jimboni kumwokoa mwanae na aibu kubwa.. Shein ametia timu na kuhitimisha kampeni na kurudi Dar akipitia Bagamoyo...