Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,230
Hii ndio taarifa inayosambaa duniani hivi sasa, Mkutano huo wa Kimataifa utafanyika Makao Makuu ya CHADEMA, Kinondoni Mtaa wa Ufipa, Nje kabisa ya Jiji la Dar es Salaam.
Wote mnakaribishwa.
Muhimu : Fuata mwongozo wa WHO wa kujikinga na ugonjwa hatari wa Corona
Wote mnakaribishwa.
Muhimu : Fuata mwongozo wa WHO wa kujikinga na ugonjwa hatari wa Corona