Cleophas cosmas
Member
- Jul 10, 2025
- 13
- 9
Chadema hasa wafuasi wako hawapendi kuambiwa ukweli ila miaka mitano mbele chadema itakuwa sehemu ya story tu kwamba iliwahii iliwahi hivyo yaani hata Cuf ilikuwepo Kwa mfano huo huo leo hii ndyo ile
Heshima sana wanajamvi.
Nimekaa pale natafakari na kujiuliza mambo mengi sipati majibu.
Natazama hizi kesi za michongo na hukumu za michongo naiona chadema inapitia mkondo ule ule wa NCCR-MAGEUZI.
Ngongo kwasasa Tanga Michungwani.
Ni ngumu kwa sababu ccm imekufa kabisa mioyoni mwa wananchi hivyo wanatumia hiyo mbinu ...kufa kwa chama ni wananchi kukiacha kama ilivyo kufa ccmHeshima sana wanajamvi.
Nimekaa pale natafakari na kujiuliza mambo mengi sipati majibu.
Natazama hizi kesi za michongo na hukumu za michongo naiona chadema inapitia mkondo ule ule wa NCCR-MAGEUZI.
Ngongo kwasasa Tanga Michungwani.
Mi nimeuliza Kwann unaona hivyo?Toa suluhisho
Dua la kuku. Na kama siasa ni hizihizi za kitapeli bora cdm isiwepo. Yaani hatutamani hata kidogo kuwepo kwenye hizi siasa za kishenzi.Chadema hasa wafuasi wako hawapendi kuambiwa ukweli ila miaka mitano mbele chadema itakuwa sehemu ya story tu kwamba iliwahii iliwahi hivyo yaani hata Cuf ilikuwepo Kwa mfano huo huo leo hii ndyo ile
We shahidi wa siri kwenye kesi ya Lisu ni bora ukae kimya tu.Toa suluhisho
Sawa October 2025 si mbali sana.JK alijaribu akashindwa.
Jiwe alijaribu akashindwa.
Mbowe + Samia + CCM + Ngongo + Fundi Mchundo wamejaribu, wanaendelea kujaribu, lakini matokeo ni yale yale, mnashindwa.
Mi nimeuliza Kwann unaona hivyo?
Usijali, CHADEMA haiwezi kufa inakua kila siku. Wenzako walisema wameiua miaka ile wao ndio wakafa. Hiking chama ni moango wa Mungu kije kututoa kanaani. Usiwe na shida. Ngoja tukupambanieni nyie CCM na watanzania woteHeshima sana wanajamvi.
Nimekaa pale natafakari na kujiuliza mambo mengi sipati majibu.
Natazama hizi kesi za michongo na hukumu za michongo naiona chadema inapitia mkondo ule ule wa NCCR-MAGEUZI.
Ngongo kwasasa Tanga Michungwani.
CCM sasa ni ya kifamilia hata wanaCCM wanafahamu hilo kwamba sasa nchi hii rasmi uongozi wa CCM UMEOZA UNATOA FUNZA TU.kumbe ndoto zako za mchana achana Nazo,CCM wanaunga mkono CHADEMA na REFORMS ZOTE ZINAZOTAKIWA.UFAHAMU HILO.Heshima sana wanajamvi.
Nimekaa pale natafakari na kujiuliza mambo mengi sipati majibu.
Natazama hizi kesi za michongo na hukumu za michongo naiona chadema inapitia mkondo ule ule wa NCCR-MAGEUZI.
Ngongo kwasasa Tanga Michungwani.
Inasikitisha sana lakini huo ndio ukweliKwasababu Chadema sasa ipo busy na sheria na haki za mfungwa si siasa za ukombozi wa nchi.
Mwaka huu 2025 tunafanya uchaguzi nilitegemea chama kingekuwa katika harakati kubwa za maandalizi ya uchaguzi.
Huu ni Mwezi August bado miezi 2 tu tuingie katka uchaguzi.
Heche angetakiwa kukiongoza chama katika harakati za kuzuia uchaguzi ambao kimsingi hawana uwezo wa kuzuia uchaguzi.
Chadema hawana plan B.kazi yao sasa ni kukimbilia mahakamani na kutoa matamko yasiyo na maana.
Chadema bila wabunge,Madiwani si chama kikuu cha upinzani.
November 2025 Chadema haitakuwepo.
Decemver 2025 Lissu ataachiwa huru na atakuwa Mwenyekiti kama alivyo Lipumba au mzee Cheyo.
Nani kaipeleka shimoni?Heshima sana wanajamvi.
Nimekaa pale natafakari na kujiuliza mambo mengi sipati majibu.
Natazama hizi kesi za michongo na hukumu za michongo naiona chadema inapitia mkondo ule ule wa NCCR-MAGEUZI.
Ngongo kwasasa Tanga Michungwani.